Mbowe yuko dakika 45 itv Muda huu

Mbowe yuko dakika 45 itv Muda huu

Yawezekana naongea na mtu mchanga sana kwenye Demokrasia za nchi hii na hususani ndani ya CHADEMA ndio maana unauliza maswali ambayo tayari tunishaeleza background yake.
kwahivyo kumbe uzi wako ni muendelezo wa background ambayo tayari mlishajadiliana na kukubaliana na makamanda wenzako, right?

nilishangaa ile mihemko na ghadhab umezitoa wap ghafla, kumbe tayari ulikua na kitu moyoni dhidi ya chairman mbowe 🐒
 
Kwani umelazimishwa kumsikiliza? Si ubadili channel hata uangalie cartoon tu!! Unajilazimisha nini kumsikia mtu ambaye humpendi. ? Wewe ni kichaa?

Sijawahi kuona mijitu MIPUMBAVH jama ra kambi ya Lissu
Mbowe is a pusher ndio kazi yake hiyo Chadema ni cover tu ; hivyo akiondoka uenyekiti cover ya biashara yake haitakuwepo tena hivyo msishangae kung’ang’ania hicho kiti!! Hiyo kwake ni fursa.
 
Ww mwenyewe hujalazimishwa kuchangia thread hii tafuta thread nyingine kiongozi.
Thread ya kipumbavu lazima tuipige pini, ndiyo theme ya JF hii. "Where people dare to speak ..."
 
Mbowe is a pusher ndio kazi yake hiyo Chadema ni cover tu ; hivyo akiondoka uenyekiti cover ya biashara yake haitakuwepo tena hivyo msishangae kung’ang’ania hicho kiti!! Hiyo kwake ni fursa.
And you are Mbowe's mole??
 
Najua atashinda kwa hila ila uchaguzi huu hatousahau vile amepelekewa moto na mpinzani wake.
 
Kwani umelazimishwa kumsikiliza? Si ubadili channel hata uangalie cartoon tu!! Unajilazimisha nini kumsikia mtu ambaye humpendi. ? Wewe ni kichaa?

Sijawahi kuona mijitu MIPUMBAVH kama ra kambi ya Lissu
Machawa mnashida yaani mmepaniki kabla ya uchaguzi.
Kwa upepo ulivyo sultan wenu akipata 10% akatambike
 
Na Lissu hawezi kushinda. Chama hakiwezi ongozwa kwa mihemko. Mtu hana nidhamu hadi kwa watawala leo ukampe chama?
Nidhamu kwa watawala?
We ni kichaa. Yaani watawala wasiambiwe ukweli? Wapambwe pambwe hata kama wanavunja katiba waliyoapa kuilinda? Uchawa ukizidi huzaa uwendawazimu
 
Back
Top Bottom