Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Ni kauli ambayo hupendi kuisikia kwasababu haikufurahishi. Unapokuwa upande wa dhuluma , kwako ukweli ni MOTO unaounguza.

Ila yale yanayokufurahisha unaweza kuyasema WEWE mwenyewe.

Magufuli hawezi kuwa mbaya au dhalimu kwa kila jambo, ana mazuri yake pamoja na udhalimu wake.

Mapungufu yake lazima yasemwe ili kutengeneza kesho yenye mwanga.

Huwezi kujadili mafanikio bila kujadili changamoto ili kuboresha kesho yako.Ila angalia mafanikio yako yasimezwe na mapungufu yako.

USIOGOPE.
 
Anajificha kwenye haki huku anauchungu ndani yake mnafiki sana huyu mzee!
Penye haki HUWA haki inaonekana ikitendeka. Unapoona watu wanadai haki maana yake haitendeki , na km haki haitendeki maana yake Kuna wenye maumivu.

Ni kweli ana uchungu moyoni lkn amechagua msamaha na kutolipa kisasi. Na akasema hadharani.

Hakuna msamaha au maridhiano bila kuusema ukweli.
 
Mbaguzi alikuwa Magufuli. Yeye ndiye atubu kwanza
2015, watu wa asili ya Arusha na Kilimanjaro walikuwa wanahamasishana Tanzania nzima kumchagua Lowassa kwa sababu tu anatoka kanda yao , wakati huo huo wakina Tundu Lissu wametoka kutuimbisha wimbo kuwa Lowassa ni mmoja ya mafisadi papa nchini.
 
Ndio maana nasema wewe ni kiumbe wa ajabu kutokana na hoja zako.
Kwa mawazo yako Obama ni jaluo aliyekwenda Marekani kutafuta fursa?
Kama unafikiri hivyo hakuna njia jinsi ya kukusaidia kuelewa
 
Hitler aliishi nyakati ambazo hatukuwepo, lakini mpaka leo anajadiliwa.
Dah...
Mkuu Kama ungeusoma mkataba wa Versailles kati ya Dunia na Ujerumani.....Basi mjerumani yoyote mzalendo angeiingiza nchi vitani 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Nyie endeleeni ku
Nyie endeleeni kuishi kwenye kijiji kikubwa cha Mbeya ndo maana hata Samia haji huko tokea aingie madarakani! Mnajifanyaga wajuaji mbele giza!
Nilidhani kijiji kidogo kumbe kikubwa na kinayashinda hadi majiji yako kwa mapato,viva kijiji kikubwa[emoji23]
 
Kwani Magufuli akifa ndiyo watu wasiseme.
 
Waumini wa Magu wana wakati mgumu sana. mzee aliwajaza ujinga wa siasa za chuki sana. Sasa hivi wanakuwa na wakati mgumu kubadilika. Uchawa haulipi tena. Mama na mapungufu yake bado anaamini kwamba wote tunajenga Taifa Moja.

Siasa ni kama mapenzi. ukiziweka moyoni ipo siku utaumia tuu.
 
Haani nyinyi watu wa Mbeya hamna adhali yeyote kwenye serkali! Nyamazeni tu!
Nilidhani kijiji kidogo kumbe kikubwa na kinayashinda hadi majiji yako kwa mapato,viva kijiji kikubwa[emoji23]
 
CHADEMA kimekuwa chama cha ovyo sana. Ukabila unawaponza viongozi wa chama.
 
Kweli walikuwa walikuwa wezi kwa kutolipa kodi na wengine walifungiwa mahesabu wakalipa.Sasa kosa lake ni lipi? Mfanyakazi analipishwa kodi kila mwezi kwa mshahara wa laki nne,yeye mfanyabiasha nani asilipe kodi tuwe tinajitambua na kufanya udadisi wakati wakuchangia hoja
 
Nani anasema tuliibiwa kura? Tunasema Magufuli alinajisi uchaguzi na hayo tuliona kwa macho yetu. Unatuokoteza vijimaneno vya jukwaani na kujifichia humo, ukidhani utauficha ukweli wa kilichotokea kwenye uchaguzi ule?
Labda mliibiwa huko kilimanjaro na arusha lakini kwa kanda ya ziwa mikoa ya kati na pwani hamna chenu mkajipang.
 
Arusha ndiyo sehemu ambako kiliporwa pesa nyingi kwenye maduka ya kubadilisha fedha kiliko eneo lolote la Tanzania. Mpaka leo, haijulikani pesa ile aliipeleka wapi, kwa maana hakuna mahali popote, si benki kuu wala wizara ya fedha, ilikopelekwa.
Una mimba ya miezi mingapi naona una hyperemesis gravidarum.
 
AAsante
Asante Nguruvi3 kwa kukoleza mada
 
Dawa ni kuiondoa CCM ndo imezaa haya yote.
Kilichopo hapa ni kupigania iondoke tu tupumue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…