CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Kigogo ni choko tu. Wapumbavu wenzie ndio humuona mtu wa maana.Kigogo kasema kuna mpango mkakati wa kumwekea sumu unapangwa ndio maana hata ndugu wamezuiliwa kumwona/kupeleka hata chakuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo ni choko tu. Wapumbavu wenzie ndio humuona mtu wa maana.Kigogo kasema kuna mpango mkakati wa kumwekea sumu unapangwa ndio maana hata ndugu wamezuiliwa kumwona/kupeleka hata chakuka.
Samia awezi siasa za kushindana na Mbowe, kama vile Mwendawazimu alivyoshindwa siasa za ushindani kwa LISSU.Kimsingi si polisi ni mama mwenyewe
hata baba yako ni mfuasi wa kigog, hivyo naye ni mpumbavu?Kigogo ni choko tu. Wapumbavu wenzie ndio humuona mtu wa maana.
Samia awezi siasa za kushindana na Mbowe, kama vile Mwendawazimu alivyoshindwa siasa za ushindani kwa LISSU.
Siyo hilo tuu nahisi Hadi wale wasiojulikana nizao lake lengo ilikuwa kuionyesha Dunia kuwa Magufuli ni dictetaKukaa na kutaka kujua Hali ya gaidi Ni kupoteza muda,oneni magaidi yanavyowatesa watu wa msumbiji,somalia na Nigeria,gaidi si wakuonewa huruma popote alipo.
Nasikia baada ya uchunguzi imebainika kuwa gaidi Mbowe alikuwa akiwafadhiri wale magaidi wa kibiti na ndo maana alilalama Sana baada ya wale magaidi kuuliwa na serikali.
Alaa, hilo ni swali la kuuliza? 'genius wenu Malisa G, aliendesha kampeni za kumtukuza mama, nanyi nyumbu humu mkadakia hoja kama ilivyo ada yenu, leo hii mnalia lia mitandaoni. Ingieni barabarani tukamtoe mwenyekiti.Nani alimsifia huyo mama ?
Duh! Kweli kiama kinakaribia. Watoto wanajisifu kwa ufedhuli!Hata Mimi sitakuheshimu,umezeeka akili.
Kweli we ni mhenga,ndo unaamka?.Duh! Kweli kiama kinakaribia. Watoto wanajisifu kwa ufedhuli!
KAHABA wa feri hastahili kuheshimiwa. Sifa ya kupewa heshima hana. Na utamaduni wa mtanzania haumueshiemu KAHABA.Hizi kauli zenu na kujidanganya ndio kumemponza mwenyekiti wenu
Ifike mahali rais aheshimiwe na wote nchi hii
KAHABA wa feri hastahili kuheshimiwa. Sifa ya kupewa heshima hana. Na utamaduni wa mtanzania haumueshiemu KAHABA.
Tutupiga huyu KAHABA wa FERI mpaka achakae, hakujifunza kwa Mwendawazimu ehee.
Zikitupwa wewe inakuhusu niniVipi habari za kukamatwa kwake bado zinagonga vichwa vya habari huko BBC na Aljazeera au zishedoda na kutupwa kule?