Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Mbowe ajitajidi sana kujizuia kupenda kabila lake kuliko utanzania.. ajiepushe na kauli za ukabila na ukanda. Yeye ni mwenyekiti. Kauli yake ni kauli ya chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mikoa ya kipuuzi sana. Ni ya kimasikini na imekuwa dormant kwa miaka mingi.ipo mikoa zaidi ya 25 hapa TZ..kwanini mikoa inayolalama kuonewa ni miwili tu..yaaani mikoa yooote ilikuwa fairly treated isipokuwa Arusha na Moshi! Madai ya ajabu sana haya.
Ukweli huponya majeraha, na muasisi wa ubaguzi anajulikana Kwa matendo na manenoHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Unafiki gani? Huyo mpanda fisi mwenzio ndio alikuwa mnafikiAnajificha kwenye haki huku anauchungu ndani yake mnafiki sana huyu mzee!
Mbna hukunkemea magu? Alikuwa hapandikizi?Binafsi nachukizwa sana na siasa zenye kupandikiza chuki
Kabila la hovyo? Kila mahali wapo hata kijijin kwako kama sio mtaalam bas ni mfanyabiashara wa hovyo ni nyie wapanda mafisiUtawala uliwatesaje?
Kwamba Magufuli alikua anaua, anafunga na kuwapoteza watu wa Arusha na Kilimanjaro?
Kitu mbowe hana hua ni reasoning. Mbowe hutanguliza hisia kuliko uhalisia. Mbowe kuropoka lolote linalokuja kichwani mwake ni kawaida.
Magufuli aliwatesaje watu wa Kilimanjaro na Arusha?
Hii ni mara ya pili Mbowe anaendelea kusambaza chuki ya ukabila kwa wachaga wenzake. Mwaka jana alisema hili naona amerudia, sasa atalisema hili mara ngapi?
Hata kama kweli(ingawa sio kweli) Magufuli alifanya hivyo, Magufuli alishakufa mwaka mmoja uliopita, yeye sasa ajikite kwenye kujenga chama, Magufuli hayupo tena.
Sasa yeye kila akisimama tu kwa wachaga wenzake anamzungumzia Magufuli, Magufuli, Magufuli.
Magufuli angekua anawatesa na kuwachukia watu wa Kilimanjaro na Arusha angempa mkuu wa Usalama wake kutoka Kilimanjaro?
Wachaga na ukabila ni sawa na samaki na maji. Kabila la hovyo kabisa.
Vyama vingine ni vya kitapeli tu.
Chuki alikuwa nazo mwendazakeIla kusema kweli naona kabisa huyu mzee anachuki sana japo anaongea kana kwamba ni mzalendo!