The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Fanyeni nyie maana Nyerere alifanya mbona? 😀😀😀😀..Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Sasa analia lia nini? Kama imemkata aache wanaoweza 🤣🤣Biashara ndio hiyo Siasa
Wakifunga mb za jero jero utasikia makamanda sijui wapiganaji huku wakijifananisha na kina Mandela ila waambie watoke kwenye keyboard Sasa hutowaona 😁😁Ni kweli
Bavicha walikuwa wanaona sifa kumpelekea chakula jela
Hao Vijana buku tukiwabaini tuu watatafuta Nchi Yao🤸🤸Haya maneno nusu nusu ya kuokoteza huwa unayaleta huku kwa manufaa ya CCM yako, ila yale mengine yanayokuwepo kwenye hotuba husika unayakwepa makusudi kwa sababu ya uoga wako.
Unaonesha kama vile Mbowe amekata tamaa kitu ambacho sio kweli, ndio kwanza wana mipango mipya itakayowawezesha ili kuyafikia malengo waliyojiwekea.
Mfano Mbowe amesema, watatengeneza vijana elfu moja kila mkoa ili wawe walimu.wa kuhamasisha upatikanaji wa Katiba Mpya, hili hujalisema!.
Kumbe mnalenga kufanya Nchi isitawalike? TunawasubiriaKwa taarifa yako ili anayodai Mbowe yatimizwe, ni lazima Lisu awepo. Hiyo itapelekea kuona madai ya Lisu ya mabavu hatayapata, ila wataona aibu mbona hata ya Mbowe anayoyadai kiungwana bado hawayatoi? Hapo ni aidha wakubali ya Lisu ya mabavu, au ya Mbowe ya kiungwana. Hivyo tu Boss.
Acha kumfananisha Yesu na mambo ya kipumbavuKwani Yesu alipokuja kuwapigania wanadamu alikuja na familia yake?
Kwani wao sio waTz mbona enzi zile waliufyata.Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Kumbe mnalenga kufanya Nchi isitawalike? Tunawasubiria
Movement za mtaani ni zipi?Ndio unaweza kupata ila Katiba ya wananchi ama People centered constitution, inapatikana kupitia movement za mtaani,
Hapo Mbowe amegonga penyewe !!Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Watakuwepo, na ndio maana tunadai iwepo katiba ambayo itatoa uhuru kamili wa mfumo wa utoaji haki. Ili kuwadhibiti watu wa namna hiyo kupitia fair orders za mahakama.
Technically inaruhusu. kwa sababu kinachotakiwa, na kinachoweza kulinda raia na mali zao ni Sheria tuu na sio jeshi la polisi kama ilivyo sasa.
suluhisho litapatikana endapo tuu, uelewa na utayari wa wananchi kudai mabadiliko ya kikatiba (whether marekebisho ya hii ya 77 au nyingine mpya) utakuwa wa kiwango cha kuridhisha kuliko ilivyo mpaka sasa.
Mwisho, asilimia kubwa ya watu wanafanya uovu kwa kuangalia weaknesses kwenye sheria zilizopo tayari.
Pengine katiba iliyopo haikupewa meno thabiti ya kung’ata pale inapovunjwa ndio maana inatakiwa ije ile itakayokuwa na meno ya kung’ata kweli kweli !!Hata katiba ya sasa inatoa uhuru mkubwa Kwa mahakama
Kama watu wanavunja sheria Kwa katiba hii then hata hiyo mpya katiba itavunjwa Tu na hakuna kitu mtafanya
Sometimes mnaongea kama mko ulaya au Marekani mnasahau kwamba hapa ni Africa
Kwani katiba ya sasa inaruhusu mtu kuiba? Na je watu hawaibi? Hiyo katiba mpya itazuia nn hao watu kuiba?
Katiba mpya na lazima, hiyo siku ukae mbele we na mkeo utuzuie, na vyombo vya dola vikae pembeni.
Pengine katiba iliyopo haikupewa meno thabiti ya kung’ata pale inapovunjwa ndio maana inatakiwa ije ile itakayokuwa na meno ya kung’ata kweli kweli !!
"Uhuru mkubwa" hautoshi, inatakiwa uhuru kamili.Hata katiba ya sasa inatoa uhuru mkubwa Kwa mahakama
Ndiyo itavunjwa tunajua, ila uwajibikaji utakuwepo kwani mahakama itakuwa na mamlaka ya kulinda na kusimamia misingi ya sheria mama, na sheria nyingine ndani na nje ya nchi.Kama watu wanavunja sheria Kwa katiba hii then hata hiyo mpya katiba itavunjwa Tu na hakuna kitu mtafanya
Tofauti ya Africa na huko kwingine kunatengenezwa na aina ya sheria za hovyo za Afrika, zikibadilika tutakuwa kwenye mzani sawa katika masuala mbalimbali muhimu.Sometimes mnaongea kama mko ulaya au Marekani mnasahau kwamba hapa ni Africa
Inaruhusu baadhi ya watu kuiba, na wanaiba. Katiba mpya haitazuia mtu kuiba kwakuwa siyo 'password ya kuingia sehemu fulani' ila wezi watawajibika ipasavyo.Kwani katiba ya sasa inaruhusu mtu kuiba? Na je watu hawaibi? Hiyo katiba mpya itazuia nn hao watu kuiba?
Duh ! Kwahiyo tufanyeje ?! Yaani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu ?!As long as wahusika ni watu, tena watu wenyewe ni waafrica, I'm telling you, katiba mpya haitokuja na jipya lolote
Labda kwenye mambo ya kuchagua na kuchaguliwa hapo sawa
Umemaliza mchezo ! Maelezo sahihi kabisa 👍🙏"Uhuru mkubwa" hautoshi, inatakiwa uhuru kamili.
Ndiyo itavunjwa tunajua, ila uwajibikaji utakuwepo kwani mahakama itakuwa na mamlaka ya kulinda na kusimamia misingi ya sheria mama, na sheria nyingine ndani na nje ya nchi.
Tofauti ya Africa na huko kwingine kunatengenezwa na aina ya sheria za hovyo za Afrika, zikibadilika tutakuwa kwenye mzani sawa katika masuala mbalimbali muhimu.
Inaruhusu baadhi ya watu kuiba, na wanaiba. Katiba mpya haitazuia mtu kuiba kwakuwa siyo 'password ya kuingia sehemu fulani' ila wezi watawajibika ipasavyo.