The weekend
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 423
- 837
Bangi ya arusha ndo nzuri, hizi za tarime na tabora wengi inawageuza vichaabangi tunavuta tuko wengi tu..mshikaji wangu yuko tra ni afisa mkubwa tu anakula bangi kila baada ya masaa manane kwa siku...mshikaji wangu mwingine ni afisa muuguzi pale hospital ya wilaya kondoa anakula bangi kabla hajaingia job.....namalizia wakurungwa nina mshikaji wangu mwingine anaitwa dr christopher yupo pale hospital ya milambo tabora anakula bangi mpaka meno ya mbele yamebadirika rangi....wakuu vuteni bangi inaongeza confidence...
Labda alikuwa anawaonesha kuwa anaieza style ya "urusi kawekewa vikwazo"
Ndio tatizo la kupitisha wabunge wa mchongoMbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika
Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?
===
Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.
Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.
Pia soma: Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay almanusura kupiga sarakasi Bungeni ili ajengewe barabara jimboni
Kwa wasioelewa watatokwa na mipovuMbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika
Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?
===
Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.
Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.
Pia soma: Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay almanusura kupiga sarakasi Bungeni ili ajengewe barabara jimboni
Wabunge wa ibilisi joka kuu akipambana na wapinzani aliodai walimchelewesha. Kamati ipi ya bunge ya kumshughulikia wakati ni bunge la CCM?hii nchi sasa dharau zimezidi kipimo,
huku ni kulinajisi bunge tukufu, huyu ashughulikiwe na kamati ya nidhamu,
hivi hawa wabunge wameokotwa wapi, hivi vitu hata mtoto wa secondary hafanyi
ccm ijitafakari tumechoka kuletewa machizi halafu yanapitishwa kinguvu na tume
upumbavu mtupu
Wapige tuu mbona wanaweza kutoka nje woteje wakiwa kama 50 wote wapige sarakasi bungeni?
Tukivuta na kuuza huyo kwenye avatar yako akawii kutuletea pira maskani🤔Wakuu vuteni bangi inaongeza confidence...
Unadhani ni mara ya kwanza kuileta hiyo hoja!? Ameshaambiwa upembuzi yakinifu unafanyika mara kadhaaKwani huyu hawezi kuleta hoja yake bungeni mpaka abinuke sarakasi.
Tutafsiri kuwa ni ushujaa ama upumbavu..!
Aya ya piliKwani huyu hawezi kuleta hoja yake bungeni mpaka abinuke sarakasi.
Tutafsiri kuwa ni ushujaa ama upumbavu..!
Iyo ni roho tuaKuna ntu anasema hiyo style inaitwa ROYO TUA
Mbona Philip marmo ameshwai kuwa kiongozi mkubwa sna alishindwa vip kupeleka hata km 2 tu mjini mbulu paleDuuh haya mambo angeyafanya Lema kipindi yupo bungeni angefungiwa mpaka ukomo wa bunge.
Flatei yupo sahihi. Barabara ya Karatu Hydom Mbulu ni janga.
Lakini pia akina Paskali wakiambiwa ccm imechoka, haina dira wala mwelekeo kwa sasa wanachofanya ni wizi hawaelewi kisa maslahi yao ya leo yanakutana na ya kesho! Hawajali!
Barabara nyingi inatengewea fedha na zinapitishwa kabisa bungeni lakini zinaishia kusikojulikana (hata awamu ya JPM ilikuwa hivyo hivyo)
Suruali inaangukaje aisee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] je suruali ingechanika? Au kuanguka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Labda alikuwa anawaonesha kuwa anaieza style ya "urusi kawekewa vikwazo"
Nimekulia hapo Mbulu ni kweli huyu jamaa alikuwa na kundi lake la sarakasi wanazunguka mashuleni wanachukua vimia vimia[emoji2] vyetu ,nilikuja kushangaa nilipoambiwa ni mbungehuyu alitaka kuonyesha tu uwezo wake wa kuruka sarakasi hana lolote ,ana kundi lake la sarakasi walikuwa wanapata ufadili kwenda nchi za scandanavia kufanya maonyesho akawa anawatapeli wenzake. Tulikuwa tunaenda kupiga vyuma hapo unawakuta wote wamesizi bangi. Kashinda ubunge kutokana na ubovu wa mbunge aliyetangulia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa bunge hili hakuna cha ajabu