Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe ajitajidi sana kujizuia kupenda kabila lake kuliko utanzania.. ajiepushe na kauli za ukabila na ukanda. Yeye ni mwenyekiti. Kauli yake ni kauli ya chama.
 
ipo mikoa zaidi ya 25 hapa TZ..kwanini mikoa inayolalama kuonewa ni miwili tu..yaaani mikoa yooote ilikuwa fairly treated isipokuwa Arusha na Moshi! Madai ya ajabu sana haya.
 
Mbowe ni kiongozi mshenzi, muongo na katili. Tatizo anaongoza nyumbu, watu wenye akili ndogo na wanafiki.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!

Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!

Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Ukweli huponya majeraha, na muasisi wa ubaguzi anajulikana Kwa matendo na maneno
 
Utawala uliwatesaje?

Kwamba Magufuli alikua anaua, anafunga na kuwapoteza watu wa Arusha na Kilimanjaro?

Kitu mbowe hana hua ni reasoning. Mbowe hutanguliza hisia kuliko uhalisia. Mbowe kuropoka lolote linalokuja kichwani mwake ni kawaida.

Magufuli aliwatesaje watu wa Kilimanjaro na Arusha?

Hii ni mara ya pili Mbowe anaendelea kusambaza chuki ya ukabila kwa wachaga wenzake. Mwaka jana alisema hili naona amerudia, sasa atalisema hili mara ngapi?

Hata kama kweli(ingawa sio kweli) Magufuli alifanya hivyo, Magufuli alishakufa mwaka mmoja uliopita, yeye sasa ajikite kwenye kujenga chama, Magufuli hayupo tena.

Sasa yeye kila akisimama tu kwa wachaga wenzake anamzungumzia Magufuli, Magufuli, Magufuli.

Magufuli angekua anawatesa na kuwachukia watu wa Kilimanjaro na Arusha angempa mkuu wa Usalama wake kutoka Kilimanjaro?

Wachaga na ukabila ni sawa na samaki na maji. Kabila la hovyo kabisa.

Vyama vingine ni vya kitapeli tu.
Kabila la hovyo? Kila mahali wapo hata kijijin kwako kama sio mtaalam bas ni mfanyabiashara wa hovyo ni nyie wapanda mafisi
 
Back
Top Bottom