gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
wat
Haha atakufa akitamka neno "peoples power" huku power iko mikononi mwake, not on people's hands
Mnaimba Demokrasia ila uhalisia mchungu hakuna demokrasia ndani ya CHADEMA.
Unaongoza chama 20 years na bado unaona Tanzania nzima more than 60 million people hakuna mrithi
Inakuwaje kiongozi kama hujaandaa wa kukurithi
Kama mdau wa Demokrasia naumia mno. .ruthi
Angekua hana ushawishi sidhani kama huu mjadala wakumpiga vita ungekua mkubwa hivi.hizi porojo zakumpamba lissu nakumsema mbowe apumzike maana yake washindani wa mbowe wameamua kubadilisha wapate adui wanayemuweza au aliye rahisi kwao.hili jambo linafanywa kimkakati sana kiasi ambacho ukishikiwa akili huwezi kuliona.Ushawishi utakua na maana kama washindani wako hawatumii vyombo vya dola kupambana nawewe.wpinzani wa chadema wanataka kelele za lissu kuliko move na mipango ya kimya kimya ya mbowe ndo maana zinaibuka hoja mfu nyingi zakuokoteza.sasa kama bado unaamini wananchi ndio wanaochagua viongozi kwasababu yakua na mvuto utakua unajidanganya.Mbowe akiendelea chadema itakufa. Hana ushawishi tena na yeye anajua hilo ila ni kama ameshajikatia tamaa anaona bora chama kife kuliko afunikwe.