johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika hili Nakubaliana na Freeman kwamba Lengo la Kujaza Fomu za uchaguzi ni kukusanya Taarifa za Wagombea Ili kuona kama wanakizi vigezo
Ni sahihi kumuengua Mgombea aliyepungukiwa vigezo Lakini siamini kama ni Sahihi kumuengua Mgombea aliyekosea Kujaza Fomu
Benki kwenyewe tunakoseaga mara kibao Kujaza Fomu mfano namba ya account Lakini Teller anakuelimisha tu kisha unarekebisha na kuvuta mpunga 😄
Ahsanteni sana
PIA SOMA
- LGE2024 - Mbowe: CHADEMA haitajitoa katika uchaguzi Serikali za Mitaa. Wagombea wetu walioenguliwa kihuni warejeshwe
Ni sahihi kumuengua Mgombea aliyepungukiwa vigezo Lakini siamini kama ni Sahihi kumuengua Mgombea aliyekosea Kujaza Fomu
Benki kwenyewe tunakoseaga mara kibao Kujaza Fomu mfano namba ya account Lakini Teller anakuelimisha tu kisha unarekebisha na kuvuta mpunga 😄
Ahsanteni sana
PIA SOMA
- LGE2024 - Mbowe: CHADEMA haitajitoa katika uchaguzi Serikali za Mitaa. Wagombea wetu walioenguliwa kihuni warejeshwe