Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri

Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri

bangi tunavuta tuko wengi tu..mshikaji wangu yuko tra ni afisa mkubwa tu anakula bangi kila baada ya masaa manane kwa siku...mshikaji wangu mwingine ni afisa muuguzi pale hospital ya wilaya kondoa anakula bangi kabla hajaingia job.....namalizia wakurungwa nina mshikaji wangu mwingine anaitwa dr christopher yupo pale hospital ya milambo tabora anakula bangi mpaka meno ya mbele yamebadirika rangi....wakuu vuteni bangi inaongeza confidence...
Bangi ya arusha ndo nzuri, hizi za tarime na tabora wengi inawageuza vichaa
 
Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote.
Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu.

Rejea waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk.
Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛
 
Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika

Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?

===

Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.

Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.

Pia soma: Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay almanusura kupiga sarakasi Bungeni ili ajengewe barabara jimboni

Ndio tatizo la kupitisha wabunge wa mchongo
 
Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika

Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?

===

Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.

Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.

Pia soma: Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay almanusura kupiga sarakasi Bungeni ili ajengewe barabara jimboni

Kwa wasioelewa watatokwa na mipovu

Kiujumla hii pamoja na nyingine ni mbinu za kisaikolojia za kumteka mtu a apay attention seriously kwenye jambo unalohitaji hasa ukiona jambo hilo ni gumu kutekelezwa au linapigwapigwa danadana mara kwa mara

Mbinu kama hizi tunaziona zikitumiwa kwa mfano kwenye mapenzi baadhi ya wanadada humwaga chozi bila kupigwa wakitaka kumshawishi mwenza kutekeleza lile alitakalo

Wengine hupiga magoti na kumlamba mwenza miguu kishinikiza analolitaka

Ama kwa upande mwingine tumekua tunaona watoto wadogo ambao kitaalam tunaambia wana uelewa wa juu sana wanapohitaji jambo lao lifanyike hutumia mbinu nyingi tofauti kushinikiza

Kwenye kitabu cha Dale,K mwandishi anasisitiza kumia mbinu hizi unapotaka upewe attention zaidi

Kuna watu siku hizi unakuta mambo yao yanaenda kwakua wameamua kufanya mafekeche ambayo yamewafanya kua unique katika uwasilishaji wa mambo yao na wanavyotaka yachukuliwe
 
hii nchi sasa dharau zimezidi kipimo,

huku ni kulinajisi bunge tukufu, huyu ashughulikiwe na kamati ya nidhamu,

hivi hawa wabunge wameokotwa wapi, hivi vitu hata mtoto wa secondary hafanyi

ccm ijitafakari tumechoka kuletewa machizi halafu yanapitishwa kinguvu na tume

upumbavu mtupu
Wabunge wa ibilisi joka kuu akipambana na wapinzani aliodai walimchelewesha. Kamati ipi ya bunge ya kumshughulikia wakati ni bunge la CCM?
 
Kwani huyu hawezi kuleta hoja yake bungeni mpaka abinuke sarakasi.

Tutafsiri kuwa ni ushujaa ama upumbavu..!
Unadhani ni mara ya kwanza kuileta hiyo hoja!? Ameshaambiwa upembuzi yakinifu unafanyika mara kadhaa
 
Duuh haya mambo angeyafanya Lema kipindi yupo bungeni angefungiwa mpaka ukomo wa bunge.
Flatei yupo sahihi. Barabara ya Karatu Hydom Mbulu ni janga.
Lakini pia akina Paskali wakiambiwa ccm imechoka, haina dira wala mwelekeo kwa sasa wanachofanya ni wizi hawaelewi kisa maslahi yao ya leo yanakutana na ya kesho! Hawajali!
Barabara nyingi inatengewea fedha na zinapitishwa kabisa bungeni lakini zinaishia kusikojulikana (hata awamu ya JPM ilikuwa hivyo hivyo)
 
Duuh haya mambo angeyafanya Lema kipindi yupo bungeni angefungiwa mpaka ukomo wa bunge.
Flatei yupo sahihi. Barabara ya Karatu Hydom Mbulu ni janga.
Lakini pia akina Paskali wakiambiwa ccm imechoka, haina dira wala mwelekeo kwa sasa wanachofanya ni wizi hawaelewi kisa maslahi yao ya leo yanakutana na ya kesho! Hawajali!
Barabara nyingi inatengewea fedha na zinapitishwa kabisa bungeni lakini zinaishia kusikojulikana (hata awamu ya JPM ilikuwa hivyo hivyo)
Mbona Philip marmo ameshwai kuwa kiongozi mkubwa sna alishindwa vip kupeleka hata km 2 tu mjini mbulu pale
 
huyu alitaka kuonyesha tu uwezo wake wa kuruka sarakasi hana lolote ,ana kundi lake la sarakasi walikuwa wanapata ufadili kwenda nchi za scandanavia kufanya maonyesho akawa anawatapeli wenzake. Tulikuwa tunaenda kupiga vyuma hapo unawakuta wote wamesizi bangi. Kashinda ubunge kutokana na ubovu wa mbunge aliyetangulia.
Nimekulia hapo Mbulu ni kweli huyu jamaa alikuwa na kundi lake la sarakasi wanazunguka mashuleni wanachukua vimia vimia[emoji2] vyetu ,nilikuja kushangaa nilipoambiwa ni mbunge
 
Back
Top Bottom