Ndio maana katiba za aina hii hata mkiwa nayo mnaishia kupata mabadiliko ya kisiasa zaidi tu ila mambo mengine yanakuwa vilevile.Katiba mpya ni ishu ya kimamlaka zaidi
Hii katiba ya 77 ya Nyerere na genge lake haifai kabisa.Katiba mpya ni ishu ya kimamlaka zaidi
Hii katiba ya 77 ya Nyerere na genge lake haifai kabisa.
Mkuu kazi ya CCM kwa sasa ni kuhakikisha hao wawili wana gon'gana kifkra na kiutendaji lazima moja asaidiwe na CCM directly au indirectly, ila naona CCM itaka upande wa Mbowe kwasbb ni flexible Lissu bado ana hasira nao ya jaribio ya kumuua sio rahisi ku-compromise na hao watu.
Nimeunga mkono kauli yake na nikamshauri la kufanya, astaafSasa yeye ameongea nini na wewe unamkanusha kipi?
Impunity, kitendo cha mfumo mzima wa utoaji haki (judicial system) kutokuwa huru kina athari za moja kwa moja mpaka kwa raia.Haifai kwenye nn
Hii katiba ya 77 ya Nyerere na genge lake haifai kabisa.
HUu ndiyo mwaka wake wa mwisho.Nimeunga mkono kauli yake na nikamshauri la kufanya, astaaf
Ukweli mchungu sanaMwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
We ni mninga tuMbowe endelea na biashara zako. Tanzania ipo salama chini ya Samia Suluhu, mwenyewe umekiri hili mara kadhaa
Katiba ya wananchi itapatikana kupitia popular movement ya wananchi na sio vikao vya Ikulu
Bavicha Kazi yao kuchochea kuni Jela wanaenda wengine!Mbowe kanyoosha maelezo ukweli ndo huo.
Ila una uhakika hao wananchi hitaji lao ni katiba mpya ila wanaogopa kuidai?
Impunity, kitendo cha mfumo mzima wa utoaji haki (judicial system) kutokuwa huru kina athari za moja kwa moja mpaka kwa raia.
Kwa mfano, hivi kama mahakama zingekuwa huru kuna polisi angebambikia mtu kesi? Kina Sabaya wangechukua mali za watu kibabe?
HahahaNdio mana jamaa anajilewea zake jukwaani tuh
Watakuwepo, na ndio maana tunadai iwepo katiba ambayo itatoa uhuru kamili wa mfumo wa utoaji haki. Ili kuwadhibiti watu wa namna hiyo kupitia fair orders za mahakama.Hata katiba mpya ikija unadhani watu wa Aina hiyo hawatakuwepo ?
Technically inaruhusu. kwa sababu kinachotakiwa, na kinachoweza kulinda raia na mali zao ni Sheria tuu na sio jeshi la polisi kama ilivyo sasa.Kwani katiba ya sasa inaruhusu mtu Kuchukua mali ya mtu mwingine kiholela?
suluhisho litapatikana endapo tuu, uelewa na utayari wa wananchi kudai mabadiliko ya kikatiba (whether marekebisho ya hii ya 77 au nyingine mpya) utakuwa wa kiwango cha kuridhisha kuliko ilivyo mpaka sasa.Katiba mpya haina suluhisho Kwa hili trust me
Mwisho, asilimia kubwa ya watu wanafanya uovu kwa kuangalia weaknesses kwenye sheria zilizopo tayari.Coz still ni watu ndio watakaa kwenye mahakama na sio katiba
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
PweintiAmesahau hadi leo kua kuna wananchi wapo kifungoni,wengine mayatima ,wengine walemavu kwa madhira ya kukipambania chama?Sio hao tuliowachagua WAKAANZA KUUNGA MKONO JUHUDI AWAMU YA TANO, aache upumbavu na sio kuanza kudharau wananchi baada ya kua na UHAKIKA wa KULAMBA ASALI JUMBA JEUPE