Mbunge ahoji kuhusu misafara ya viongozi

 
Tatizo Teuzi za kupewa, uwezo hana.
Huu mama ni Mzigo. Ninashauri katiba mpya mtu aliteuliwa na Rais jina liende bungeni kupigiwa kura kuepuka kuongozwa na watu wasio na uwezo.
 
Angela na Jenista, n moja ya viongoz wasio na sifa serikali ila cha ajabu waliendelea kuaminiwa wizara tofauti. Angela waliamua kumtoa, najiuliza Jenista ana nn, mizizi yake serikalin imeenda mpka wapi,
 
Angela na Jenista, n moja ya viongoz wasio na sifa serikali ila cha ajabu waliendelea kuaminiwa wizara tofauti. Angela waliamua kumtoa, najiuliza Jenista ana nn, mizizi yake serikalin imeenda mpka wapi,
mizizi yake itakua imejichimbia chini zaidi ya mingine
 
Kisiwa cha amani unasimamishe watanzania masaa mawili ? ili upishwe wewe mtu mmoja?
msururu wa magari 30 wa nini inchi yenye njaaa kali hivi?
 
Baada ya majibu yake (Mhagama), hivi anajisikiaje baada ya agizo laMpango jana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…