Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.

mh Kumbe hili suala la dharau lilishasemwa humu?
 
Sasa threads nyingi za kumshurutisha rais Samia za nini?,
Mara ooh umoja wa ulaya wanasema blabla
Haki huwa inajitetea yenyewe, haiombwi!
Hata kila mtu akinyamaza lakini haki itajidhihirisha.
 
Mama asiendelee kujitwisha mizigo, kama alishaikabidhi mahakama (hata kama ni ya mchongo), basi aiachie iamue (hata ikichukua miaka)!

Yeye mama ajikite kwenye migogoro ndani ya chama chake inayohusisha ASILIA, MASALIA, SUKUMA GANG, VIROBOTO NA WAHUNI.
 
Kwa mtazamo wa Rais, Mbowe alimdharau kwasababu walitofautiana misimamo, lakini kutofautiana misimamo sio kosa kisheria.

Rais; Katiba Mpya isubiri kwanza.

Mbowe; Nakwenda Mwanza kwenye kongamano la Katiba Mpya.

Hapo naona kuna ubabe umetumika kumuweka Mbowe ndani, wakati Rais alitakiwa kutumia hekima zaidi kwani Mbowe hakuvunja sheria yoyote kwenda Mwanza kwaajili ya kongamano la Katiba Mpya, ila Rais alitaka asujudiwe tu kwasababu ya cheo chake.

Inavyoonekana Mbowe ameshalijua hili, anajua hana kosa lolote, sasa ni kazi kwake mtengeneza kosa la ugaidi kuhakikisha anamfunga Mbowe mahakamani.
Heshima anayosema Rais hatuwezi jua ni jinsi gani Mh Mbowe amemvunjia heshima.

Simba ilimwadhibu mchezaji wake sikumbuki sana kati ya kapombe au mkude.
Madai ya CEO wa simba ni kwamba mchezaji huyo hana nidhamu.

Za chini ya capert zinasema mchezaji aliomba ndoa kwa boss wake.
HAPO HAJUI,MUDA UTAONGEA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuliko Mbowe aachiwe kwa msamaha fake, bora aendelee kukaa gerezani mpaka siku ya hukumu yake, hakuna maana asamehewe ili aje kuishi kwa kujipendekeza kwa mtawala kama wengine wanavyofanya.
Sawa acha sheria ifuatwe ithibitishe kama kweli nigaidi

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Amen
 
Mbowe ni man of the moment jabali hasa wa siasa za Tanzania

Wengi walijaribu kuwa kama yeye moto ukakata walipobinywa KENDE

Wengine wakageuka kuwa malaya wa kisiasa hutumika na watawala.
 
Lema anamdanganya mwenzake!
CCM hakunaga wanaume,ni mashoga tupu,hivi wewe huwa unajiona mwanaume?, wakati ni fala tu.
Eti Lema anamdanganya , pumbavu kabisa wewe,mmeshaua wengi mno wanaowapinga na Mbowe muuweni tu Roho zenu ziridhike mashetani nyie
 
Mbowe ni man of the moment jabali hasa wa siasa za Tanzania

Wengi walijaribu kuwa kama yeye moto ukakata walipobinywa KENDE

Wengine wakageuka kuwa malaya wa kisiasa hutumika na watawala.
Katambi, Mashinji, Halima,
 
Huyo tutamnyoosha mpaka apate adabu ,kama ni jeuri awapelekee huko huko chadema na familia yake ....sio kwenye serikali yetu tukufu ya mama samia ...


Nasema Tena ataumia huyo mbowe ..

Ana Nini mpaka ashindane na serikali


Pumbavu
Wewe mpumbavu , yuko wapi Magufuli ? wa kuheshimiwa ni Mungu tu,na siyo Serikali mavi ya CCM...
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
 
Kwa hiyo mbowe anataka kuidindia serikali yetu .....!

Yaani mbowe anaivimbia serikali na kuvimba kichwa na mapembe ....

Anataka mbowe serikali yetu ndio impigie magoti ...

Yaan anashindana na watu wameoshika mpinii ,anajiona anahaki Sana ...

Huyo mbowe mjazeni kichwa ila atakutana na kitu kizito ....

Ni Bora mbowe ajishushe ,ajifanye mjinga akamuombe samia msamaha ,huu ujinga mnaomjaza huku jf mkiwa nyumbani mmelalaa utakuja kucost kudadekiiiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Magufuli hadi anakufa hatukumwomba msamaha na ukatili wake wote,ije kuwa huyu mama?
Fia huko jingaman wewe!
 
Ohooo kumbe yanayosemwa huku huwa yana ukweli sometimes.
 
Back
Top Bottom