Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,995
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
 
Kwa mtazamo wa Rais, Mbowe alimdharau kwasababu walitofautiana misimamo, lakini kutofautiana misimamo sio kosa kisheria.

Rais; Katiba Mpya isubiri kwanza.

Mbowe; Nakwenda Mwanza kwenye kongamano la Katiba Mpya.

Hapo naona kuna ubabe umetumika kumuweka Mbowe ndani, wakati Rais alitakiwa kutumia hekima zaidi kwani Mbowe hakuvunja sheria yoyote kwenda Mwanza kwaajili ya kongamano la Katiba Mpya, ila Rais alitaka asujudiwe tu kwasababu ya cheo chake.

Inavyoonekana Mbowe ameshalijua hili, anajua hana kosa lolote, sasa ni kazi kwake mtengeneza kosa la ugaidi kuhakikisha anamfunga Mbowe mahakamani.
 
Kwa mtazamo wa Rais, Mbowe alimdharau kwasababu walitofautiana misimamo, lakini kutofautiana misimamo sio kosa kisheria.

Rais; Katiba Mpya isubiri kwanza....
We ndo umemaliza mkuu, Mbowe ata hajali mahakamani anatabasamu, kazi imebaki kwa serikali walete ushaidi wao wa uongo sahivi Hadi mashahidi wanaogopa kupanda kizimbani, afu Samia angefanya Kama Kenyatta alivyofanya, yaani handshake ya Kenyatta na Laila imemfanya Kenyatta kutawala kwa amani Sana, sahivi SSH ata haelewki, kimataifa ashaharibu
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa Kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe,iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi,, Leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame...
Alafu uyo kiongozi anaesema sijui alizalauliwa yeye ni Mungu, ONLY in Afrika viongozi kujivalisha Umungu mtu,
By the way , naunga mkono asilimia 100 ya msimamo wa mh Mbowe,

Na ndo maana tunataka katiba mpya, itakayo mfanya kiongozi yeyote kuwa mtumishi wa watu na sio kua mungu mtu , kwamba akiamuka na kuhisi mtu flani amemdhalau Basi nikumbambikia makesi ya ajabu ,mfano UGAIDI ,Mambo ya ajabu sana
 
Kwa mtazamo wa Rais, Mbowe alimdharau kwasababu walitofautiana misimamo, lakini kutofautiana misimamo sio kosa kisheria.

Rais; Katiba Mpya isubiri kwanza...
Aisee kumbe sababu yenyewe ndio hii ya kiduwanzi kabisa? Tatizo kuwa na watu walio na Inferiority complex madarakani ndiyo shida zake hizi Sasa. They want to be obayed just like our Almighty God. It's Impossible!
 
Aisee kumbe sababu yenyewe ndio hii ya kiduwanzi kabisa? Tatizo kuwa na watu walio na Inferiority complex madarakani ndiyo shida zake hizi Sasa. They want to be obayed just like our Almighty God. It's Impossible!
Wacha tuone
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Sasa threads nyingi za kumshurutisha rais Samia za nini?,
Mara ooh umoja wa ulaya wanasema blabla
 
 
Back
Top Bottom