Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Propaganda at work
 
Mbowe ni nan mpaka aidindie serikali ,yaan mbowe ndio aishinde serikali kudadekiiiii


Huyo mbowe akijifanya jeuri atajuta
 
Kama CCM wanasubiri Mbowe a sarende na apìge magoti kwa Mama Samia wameula wa chuya...

Yaani hii kesi itakwenda hadi mwisho ...kitendo cha Mbowe kupiga magoti ni sawa na upinzani kuweka silaha chini na kujisalimisha kwa CCM..hili halipo..

Mapambano bado mazito ila Mbowe ana Mungu wake !!

Zitto hakutumwa na Mbowe wala CDM kuyasema hayo..ni kiherehere chake kuongea mambo ambayo hayamuhusu.

Mtaani kwetu unashutwaa !!
 
Subiri uone km mwanaume ataonyesha huruma pamoja na kina zitto kuongea mbele ya bi hangaya
Huyo tutamnyoosha mpaka apate adabu ,kama ni jeuri awapelekee huko huko chadema na familia yake ....sio kwenye serikali yetu tukufu ya mama samia ...


Nasema Tena ataumia huyo mbowe ..

Ana Nini mpaka ashindane na serikali


Pumbavu
 
Mods futeni hizi nyuzi za kijinga ,ambazo zinaandikwa na walevi
 
Mods futeni hizi nyuzi za kijinga ,ambazo zinaandikwa na walevi
 
Alafu uyo kiongozi anaesema sijui alizalauliwa yeye ni Mungu, ONLY in Afrika viongozi kujivalisha Umungu mtu,
By the way , naunga mkono asilimia 100 ya msimamo wa mh Mbowe,

Na ndo maana tunataka katiba mpya, itakayo mfanya kiongozi yeyote kuwa mtumishi wa watu na sio kua mungu mtu , kwamba akiamuka na kuhisi mtu flani amemdhalau Basi nikumbambikia makesi ya ajabu ,mfano UGAIDI ,Mambo ya ajabu sana
Mungu mwema Sana nilisema katika changia post hii, ila leo SSH kayarudia , kwamba

Mbowe afuate sheria, na awe na eshima juu, ebo

Heshima halazimishwi, japo mzee wa watu ni mstarabu Sana , pamoja na kuwa na pesa, yupo ndani ila huko nje pesa inaingia Kama kawa Yani

Eti afuate sheria ,ni sheria ipi kavunja ,kudai katiba mpya ? Na je Kati ya Mbowe na Serikali nani hafuati SHERIA ?

Serikali mmelikoroga mtalinywa, tarehe kabla ya mwaka mpya CCM na Serikali yenu nakuja kutoa yale Mungu aniambia na amenipa kibali tiyari ,nitayatema hapa jf bila kinyongo ,na mtatakiwa jitafakari Kama mwaziba masikio au la

Na hata mkiziba haitasaidia maana maana ni sauti ya Mungu TOKA alipo ,na hupenya hata KWa wapagani
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Wewe ndiyo msemaji wa Mbowe?
 
Mungu mwema Sana nilisema katika changia post hii, ila leo SSH kayarudia , kwamba

Mbowe afuate sheria, na awe na eshima juu, ebo

Heshima halazimishwi, japo mzee wa watu ni mstarabu Sana , pamoja na kuwa na pesa, yupo ndani ila huko nje pesa inaingia Kama kawa Yani

Eti afuate sheria ,ni sheria ipi kavunja ,kudai katiba mpya ? Na je Kati ya Mbowe na Serikali nani hafuati SHERIA ?

Serikali mmelikoroga mtalinywa, tarehe kabla ya mwaka mpya CCM na Serikali yenu nakuja kutoa yale Mungu aniambia na amenipa kibali tiyari ,nitayatema hapa jf bila kinyongo ,na mtatakiwa jitafakari Kama mwaziba masikio au la

Na hata mkiziba haitasaidia maana maana ni sauti ya Mungu TOKA alipo ,na hupenya hata KWa wapagani
Kwa hiyo mbowe anataka kuidindia serikali yetu .....!

Yaani mbowe anaivimbia serikali na kuvimba kichwa na mapembe ....

Anataka mbowe serikali yetu ndio impigie magoti ...

Yaan anashindana na watu wameoshika mpinii ,anajiona anahaki Sana ...

Huyo mbowe mjazeni kichwa ila atakutana na kitu kizito ....

Ni Bora mbowe ajishushe ,ajifanye mjinga akamuombe samia msamaha ,huu ujinga mnaomjaza huku jf mkiwa nyumbani mmelalaa utakuja kucost kudadekiiiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwa hiyo mbowe anataka kuidindia serikali yetu .....!

Yaani mbowe anaivimbia serikali na kuvimba kichwa na mapembe ....

Anataka mbowe serikali yetu ndio impigie magoti ...

Yaan anashindana na watu wameoshika mpinii ,anajiona anahaki Sana ...

Huyo mbowe mjazeni kichwa ila atakutana na kitu kizito ....

Ni Bora mbowe ajishushe ,ajifanye mjinga akamuombe samia msamaha ,huu ujinga mnaomjaza huku jf mkiwa nyumbani mmelalaa utakuja kucost kudadekiiiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nasema Kama alivyojificha na yupo anaishi,amini nakwambia na imekua,

Tz hakuna mwenye miliki ,utakua rais leo tu wa nchi utakufa utaicha,na watakuja wengi tu kadri miaka inavyosonga ,KWani mfano SSH ndo wa kwanza kalia kiti hicho, Nyerere alikuwa wa kwanza kalia kiti hicho, nikujitoa hufaham tu

Msipotubu, na kufaham kwamba hizi ni nafasi za mda Basi mna matatizo, Kama wakoloni weupe walimpigia magoti Nyerere pamoja na MATESO yote aliopatiwa basi,asema bwana,

Serikali ya ccm upo mda mtapigia magoti Mbowe na chama siku MOJA Kama sio kesho

Hacheni mazalau kesho yetu hatujui,

Mtu unamkosea kumfunga tu , alafu wasema unataka serikali ikampigie magoti Mbowe, Serikali ni kitu GANI Kama sio Mie na wewe,msiwape utukufu usiostahili kamwe anawaonya Bwana,

Itapiga magoti tu tunza hii ,Mungu wetu yupo up to date tupo
 
Mpaka saizi dakika ya 79 Mbowe 4 wao 0.
Hahahahaha mwenzako analala kwenye giza totoroooo afu useme dk 79 anaongoza 4? Nyie jifanyeni jeuri mtu anaozea ndani miezi sita sasa. Mara oooh tunaandamana, mara ooh maandamano yasiyo na kikomo, haya sasa tunawasubiri barabarani tuwavunje miguu kenge nyie.
 
Back
Top Bottom