Mbona nondo za CHADEMA zinachuja haraka? Tulisikiaga Mataga, Sukuma gang, buku saba etc. Siku hizi hatuyasikii! Kwa niaje?Maisha haya ni funzo tosha
Waliokua wanasherehekea juzi leo wanalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nondo za CHADEMA zinachuja haraka? Tulisikiaga Mataga, Sukuma gang, buku saba etc. Siku hizi hatuyasikii! Kwa niaje?Maisha haya ni funzo tosha
Waliokua wanasherehekea juzi leo wanalia
Lakini mbona ni wiki chache zilizopita mlidai mama anaupiga mwingi? Mkiongozwa na malisa mkamtukana Rais Magufuli... Leo mwenyekiti anaenda kuungana na Sabaya...Kimsingi si polisi ni mama mwenyewe
Wanataka kumpotezaNimesikia Mhe. Mbowe ajaruhusiwa kuonana na ndugu zao Wala wakili wake. Hii siyo ishara nzuri nadhani anaweza kuwa na tatizo maana inabidi ujiulize anakula wapi na nani anampelekea chakula?
Kwa aina ya mahabusu zetu hakuna chakula, Kama mtuhumiwa mzee wa umri wa Mbowe asipokula na stress za mahabusu lazima afya itadhorota na mwosho wa siku akiwa unconscious wakati alikamatwa akiwa na sia njema upelekea dola kuficha ukweli.
Ni Bora familia ikafuatilia kwa karibu kujua afya yake na hii haki yao na kuishi ni haki ya Mhe. Mbowe pia. Ili uishi lazima ule. Lakini pia anayo haki yakujua taarifa za msiba wa baba yake aliyefariki kwa mshtuko.
Hizi habari zikiendelea kusambazwa na vyombo vya habari ndani na nje zinazua taharuki na kuchafua nchi na wananchi pasipo na sababu ya msingi.
Wanataka kumdunga sindano fulanniKuna namna .
Wakienda kuzimu na kurudi wanakuwa watu wengine kabisa kwa hiyo usishangae sana.Siamini kama mama angeweza kufanya copy & paste kutoka kwa Muroto
Tafadhali sema hauko serious ulichokiandika hapa ni ironyKukaa na kutaka kujua Hali ya gaidi Ni kupoteza muda,oneni magaidi yanavyowatesa watu wa msumbiji,somalia na Nigeria,gaidi si wakuonewa huruma popote alipo.
Nasikia baada ya uchunguzi imebainika kuwa gaidi Mbowe alikuwa akiwafadhiri wale magaidi wa kibiti na ndo maana alilalama Sana baada ya wale magaidi kuuliwa na serikali.
Nani alimsifia huyo mama ?Lakini mbona ni wiki chache zilizopita mlidai mama anaupiga mwingi? Mkiongozwa na malisa mkamtukana Rais Magufuli... Leo mwenyekiti anaenda kuungana na Sabaya...
Hata Mimi sitakuheshimu,umezeeka akili.Acha jazba kiongozi, heshima ni kitu cha bure? Kwenu una wakubwa kweli? Kama hakuna jifunze kuwahishimu wazee Kama mimi!
We s unasemaga anaupiga mwingi, kazi iendeleee😋😋😋Kimsingi si polisi ni mama mwenyewe
Huna uzeeAcha jazba kiongozi, heshima ni kitu cha bure? Kwenu una wakubwa kweli? Kama hakuna jifunze kuwahishimu wazee Kama mimi!
Hii ya baba mdogo kupata msituko hadi kupelekea umauti kwa sababu ya kusikia matatizo yaliyompata mtoto wa kaka yake ni jambo lisiloingia akilini. Kwa baba mzazi au mama mzazi ni sawa. Mara chache hata kwa mtoto wa kumzaa huweza kutokea lakini si kwa mjomba,shangazi, baba mdogo, baba mkubwa, bibi au babu. Tuwe wa kweli. Si msituko bali changamoto la upumuaji. Hivyo contacts wake wa ndani ya siku 14 akiwemo F. Mbowe wanapaswa kuwa isolated kwa muda wa siku 14 kwani uwezekano wa hao contacts kuwa na virusi hivyo ni mkubwa. Si vyema mawakili wake na ndugu zake akawaambukiza hivyo virusi. Yeye havitamuathiri sana kwani alishapata full vaccination madhubuti ya Pfizer vaccine huko Dubai. Anatembea na virusi hivyo ambavyo vinaweza kuua viongozi na wasiyo viongozi atakaokutana nao. Hataki kufuata mashariti ya kuzuia kusambaza kwa hivyo virusi.Anataka kuvisambaza kwa makusudi. Hicho ni kitendo cha ugaidi by definition. So he must be isolated for at least few months by all means.baba yake aliyefariki kwa mshtuko.
Hahaha, ule waraka umeandikwa Ufipa/ubelgijiMbowe si ameandika Waraka kwa Watanzania kutoka Mahabusu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu mbona kama umepanic?muulize baba yako atakujuza