Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Alisema ''.. Watu wa kaskazini watusubiri'' Rais wa nchi hawezi kutoa kauli ya kibaguzi kama hiyo
Hao wananchi wanakosa gani? Nini alichokiona na kutangaza mbele ya hadhara ?

Kukataa kupeleka maendeleo kwa watu wanaokusanya kodi ni ukataili na ubaguzi
Watetezi wa Magufuli hawaongelei rekodi yake mbaya sana ya kubomoa umoja wa kitaifa
Mijadala ya hovyo haikuwahi kutokea hadi pale Magufuli alipoingia madarakani na kupanda mbegu hii, lazima tikemee na rekodi yake iweke sawa.

Watu hawakuongea kwa simu, alirekodi kwa siri. Watu hawakuzungumzia chochote kwa kuogopa kupotezwa na wengi walipotea. Mfumo wa Watu wasiojulikana ume asisiwa na Magufuli aliwa na genge lake la akina Sabaya na Mkolomije . Rekodi ya Magufuli katika uhuru wa habari, wananchi n.k. ni mbaya. Tuweke rekodi yake sawa

Kwa ushahidi wa kauli yake ''... Nani angeshinda uchaguzi kama si mimi'' aliwaambia Wabunge. Kuharibika kwa mfumo wa Mahakama ni zao la Magufuli akiwata watoze watu faini badala ya kusimamia sheria. Mwendesha mashtaka akageuka kuwa TRA. Tuweke rekodi yake sawa

Tunaambiwa kajenga barabara, SGR n.k. Vitu hivyo alijenga Nyerere

Tumeambiwa anatumia pesa za ndani, leo tunajua tuna madeni makubwa ya Taifa

Rekodi ya Magufuli katika utu ni ya kujiuliza. Watu wanaokotwa bharini, kwenye mifereji tunaambiwa wametoka South Africa.

Uwepo wa Genge la Sabaya na Makonda na wasiojulikana ni zao la Magufuli.

Pesa za kununua ndege hazikupitia mfumo wa nchi, hatujui zimetumikaje akishirikiana na mtoto wa dada yake. Magufuli aligeuza hazina kama mali binafsi.
Aliua taasisi kama vyombo vya habari, Bunge na idara nyingine muhimu za nchi.

Tuweke rekodi sawa!

JokaKuu
Magu alitoa the taste of their own medicine and as expected they didnt like it
 
Kuna kaukweli fulani anayoongea Mbowe lakini hii angeweza kuipotezea tuu maana ina hasara zaidi ya faida katika siasa
 
Magu alitoa the taste of their own medicine and as expected they didnt like it
Tumtendee haki, tujadili ni rekodi yake

Kuhusu Utu , kujali na kuthamini maisha ya watu
Kuhusu Haki, kuitenda na kuisimamia
Kuhusu Utawala bora
Kuhusu Demokrasia
Kuhusu Mahusiano na jirani
Kuhusu mahusiano ya kimataifa

Tukijadili haya tutamtendea haki, kumsingizia kaanzisha SGR si haki. Kuzungumzia flyover tu wakati ametenda mengi si kumtendea haki. Magufuli atendewe haki kwa kuzungumziwa kwa ujumla wake.

JokaKuu
 
Mbowe na chama chake cha wachaga amejaa chuki tu kwa JPM....hicho chama chake cha wachaga hakina shukrani JPM katifanyia mengi sisi watanzania.
Sawa sawa,huyo Mbowe mwache asikusumbue kwasababu hajawahi kuwa Rais

Tuongelee mengi aliyofanya Rais Magufuli kwa Watanzania kama unavyosema

Hatuwezi kuongelea flyover tu, hatutamtendea haki kwasababu kwa miaka 6 kafanya mengi na si flyover tu.

Ili tumjadili Magufuli kwa ujumla kama tunavyomjadili Mwl Nyerere au Mkapa ni vema tuangalie rekodi yake katika haya :

Utu na haki zaa binadamu
Uzalendo na upendo kwa nchi
Utawala Bora
Demookrasia
Serikali na taasisi zaake
Maahusiano ya kikanda
Mahusiano ya kimataifa
Kukabiliana na majanga ya kitaifa na kimataifa

Haitoshi kusema ''katufanyia mengi'' ni vema tukayaeleza na hapo utakuwa unamtendea haki.
Magufuli atendewe haki asijadiliwe nusu nusu kwa flyover, tusimdhulumu katenda mengi, tuyajadili

Tafadhali anza na hayo hapo juu kama yapo tuliyosahau tutaongeza

JokaKuu
 
Endeleeni kuwachukia wachaaga sijui wachaga huwa wanawachukia kina nani ..upo ukweli magufuli alijenga chuki MBAYA dhidi ya watu wa kaskazini na ilikuwa nisawa kumbagua mkaskazini
 
Hao majuha achana nao..
Hawawezi kukuelewa kwa sababu toka Magufuli awe raisi
life kwao was never same again mirija ya undugu na wizi katika
sekta nyeti ilikatwa hata mimi nisingekuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa ndipo tunapo wagundua wahuni na uhuni wa chadema. Hawa wanatetea matumbo yao na sio kuwatetea wanyonge na maskini Ambao utawala wa Awamu ya sita umewatelekeza na kukumbatia Matajiri.

Watanzania tuna Akili timamu sana Na Tunamshukuru sana Magufuli Alitufungua macho sana.

Ukweli utabaki kuwa kweli Hakuna kama Magufuli. Wanaomchukia ni wahuni na mafisadi na vibaraka wao.
 
Kwa hio hamtaki kusini wapate maendeleo km kaskazini sio?

Kwa mfano:
Kigoma na Kilimanjaro kunafanana?

Sidhani km kuna kabila wabaguzi km Wachaga hii nchi ila Mungu ashawaona na kulishughulikia
Uvivu wenu ndiyo unewafanya muwe maskini. Umasikini hauondolewi na serikali. Udhaifu wenu mnalalamikia watu wa kaskazini. Mimi kwetu Kusini lakini hiki unachosema ni nonsense
 
Y
Masharti hayo kwamba lazima amtukane na kumponda Magu lkn swali ni kwamba after all said and done chadema na Wachaga watapata nini kutoka kwa hii Serikali ya Samia? Mnafikiri Samia atawakabidhi power ? Sana sana mnatumiwa kama kiatu ili utawala wake uende smooth msimsumbue baada ya hapo hatowajua na hakuna kitu mtamfanya, kiatu kinatumiwa kikichakaa kinatupwa hakuna anayekumbuka kwamba kilimsaidia asichomwe na jua au miba, na ndivyo chadema na Wachaga watakachofanyiwa kama kiatu …
You are right!
 
Utawala wa Magufuli uliwatesa vipi watu wa Arusha na Kilimanjaro? Ni vyema akasema ni mateso gani ili Watanzania tuelewe
eti alitaka kuua CDM hai na kilimajaro kote kwa kumtumia sabaya - kitu imefeli vibaya sana.
 
Magufuli alipanda ana aliishi katika mbegu ya kuwabagua watu wa kaskazini. Hii mbegu ipo sana kwa makabila yasio na exposure. Yani washamba. Wanawapinga na kuwapiga vita wachaga lakini ukifuatilia vizuri utakuta, ni wivu, unafik na ujinga ndani yake. Hao wachaga hawapo organized wao kwa wao wamegawanyika sana Yani. Hii kitu ni mbaya sana utadhani sio raia halali wa Tanzania. It is not healthy for a politician to be divisive,the late president was openly divisive , a tribalist and sadist he gave a lot of people scars. May he rot in hell.
 
Utawala uliwatesaje?

Kwamba Magufuli alikua anaua, anafunga na kuwapoteza watu wa Arusha na Kilimanjaro?

Kitu mbowe hana hua ni reasoning. Mbowe hutanguliza hisia kuliko uhalisia. Mbowe kuropoka lolote linalokuja kichwani mwake ni kawaida.

Magufuli aliwatesaje watu wa Kilimanjaro na Arusha?

Hii ni mara ya pili Mbowe anaendelea kusambaza chuki ya ukabila kwa wachaga wenzake. Mwaka jana alisema hili naona amerudia, sasa atalisema hili mara ngapi?

Hata kama kweli(ingawa sio kweli) Magufuli alifanya hivyo, Magufuli alishakufa mwaka mmoja uliopita, yeye sasa ajikite kwenye kujenga chama, Magufuli hayupo tena.

Sasa yeye kila akisimama tu kwa wachaga wenzake anamzungumzia Magufuli, Magufuli, Magufuli.

Magufuli angekua anawatesa na kuwachukia watu wa Kilimanjaro na Arusha angempa mkuu wa Usalama wake kutoka Kilimanjaro?

Wachaga na ukabila ni sawa na samaki na maji. Kabila la hovyo kabisa.

Vyama vingine ni vya kitapeli tu.
A few days to come he will join him where he is...........................he has since his acquittal been bad-mouthing about Magufuli's regime that it was brutal, violent, cruelty and unjust without considering the repercussion for his agency mission to the community attached to his excellence late Dr. JPM.

Bygone is bygone, branding it as alive is a futility that is what he is going to reap for regret.
 
Weka haki ???? Nani akuwekee hiyo haki ? Haki haipewi haki inachukuliwa, haki inalazimishwa hakuna atakayekupa haki , na ndo maana kubembeleza kwa Mbowe na kusifu hakutomfikisha popote, haki inachukuliwa inashinikizwa haiwekwi mezani uje uchukuwe, the world owes you nothing, man!
True !! True!!! Bitter truth! Who from the most passive society in the planet is able to snatch the rights..? How old are you? Before getting my candid opinion??
 
Yeye aseme tuu ,mana ndo hoja anayoona itamweka mjini
Acheni ujinga wenu enyi manyanyasaji!
Mwendazake aliwatendea kitu mbaya sana watu wa kaskazini!
Aliwapora mali zao, waliwekwa ndani, walitishwa na kutakiwa kusalimisha fedha zao hovyo na bila sheria! Kuna ambao hadi walifilisika na wengine walikimbizia pesa zao benki za Kenya! Hata vyeo hakupenda watu wa kaskazini kabisa na hii ni tangu akiwa waziri popote alipokaa alikuwa hapendi kabisa watu wa kaskazini. Mwenyezi Mungu jina lako lihimidiwe.
 
Uvivu wenu ndiyo unewafanya muwe maskini. Umasikini hauondolewi na serikali. Udhaifu wenu mnalalamikia watu wa kaskazini. Mimi kwetu Kusini lakini hiki unachosema ni nonsense
Haya basi wasubiri kanda zingine nao saivi sio wavivu🤣
 
Muulize Sabaya na genge lake haramu kule mahakamani siku hizi wanaenda kufanya nini, na ile hukumu waliyopewa ilikuwa ya makosa gani kama sio matendo yao ya kikatili kwa wananchi wa Kilimanjaro na Arusha.
Yaani ilikuwa ni zaidi ya mateso asee
 
Back
Top Bottom