Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali

Wewe ndiyo msemaji wa Mbowe?
Ajabu sana Zitto amesema kwenye mazungumzo na Mbowe tarehe 9 alikuwa na James Mbowe maana yake familia inaunga mkono na inawezekana Mbowe pia anaunga mkono ajabu sasa wafuasi full kuhamsisha mwenzao abakie jela sijui kwa manufaa gani aisee
 
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
Mkuu nawe uwezo wako wa kufikiri umeshuka kiwango hiki???? Mtoto wa Mbowe kakaa na Zitto pamoja na Mbowe mwenyewe wakijadili namna ya kutoka, afu anatokea mtu yuko Nje tena uhamishoni anasema Mbowe amesema yuko tayari kufia gerezani aisee. Basi kama ndio hivyo awaamuru mawakili waachane na hiyo kesi ma akubali mashtaka afungwe.

Kabla ya kupost huwa mnashirikisha ubongo wenu kwa usahihi?

Hata hivyo Rais hakusema kuwa Mbowe amemdharau, alichosema upinzani wawe na siasa za kistaarabu na sio za kuleta vurugu au kudharau hapa kudharau anamaanisha wakipewa amri fulani basi waitekeleze kwa mujibu wa sheria na sio wao kuona wanaweza kujiamlia.

MwanaJF wa muda mrefu ukiwa na mikurupuko na maoni ya watoto wa juzi inashangaza mno. Kaa chini tafakari.
 
Kiburi cha kiume safi sana ingawa akubaliyaishe anapoteza muda bure
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.

And then atapata nini.
 
We ndo umemaliza mkuu, Mbowe ata hajali mahakamani anatabasamu, kazi imebaki kwa serikali walete ushaidi wao wa uongo sahivi Hadi mashahidi wanaogopa kupanda kizimbani, afu Samia angefanya Kama Kenyatta alivyofanya, yaani handshake ya Kenyatta na Laila imemfanya Kenyatta kutawala kwa amani Sana, sahivi SSH ata haelewki, kimataifa ashaharibu

Wapinzani wanapata mileage kwa maujinga na maneno maneno. Ya Odinga ni kwa kuwa K katofautiana makamu Wake. R kaahidiwa Support kuelekea Urais. Ukabila upo pale pale. Na hiyo kutawala kwa Amani Sijui una maana gani.

Kikwete aliruhusu yote hayo. Ila matusi. Kashfa ndo Zilikuwa sera za upinzani. Dr Slaa alikuwa mstaarabu na makini. Ona Leo mnavyomtukana.

Hiyo ndo Siasa mnazoweza.
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Mbowe akae tu huko huko, mitaani ameshasahaulika. Mahabusu wenzake wameshamzoea, wajipangie huko huko...
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Thubutu. Akitishwa kunyongwa lazima ataomba msamaha tu.usicheze na serikali.
Au wakionabado as na kibri watavunda kengere zake mpaka aombe msamaha kwa nguvu.
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Kinachowatesa ccm ni bora tukose wote wao wamepoteza lile nyangumi fala kule chato, Sasa wanaona noma mwamba atapata audience na kuwa defit kilaini
 
Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.

Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].

Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.

CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.


Update

Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Bado mnabisha
 
Mashujaa wa imani walikuwepo tangu za Yohana mbatixaji

Mashujaa wa imani walikuwepo tangu enzi za Yohana mbatizaji, hivyo hilo lisikushangaze na Mbowe ni mmojawapo.
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom