Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

Itakuja hapa misukule akina choice variable na MamaSamia2025 kusifia ujinga na ufisadi wa maCCM. Majitu kama haya bora yafe tu!
Mbowe kaongea kitu sahihi ila kinafiki sana kwasababu inamuuma kuwa nje ya bunge. Ninatumaini uchaguzi 2025 utakuwa huru na wa haki ili nao waingie bungeni kutafuna keki ya nchi. Wabunge huwa kitu kimoja bila kujali vyama linapokuja suala la maslahi yao.
 
Wakati ule akiwa bungeni alikuwa anapokea hiyo milioni 13 na yeye????? au hakukubali kupokea? Maana hakuna mkutano wowote aliwahi kusimama wakati ule na yeye ni mbunge akalalamika kuwa analipwa hela nyingi mno zipunguzwe.

Porojo za wanasiasa baaana!😆
 
Manufaa ya tozo. Hapo lazima fisi wa CCM waliojazana bungeni wasifie tozo za Samia na Mwigulu maana faida yake wanaiona.

Kwa tozo tu za sasa wamepanda mpaka Tsh 26m kwa mwezi (mshahara 18m + posho 8m). Samia akiongeza tozo nyingine, watapanda mpaka angalaoTsh 35m kwa mwezi. Hawa lazima waombe Samia awe Rais wa maisha.

Hii ndiyo maana iliyokusudiwa na Samia kuwa kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Ana hoja ya msingi haya ndio mambo ya kuwaletea wananchi wafanye maamuzi yao na kuihoji serikalai yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…