Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Kabla ya kusema Mbowe ambaye ni mwenyeikiti tu hajawahi kuwa Rais, hebu tuangalie rekodi ya anayetuhumiwa ambaye alikuwa Rais wa Tanzania Bw. JP Magufuli katika mambo yafuatayo ili tuone kama kuna ukweli au ni chuki tu!

Utu
Haki
Uhuru wa Wananchi
Uhuru wa vyombo vya habari
Demokrasia
Utwala bora
Utendaji
Unamchagulia nan cha kuanaglia???
Ubaguzi ukifanywa na raisi ndio ubaguzi ukifanywa na mtu wa kawaida sio ubaguzi?
wachaga toka tupate uhuru ni wabaguzi..
Toka chadema ianzishwe ushaona mwenyekiti sio mchaga???
why hawasemi huo ni ukabla au chama ni mali ya mtu binafsi????
 
Acheni ujinga wenu enyi manyanyasaji!
Mwendazake aliwatendea kitu mbaya sana watu wa kaskazini!
Aliwapora mali zao, waliwekwa ndani, walitishwa na kutakiwa kusalimisha fedha zao hovyo na bila sheria! Kuna ambao hadi walifilisika na wengine walikimbizia pesa zao benki za Kenya! Hata vyeo hakupenda watu wa kaskazini kabisa na hii ni tangu akiwa waziri popote alipokaa alikuwa hapendi kabisa watu wa kaskazini. Mwenyezi Mungu jina lako lihimidiwe.
Sasa km wengi wenu wajinga wajinga je?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hapa SIKUBALIANI na wewe sambulugu. Magufuli alitaka kuharibu umoja wa Taifa letu kwa kuwagawa watu kiitikadi na kikabila. Alidiriki kusema kwenye mikutano kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge WAPINZANI.

Magufuli alikandamiza demokrasia, aliminya uhuru wa maoni na vyombo huru vya habari. Magufuli aliitisha Mahakama na kuliongoza Bunge kwa remote control. Magufuli alikuwa anateka, anaua, ananya g'anya fedha za wafanyabiashara.

Ameiba uchaguzi wa S/Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi wa 2020 na kuweka wabunge anaowataka yeye ili wangekuwa kubadilisha Katiba kumruhusu kutawala Milele baada ya 2025, ila tushukuru sana Mungu kafanya yake mwaka Jana March 17.

Kwa maana hiyo LAZIMA tupaze sauti zifike mbali dhidi ya uhayawani na ufedhuli wote wa Magufuli mpaka Dunia ielewe kuwa tulikuwa tunatawaliwa na shetani.
Inawezekana unachosema kina ukweli lakini hakifanyi kauli za Mbowe kuwa sahihi.
 
Unamchagulia nan cha kuanaglia???
Ubaguzi ukifanywa na raisi ndio ubaguzi ukifanywa na mtu wa kawaida sio ubaguzi?
wachaga toka tupate uhuru ni wabaguzi..
Toka chadema ianzishwe ushaona mwenyekiti sio mchaga???
why hawasemi huo ni ukabla au chama ni mali ya mtu binafsi????
Kwanini watu hawataki kutetea rekodi ya Magufuli?

Rekodi ya Nyerere ipo wazi na inajadiliwa kwa wema na ubaya miaka 20+, mbona ya Magufuli ni nongwa.

Ubaguzi unaofanywa na Raia mmoja mmoja hauna madhara kama ule wa kiongozi.
Tazama kauli ya Magufuli kule Iringa, ilikuwa ni habari, nani anazungumzia mtu mwingine!

Mtendeeni haki magufuli, jadilini rekodi yake kwa upana na ukubwa wake.
Msimsingizie kuwa kaleta flyover tu kwa miaka 6, mnamdhulumu. Vipi haya

Kuthamini Utu wa mwandamu
Kutenda haki , kuisimamia haki
Utawala bora
Demokrasia
Taasisi za nchi
Mashirikiano ya kikanda na kimataifa

kwa uchache tu, kama kuna lililobaki tuongeze
 
popoma mamako aliyesahau kutumia kondom likazaliwa jitu lenye kwashiakor kichwani km wewe. Hamtakaa kuongoza nchi yetu na njaa zenu zisizoisha. Mkiiba mnajisifu halafu kanisani na misikitini hamkosi viumbe gani nyie? Yule makengeza wenu anazidi kuwasha moto wa chuki, hawasaidii chocote zaidi ya kuwaangamiza.
Tapika hasira ili tujue kuwa umekasirika
 
Inawezekana unachosema kina ukweli lakini hakifanyi kauli za Mbowe kuwa sahihi.
Kama huwezi kukemea UFEDHULI wa Magufuli, huitakii mema nchi yetu. Muache Mbowe apaze sauti kama alivyopaza Zitto Kabwe, Anthony Dialo Vicky Kamata, Askofu Mwingira na Membe juu ya UHAYAWANI aliowafanyia.
 
Hapa namzungumzia Mbowe kutaka kuaminisha watu kuwa Magufuli alitesa watu wa huko! Huo ni ujinga wa hali ya juu!

Tuliwahi mkanya hapa jf ya kuwa kuanza kueleza yale yaliyotukia ni kufirisika kisiasa. Lkn kwa kuwa amechagua kutosikia ambacho wahenga wanachosema, basi kitakachomkuta 2025 ni halali yake.

Badala ya kujenga hoja, anapoteza muda wa kushughulika na wafu. Hiyo haisaidii, maana hamna anayeweza kujibu hilo.
 
CHADEMA kimekuwa chama cha ovyo sana. Ukabila unawaponza viongozi wa

Acheni ujinga wenu enyi manyanyasaji!
Mwendazake aliwatendea kitu mbaya sana watu wa kaskazini!
Aliwapora mali zao, waliwekwa ndani, walitishwa na kutakiwa kusalimisha fedha zao hovyo na bila sheria! Kuna ambao hadi walifilisika na wengine walikimbizia pesa zao benki za Kenya! Hata vyeo hakupenda watu wa kaskazini kabisa na hii ni tangu akiwa waziri popote alipokaa alikuwa hapendi kabisa watu wa kaskazini. Mwenyezi Mungu jina lako lihimidiwe.
Pelekeni orodhaya matatizo yenu Kanisani kama mlivyofanya jana
 


Akawapelekea na mradi mkubwa wa maji Same/Mwanga.

Ebu akaulize na miradi mingine yenye tija inayotumika na wananchi wakawaida maeneo hayo.

Upuuzi wa hawa watu is beyond me

Kawajengea kiwanda Cha bidhaaza ngozi kikubwa afrika mashariki wakati hata ufugaji wa mifugo ni kidogo sana.Magufuli anawachanganya kwa kazi kubwa aliyefanya kwa kipindi kifupi
 
Kwanini watu hawataki kutetea rekodi ya Magufuli?

Rekodi ya Nyerere ipo wazi na inajadiliwa kwa wema na ubaya miaka 20+, mbona ya Magufuli ni nongwa.

Ubaguzi unaofanywa na Raia mmoja mmoja hauna madhara kama ule wa kiongozi.
Tazama kauli ya Magufuli kule Iringa, ilikuwa ni habari, nani anazungumzia mtu mwingine!

Mtendeeni haki magufuli, jadilini rekodi yake kwa upana na ukubwa wake.
Msimsingizie kuwa kaleta flyover tu kwa miaka 6, mnamdhulumu. Vipi haya

Kuthamini Utu wa mwandamu
Kutenda haki , kuisimamia haki
Utawala bora
Demokrasia
Taasisi za nchi
Mashirikiano ya kikanda na kimataifa

kwa uchache tu, kama kuna lililobaki tuongeze
umesema watu hawataki kutetea rekodi watu gani unaiongelea??
Tusipangiane cha kusema unaona uovu ni sawa mimi naona wema
wake ni sawa.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!

Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!

Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Mbowe moyoni anapogania utukufu wa wachaga

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
umesema watu hawataki kutetea rekodi watu gani unaiongelea??
Tusipangiane cha kusema unaona uovu ni sawa mimi naona wema
wake ni sawa.
Mjadala mzima hauna utetezi wa rekodi ya Magufuli, kulikoni?

Kusema kajenga flyover tu miaka 6 si kumtendea haki, Magufuli kafanya mengi sana

Moja ya mengi aliyofanya ni ku-control inflation na kurudisha nidhamu ya kazi. Hii ni rekodi lakini haiishii hapo, kuna haki za bunadamu, kujali upendo na utu, demokrasia, utawala bora, mashirikiano ya kikanda na kimataifa! n.k. hebu tujadili huko

Sikubaliani na watu wanaoweka flyover kama rekodi yake, hawamtendei haki wanamuonea tu.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!

Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!

Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Mwambieni Mbowe aache UPUMBAVU kauli hii ya kiongozi wa kitaifa inaonyesha jinsi watu wa Kaskazini walivyo wabinafsi na wabaguzi.
 
Tupe mifano ya ukatili wake.
Unawanyima maendeleo wananchi wako, hasa maji kisa wamechagua mbunge toka upinzani?!!na unawaambia kabisa ole wenu tena mumchague?!
Wananchi wako wanapotea/miili inaokotwa imefungwa kwenye viroba lakini rais wala hushituki!!
Unawaongopea wananchi wako kuwa hukopi pesa za mabeberu, kumbe unakopa!!
Wananchi wako wanakumbwa na baa la njaa kutokana na ukosefu wa mvua unawaambia wafe tu, serikali haina mashamba!!!lakini nchi jirani unatoa misaada!!
MUNGU FUNDI.
 
Ni ukweli wala hajakosea, mwendazake alitamka wazi kabisa.
Tena akaenda mbali zaidi na kuwavunjia nyumba zao kimare na mbezi huku akisema kule kisesa wasivunjiwe(wasukuma wenzake)

Yule jamaa alikuwa na roho kama koboko,
Anachomeka tu huko aliko
Hivi nyumba za Kimara na Mbezi zilizo vunjwa zilikuwa za wa kasikazini? Au zilikuwa za wa Pwani (Wazaramo, wakwere, wandengereko etc)!
Siku hizi mnaanza kujikatia sehemu zenu kwenye sehemu za umma! Yaani (China Land) - msifanye hayo mtanzania ana haki ya kukaa mahali popote.
Nyumba za Kimara na Mbezi zilizovunjwa zilikuwa za watu wa makabila tofauti.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!

Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!

Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Mbowe anatoa mtazamo, maoni na uzoefu wake na anayohaki hiyo ya kikatiba, na wewe unahaki ya kusema kwa nguvu zote kwamba Magufuli alikuwa mtu mzuri Sana period! Go public ni haki yako, sio kumlazimisha Mbowe amtukuze Jiwe wakati yeye anaona tofauti! Huna haki hiyo, anakosea au anapatia Hilo sio dhambi yako! NONSENSE
 
Kama huwezi kukemea UFEDHULI wa Magufuli, huitakii mema nchi yetu. Muache Mbowe apaze sauti kama alivyopaza Zitto Kabwe, Anthony Dialo Vicky Kamata, Askofu Mwingira na Membe juu ya UHAYAWANI aliowafanyia.
Kwani hii nchi ni ya wachaga tu
 
Utawala uliwatesaje?

Kwamba Magufuli alikua anaua, anafunga na kuwapoteza watu wa Arusha na Kilimanjaro?

Kitu mbowe hana hua ni reasoning. Mbowe hutanguliza hisia kuliko uhalisia. Mbowe kuropoka lolote linalokuja kichwani mwake ni kawaida.

Magufuli aliwatesaje watu wa Kilimanjaro na Arusha?

Hii ni mara ya pili Mbowe anaendelea kusambaza chuki ya ukabila kwa wachaga wenzake. Mwaka jana alisema hili naona amerudia, sasa atalisema hili mara ngapi?

Hata kama kweli(ingawa sio kweli) Magufuli alifanya hivyo, Magufuli alishakufa mwaka mmoja uliopita, yeye sasa ajikite kwenye kujenga chama, Magufuli hayupo tena.

Sasa yeye kila akisimama tu kwa wachaga wenzake anamzungumzia Magufuli, Magufuli, Magufuli.

Magufuli angekua anawatesa na kuwachukia watu wa Kilimanjaro na Arusha angempa mkuu wa Usalama wake kutoka Kilimanjaro?

Wachaga na ukabila ni sawa na samaki na maji. Kabila la hovyo kabisa.

Vyama vingine ni vya kitapeli tu.
Tulia,[emoji382][emoji382][emoji381]Uhalisia ndo huo, aliua watu wa kilimanjaro(ben saanane) alivamia maduka ya fedha za kigeni mikoa ya arusha,kilimanjaro na dar ambayo yalikuwa ya wachaga, alifreeze account zao alivunja nyumba zao kimara_mbezi ambako wakaazi wake wengi ni toka uchagani
Hayo ni baadhi tu .
 
Anajificha kwenye haki huku anauchungu ndani yake mnafiki sana huyu mzee!

Anataka kupanda mbegu ya chuki za kikanda baina ya Watanzania. Mtu asiyejua kuthink big angalau akajiuliza na kuelewa Mh Rais anapo sema tumechora mstari mwekundu tuanze upya hiyo ni coded language utamsaidia vipi? Anasema amesamehe hana uchungu wakati maneno na matendo yanaonesha uchungu umemjaa tele na ni wazi akipata fursa ya kulipiza ataitumia vilivyo.

Maswali ya kumsaidia Mbowe anafikiri wakina Kiangalia na waaina hiyo they are short of options sio na walifanya hivyo kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom