love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Unamchagulia nan cha kuanaglia???Kabla ya kusema Mbowe ambaye ni mwenyeikiti tu hajawahi kuwa Rais, hebu tuangalie rekodi ya anayetuhumiwa ambaye alikuwa Rais wa Tanzania Bw. JP Magufuli katika mambo yafuatayo ili tuone kama kuna ukweli au ni chuki tu!
Utu
Haki
Uhuru wa Wananchi
Uhuru wa vyombo vya habari
Demokrasia
Utwala bora
Utendaji
Sasa km wengi wenu wajinga wajinga je?Acheni ujinga wenu enyi manyanyasaji!
Mwendazake aliwatendea kitu mbaya sana watu wa kaskazini!
Aliwapora mali zao, waliwekwa ndani, walitishwa na kutakiwa kusalimisha fedha zao hovyo na bila sheria! Kuna ambao hadi walifilisika na wengine walikimbizia pesa zao benki za Kenya! Hata vyeo hakupenda watu wa kaskazini kabisa na hii ni tangu akiwa waziri popote alipokaa alikuwa hapendi kabisa watu wa kaskazini. Mwenyezi Mungu jina lako lihimidiwe.
Waswahili bhana,eti siasa zenye kupandikiza chukiBinafsi nachukizwa sana na siasa zenye kupandikiza chuki
Inawezekana unachosema kina ukweli lakini hakifanyi kauli za Mbowe kuwa sahihi.Hapa SIKUBALIANI na wewe sambulugu. Magufuli alitaka kuharibu umoja wa Taifa letu kwa kuwagawa watu kiitikadi na kikabila. Alidiriki kusema kwenye mikutano kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge WAPINZANI.
Magufuli alikandamiza demokrasia, aliminya uhuru wa maoni na vyombo huru vya habari. Magufuli aliitisha Mahakama na kuliongoza Bunge kwa remote control. Magufuli alikuwa anateka, anaua, ananya g'anya fedha za wafanyabiashara.
Ameiba uchaguzi wa S/Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi wa 2020 na kuweka wabunge anaowataka yeye ili wangekuwa kubadilisha Katiba kumruhusu kutawala Milele baada ya 2025, ila tushukuru sana Mungu kafanya yake mwaka Jana March 17.
Kwa maana hiyo LAZIMA tupaze sauti zifike mbali dhidi ya uhayawani na ufedhuli wote wa Magufuli mpaka Dunia ielewe kuwa tulikuwa tunatawaliwa na shetani.
Kwanini watu hawataki kutetea rekodi ya Magufuli?Unamchagulia nan cha kuanaglia???
Ubaguzi ukifanywa na raisi ndio ubaguzi ukifanywa na mtu wa kawaida sio ubaguzi?
wachaga toka tupate uhuru ni wabaguzi..
Toka chadema ianzishwe ushaona mwenyekiti sio mchaga???
why hawasemi huo ni ukabla au chama ni mali ya mtu binafsi????
Tapika hasira ili tujue kuwa umekasirikapopoma mamako aliyesahau kutumia kondom likazaliwa jitu lenye kwashiakor kichwani km wewe. Hamtakaa kuongoza nchi yetu na njaa zenu zisizoisha. Mkiiba mnajisifu halafu kanisani na misikitini hamkosi viumbe gani nyie? Yule makengeza wenu anazidi kuwasha moto wa chuki, hawasaidii chocote zaidi ya kuwaangamiza.
Kama huwezi kukemea UFEDHULI wa Magufuli, huitakii mema nchi yetu. Muache Mbowe apaze sauti kama alivyopaza Zitto Kabwe, Anthony Dialo Vicky Kamata, Askofu Mwingira na Membe juu ya UHAYAWANI aliowafanyia.Inawezekana unachosema kina ukweli lakini hakifanyi kauli za Mbowe kuwa sahihi.
Hapa namzungumzia Mbowe kutaka kuaminisha watu kuwa Magufuli alitesa watu wa huko! Huo ni ujinga wa hali ya juu!
CHADEMA kimekuwa chama cha ovyo sana. Ukabila unawaponza viongozi wa
Pelekeni orodhaya matatizo yenu Kanisani kama mlivyofanya janaAcheni ujinga wenu enyi manyanyasaji!
Mwendazake aliwatendea kitu mbaya sana watu wa kaskazini!
Aliwapora mali zao, waliwekwa ndani, walitishwa na kutakiwa kusalimisha fedha zao hovyo na bila sheria! Kuna ambao hadi walifilisika na wengine walikimbizia pesa zao benki za Kenya! Hata vyeo hakupenda watu wa kaskazini kabisa na hii ni tangu akiwa waziri popote alipokaa alikuwa hapendi kabisa watu wa kaskazini. Mwenyezi Mungu jina lako lihimidiwe.
Kawajengea kiwanda Cha bidhaaza ngozi kikubwa afrika mashariki wakati hata ufugaji wa mifugo ni kidogo sana.Magufuli anawachanganya kwa kazi kubwa aliyefanya kwa kipindi kifupi
Akawapelekea na mradi mkubwa wa maji Same/Mwanga.
Ebu akaulize na miradi mingine yenye tija inayotumika na wananchi wakawaida maeneo hayo.
Upuuzi wa hawa watu is beyond me
umesema watu hawataki kutetea rekodi watu gani unaiongelea??Kwanini watu hawataki kutetea rekodi ya Magufuli?
Rekodi ya Nyerere ipo wazi na inajadiliwa kwa wema na ubaya miaka 20+, mbona ya Magufuli ni nongwa.
Ubaguzi unaofanywa na Raia mmoja mmoja hauna madhara kama ule wa kiongozi.
Tazama kauli ya Magufuli kule Iringa, ilikuwa ni habari, nani anazungumzia mtu mwingine!
Mtendeeni haki magufuli, jadilini rekodi yake kwa upana na ukubwa wake.
Msimsingizie kuwa kaleta flyover tu kwa miaka 6, mnamdhulumu. Vipi haya
Kuthamini Utu wa mwandamu
Kutenda haki , kuisimamia haki
Utawala bora
Demokrasia
Taasisi za nchi
Mashirikiano ya kikanda na kimataifa
kwa uchache tu, kama kuna lililobaki tuongeze
Mbowe moyoni anapogania utukufu wa wachagaHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Mjadala mzima hauna utetezi wa rekodi ya Magufuli, kulikoni?umesema watu hawataki kutetea rekodi watu gani unaiongelea??
Tusipangiane cha kusema unaona uovu ni sawa mimi naona wema
wake ni sawa.
Mwambieni Mbowe aache UPUMBAVU kauli hii ya kiongozi wa kitaifa inaonyesha jinsi watu wa Kaskazini walivyo wabinafsi na wabaguzi.Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Unawanyima maendeleo wananchi wako, hasa maji kisa wamechagua mbunge toka upinzani?!!na unawaambia kabisa ole wenu tena mumchague?!Tupe mifano ya ukatili wake.
Hivi nyumba za Kimara na Mbezi zilizo vunjwa zilikuwa za wa kasikazini? Au zilikuwa za wa Pwani (Wazaramo, wakwere, wandengereko etc)!Ni ukweli wala hajakosea, mwendazake alitamka wazi kabisa.
Tena akaenda mbali zaidi na kuwavunjia nyumba zao kimare na mbezi huku akisema kule kisesa wasivunjiwe(wasukuma wenzake)
Yule jamaa alikuwa na roho kama koboko,
Anachomeka tu huko aliko
Mbowe anatoa mtazamo, maoni na uzoefu wake na anayohaki hiyo ya kikatiba, na wewe unahaki ya kusema kwa nguvu zote kwamba Magufuli alikuwa mtu mzuri Sana period! Go public ni haki yako, sio kumlazimisha Mbowe amtukuze Jiwe wakati yeye anaona tofauti! Huna haki hiyo, anakosea au anapatia Hilo sio dhambi yako! NONSENSEHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Kwani hii nchi ni ya wachaga tuKama huwezi kukemea UFEDHULI wa Magufuli, huitakii mema nchi yetu. Muache Mbowe apaze sauti kama alivyopaza Zitto Kabwe, Anthony Dialo Vicky Kamata, Askofu Mwingira na Membe juu ya UHAYAWANI aliowafanyia.
Tulia,[emoji382][emoji382][emoji381]Uhalisia ndo huo, aliua watu wa kilimanjaro(ben saanane) alivamia maduka ya fedha za kigeni mikoa ya arusha,kilimanjaro na dar ambayo yalikuwa ya wachaga, alifreeze account zao alivunja nyumba zao kimara_mbezi ambako wakaazi wake wengi ni toka uchaganiUtawala uliwatesaje?
Kwamba Magufuli alikua anaua, anafunga na kuwapoteza watu wa Arusha na Kilimanjaro?
Kitu mbowe hana hua ni reasoning. Mbowe hutanguliza hisia kuliko uhalisia. Mbowe kuropoka lolote linalokuja kichwani mwake ni kawaida.
Magufuli aliwatesaje watu wa Kilimanjaro na Arusha?
Hii ni mara ya pili Mbowe anaendelea kusambaza chuki ya ukabila kwa wachaga wenzake. Mwaka jana alisema hili naona amerudia, sasa atalisema hili mara ngapi?
Hata kama kweli(ingawa sio kweli) Magufuli alifanya hivyo, Magufuli alishakufa mwaka mmoja uliopita, yeye sasa ajikite kwenye kujenga chama, Magufuli hayupo tena.
Sasa yeye kila akisimama tu kwa wachaga wenzake anamzungumzia Magufuli, Magufuli, Magufuli.
Magufuli angekua anawatesa na kuwachukia watu wa Kilimanjaro na Arusha angempa mkuu wa Usalama wake kutoka Kilimanjaro?
Wachaga na ukabila ni sawa na samaki na maji. Kabila la hovyo kabisa.
Vyama vingine ni vya kitapeli tu.
Anajificha kwenye haki huku anauchungu ndani yake mnafiki sana huyu mzee!