Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.
Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.
CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Update
Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Haki huwa inajitetea yenyewe, haiombwi!Sasa threads nyingi za kumshurutisha rais Samia za nini?,
Mara ooh umoja wa ulaya wanasema blabla
Heshima anayosema Rais hatuwezi jua ni jinsi gani Mh Mbowe amemvunjia heshima.Kwa mtazamo wa Rais, Mbowe alimdharau kwasababu walitofautiana misimamo, lakini kutofautiana misimamo sio kosa kisheria.
Rais; Katiba Mpya isubiri kwanza.
Mbowe; Nakwenda Mwanza kwenye kongamano la Katiba Mpya.
Hapo naona kuna ubabe umetumika kumuweka Mbowe ndani, wakati Rais alitakiwa kutumia hekima zaidi kwani Mbowe hakuvunja sheria yoyote kwenda Mwanza kwaajili ya kongamano la Katiba Mpya, ila Rais alitaka asujudiwe tu kwasababu ya cheo chake.
Inavyoonekana Mbowe ameshalijua hili, anajua hana kosa lolote, sasa ni kazi kwake mtengeneza kosa la ugaidi kuhakikisha anamfunga Mbowe mahakamani.
Sawa acha sheria ifuatwe ithibitishe kama kweli nigaidiKuliko Mbowe aachiwe kwa msamaha fake, bora aendelee kukaa gerezani mpaka siku ya hukumu yake, hakuna maana asamehewe ili aje kuishi kwa kujipendekeza kwa mtawala kama wengine wanavyofanya.
AmenHope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.
Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.
CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Update
Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Punguza munkari kijana your hate is real[emoji15][emoji2]Hana jeuri yeyote ,falaa tu
CCM hakunaga wanaume,ni mashoga tupu,hivi wewe huwa unajiona mwanaume?, wakati ni fala tu.Lema anamdanganya mwenzake!
We fala kweli,nani kamshurutisha huyo Bibi yenu? Mbowe mko naye, muuweni Roho zenu zisuzike mashetani nyieSasa threads nyingi za kumshurutisha rais Samia za nini?,
Mara ooh umoja wa ulaya wanasema blabla
Watajuta watoto wako kuzaliwa na Baba mpumbavu Kama weweMbowe ni nan mpaka aidindie serikali ,yaan mbowe ndio aishinde serikali kudadekiiiii
Huyo mbowe akijifanya jeuri atajuta
Fala ni wewe Boya, mwenye ubongo wa kuku,huna akili,upo upo tuHana jeuri yeyote ,falaa tu
Wewe mpumbavu , yuko wapi Magufuli ? wa kuheshimiwa ni Mungu tu,na siyo Serikali mavi ya CCM...Huyo tutamnyoosha mpaka apate adabu ,kama ni jeuri awapelekee huko huko chadema na familia yake ....sio kwenye serikali yetu tukufu ya mama samia ...
Nasema Tena ataumia huyo mbowe ..
Ana Nini mpaka ashindane na serikali
Pumbavu
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.
Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.
CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Update
Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Magufuli hadi anakufa hatukumwomba msamaha na ukatili wake wote,ije kuwa huyu mama?Kwa hiyo mbowe anataka kuidindia serikali yetu .....!
Yaani mbowe anaivimbia serikali na kuvimba kichwa na mapembe ....
Anataka mbowe serikali yetu ndio impigie magoti ...
Yaan anashindana na watu wameoshika mpinii ,anajiona anahaki Sana ...
Huyo mbowe mjazeni kichwa ila atakutana na kitu kizito ....
Ni Bora mbowe ajishushe ,ajifanye mjinga akamuombe samia msamaha ,huu ujinga mnaomjaza huku jf mkiwa nyumbani mmelalaa utakuja kucost kudadekiiiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]