Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mkifika white sands mniambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hukijui mkuu mi nakijua toka mwaka 92 nipo darasa la kwanzaHiki kisiwa kipo underrated sana!
Wengi wetu hatukijui kabisa!
Tupate kidogo pipcha za kisiwa hiki. ili safari ijayo ukitaka kusafiri kupumzisha akili usikisahau
kama n hiki mbona kizuri ivi
we nae ni kambea! Kamdomosema wewe ndio umeenda leo umekuja kuturingishia
naona post za jamaa zangu wakienda huko actually nilikua sijuiWewe umekijuaje?
naona post za jamaa zangu wakienda hukoWewe umekijuaje?
Unapajua hata picha moja hunaMbudya asiyepajua ujue huyo sio ml Bata mjini hapa
sijawai ona hata socia mediaHicho Kisiwa Ni Maarufu Sana Na Kinatangazwa Mno
Kuna Magazeti Ya Kila Mwezi Kama
"What's Happen In Dar "
Hivi Bongoyo napo watu bado wanaenda?Cha kawaida sana mnakikuzaa tu
Ova
Wanaenda sana ,bongoyo kuna utulivu ila huko kwengine vurugu mechiHivi Bongoyo napo watu bado wanaenda?
Wanasemaga tu hivyo ila hakuna cha nyoka wala nini wana sababu zao tu nyingine, eti wakakipa kabisa na nickname snake island ili kutisha watu na vile watu wakikiona kilivyosheheni vichaka wanajua kweli kuna mijoka, halafu sijui kwanini bongoyo hakitembelewi sana kama mbudya ilihali ndio kina ufukwe mzuri zaidi kuliko mbudyaWanaenda sana ,bongoyo kuna utulivu ila huko kwengine vurugu mechi
Kisiwa cha pangavini ndy hakanyagi mtu huko kuna mijoka mijusi kenge nk 😄
Ova
Hivi Unatokea kigoma kiongozi eeh?? 😂sijawai ona hata socia media
Bongoye kumetulia sana nakupenda hili uenjoy vizuri beba vinywaji vyako kabisa hakuna fujofujo na wadangaji.Wanaenda sana ,bongoyo kuna utulivu ila huko kwengine vurugu mechi
Kisiwa cha pangavini ndy hakanyagi mtu huko kuna mijoka mijusi kenge nk 😄
Ova