mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Hayo ndo matokeo mliyoyaita maridhianoAkihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
Mkuu maneno yako ni makali mno.Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....
Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!
Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!
Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Hivi Dubai ni nchi(country) au Mji Dola(City state)?Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
Hatujawahi kuridhiana kuuza bandariHayo ndo matokeo mliyoyaita maridhiano
Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....
Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!
Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!
Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Hamia CHADEMA Mkuu tusaidiane kuing'oa CCM Madarakani.Mbowe yupo sahihi.
Usahihi upi mbona watanzania tunaonyesha umbumbumbu kwenye Dunia ya wanaojielewa!Mbowe yupo sahihi.
Binadamu mwenye akili anaongozwa na matukio.Watupe ajenda zao za kitaifa hao akina Mbowe, Sio kufanya Siasa za matukio. Leo wapo kwenye Bandari kuuzwa vip km isingekuwa ajenda hii ya Bandari wangeongea nini
Umbumbumbu upi ww jamaa.Usahihi upi mbona watanzania tunaonyesha umbumbumbu kwenye Dunia ya wanaojielewa!
Hakuna anayekupa vifungu mkuu, ila wanakwambia tumeuzwa mara mamlaka yetu haipo. Ni wa kuwapuuza tu.Maneno kila mtu anaweza kuongea. Muulize how kwa mujibu wa mkataba akupe na vifungu kama atakuwa na jibu
Wa kupayukia mambo kuwa bandari imeuzwa lakini wanaodai hivyo ukiwauliza vifungu husika nnwatabaki wanarukaruka tu.Umbumbumbu upi ww jamaa.
Wewe hata kwenye suala nyeti namna hii unaleta mzaha.Billion 2. 9 za ruzuku ziko wapi?
Diversion tacticsBillion 2. 9 za ruzuku ziko wapi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kiinglish cha Mbowe ni tofauti kabisa na cha Ndalichako mwenye PhD 🥲
Hebu tujikumbushe
PhD za mchongo nilikuwa nafikiri ni kwa Msukuma tu.
Katoa mawazo yake kama wewe ulivyoyatoa yakwako hapa.sio kila jambo uwaze ni siasa wakati nchi inaangamia.Watupe ajenda zao za kitaifa hao akina Mbowe, Sio kufanya Siasa za matukio. Leo wapo kwenye Bandari kuuzwa vip km isingekuwa ajenda hii ya Bandari wangeongea nini