Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

Ni kweli

Bavicha walikuwa wanaona sifa kumpelekea chakula jela
 
Kwenye Uwanja wa Mapambano Mbowe ni Jasiri kuliko Tundu Lisu
 
Haya maneno nusu nusu ya kuokoteza huwa unayaleta huku kwa manufaa ya CCM yako, ila yale mengine yanayokuwepo kwenye hotuba husika unayakwepa makusudi kwa sababu ya uoga wako.

Unaonesha kama vile Mbowe amekata tamaa kitu ambacho sio kweli, ndio kwanza wana mipango mipya itakayowawezesha ili kuyafikia malengo waliyojiwekea.

Mfano Mbowe amesema, watatengeneza vijana elfu moja kila mkoa ili wawe walimu.wa kuhamasisha upatikanaji wa Katiba Mpya, hili hujalisema!.
 

Sikubaliani nawe ndugu. Mgomo utatoka wapi bila organization?

Ninakazia:

"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua."

"Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."

Ukweli huu si wa leo:

https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
 
Katiba ya mwaka 1977 ilipatikana kwa movement gani ya wananchi boss?
Nimesema katiba ya wananchi, hiyo ya 77 ipo kama ilivyo sababu ilipatikana kwa watu wachache kujifungia Ikulu
 
Nimesema katiba ya wananchi, hiyo ya 77 ipo kama ilivyo sababu ilipatikana kwa watu wachache kujifungia Ikulu

Kumbe unaweza kujifungia ikulu na ukapata katiba, futa kauli yako ya awali.
 
Kumbe unaweza kujifungia ikulu na ukapata katiba, futa kauli yako ya awali.
Ndio unaweza kupata ila Katiba ya wananchi ama People centered constitution, inapatikana kupitia movement za mtaani,
 
Ukiona hivyo ujue mbowe na lissu ndio wanataka kitu kwa watanzania. Watanzania hawahitaji kitu kwao.
Mnawaambia watu katiba ni mbaya wakati huohuo hakuna lissu kitu hadai bila kunukuu katiba hiyohiyo. Wanataka katiba iwe dai kuu wakati wananchi dai lao kuu ni maendeleo kiuchumi ya mtu mmojammoja. Kuweza kua na maisha bora ya familia nyumba nzuri, maji elimu, afya.
Baada ya kuona hawana ajenda wanalazimisha agenda ya katiba.
Katiba ni nzuri wala hatuhitaji rais aliyechaguliwa kidemokrasia kupunguziwa madaraka. Muhimu ni wananchi kuhakikisha hawachagui mhuni mtu mbinafsi asiyeogopa mungu kua rais.
Katiba yetu ni nzuri. Isingekua hivyo hili dude lissu lisingeacha kunukuu fifungu kila likiwa na hoja.
Watanzania tuwe makini kwa sababu wahuni fisadi wabinafsi na dhulumati wa haki kwa wanyonge wanataka katiba ya kuweka serikali legelege. Hawapendi serikali imara chini ya mamlaka ya umma.
 
Kwenye Uwanja wa Mapambano Mbowe ni Jasiri kuliko Tundu Lisu

Ustaarabu ni kusema hivi:

"Kwa mawazo yangu kwenye uwanja wa mapambano ...."

Hata hivyo kwani wewe ni nani ndugu? Wewe ni malaika kutuelekeza hayo? Au tumekutuma kutufanyia tahmini?

Si ukawaambie mambuzi hayo ya tathmini yako uchwara.

Zaidi sana zingatia kuna mashindani ya nani zaidi ya Radio one ya Charles Hilary hapa?

Tambueni hamtatugombanisha dhidi ya wawili hao.

"Sisi kama wao tunataka katiba mpya sasa."

Habari ndiyo hiyo.
 
Huyo mbowe na lisu wanafanya nn? Cha muhimu tena safari hii akiingia cha kike tutoe na rambirambi kabisa
 
Tundu Lisu ni mzuri Jukwaani!
 
Ni kweli ila hao wawili Lissu anamsimamo not flexible rigidi, kwa siasa za Bongo ambazo zina maridhiano kwa vitu vingi hata kwenye haki yako, Lissu hawezi, Mbowe bado is the best candidate sio intellectual sana anaweza dirty politics za CCM vizuri anajua mchezo hu wa kinafiki ambao Lissu hauwezi kabisa.......Lissu asumbilie mpaka pale katiba mpya ikipatikana kwasasa hawezi amuachie mwenye kiti ndo ataweza.
 
Ndio unaweza kupata ila Katiba ya wananchi ama People centered constitution, inapatikana kupitia movement za mtaani,

Kama wananchi wanaogopa kushinikiza Kupata katiba yao, acha hao wanasiasa wasioogopa wakadai katiba yao. Hao wananchi uoga ukiisha watadai hiyo yao.
 
Tundu Lisu ni mzuri Jukwaani!
Tathmini yenu elezaneni wenyewe mbona sisi tuna zetu kuhusu ninyi tumenyamaza?

Kwetu Lissu ni shujaa. Kina Tutu, Nyerere, Mandela, Maalim Seif na wa namna hiyo ni mfano wake.

Ole wenu atuite mabarabarani, ndipo mtajua kumbe milikuwa hamjui!
 
Ila yupo sahihi kiasi fulani. ..uvivu,kulizika mapema,kutokua wagunduzi nakuiga (kwakua kiasi niwatu wavivu).,ila chawa ndio tabia pekee mbongo anaiweza sn.
 
Tathmini hizi nani anazihitaji?

Nasoma tathmini zako kuwahusu wengine. Hudhani ungetupa yako ingependeza zaidi?

Au ni yale ya nyani na kundule?
 
Mbowe endelea na biashara zako. Tanzania ipo salama chini ya Samia Suluhu, mwenyewe umekiri hili mara kadhaa

Katiba ya wananchi itapatikana kupitia popular movement ya wananchi na sio vikao vya Ikulu

Hapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]
 

Kwa taarifa yako ili anayodai Mbowe yatimizwe, ni lazima Lisu awepo. Hiyo itapelekea kuona madai ya Lisu ya mabavu hatayapata, ila wataona aibu mbona hata ya Mbowe anayoyadai kiungwana bado hawayatoi? Hapo ni aidha wakubali ya Lisu ya mabavu, au ya Mbowe ya kiungwana. Hivyo tu Boss.
 
Tathmini yenu elezaneni wenyewe mbona sisi tuna zetu kuhusu ninyi tumenyamaza?

Kwetu Lissu ni shujaa. Kina Tutu, Nyerere, Mandela, Maalim Seif na wa namna hiyo ni mfano wake.

Ole wenu atuite mabarabarani, ndipo mtajua kumbe milikuwa hamjui!
Hakunaga mchagga mjinga wa kuingia barabarani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…