Mbunge Aloyce Kwezi Atoa Milioni 2 Kujenga Choo cha Kisasa Shule ya Msingi Mwamanshimba, Kaliua

Mbunge Aloyce Kwezi Atoa Milioni 2 Kujenga Choo cha Kisasa Shule ya Msingi Mwamanshimba, Kaliua

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE ALOYCE KWEZI ATOA MILIONI 2 KUJENGA CHOO CHA KISASA SHULE YA MSINGI MWAMANSHIMBA

Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Mhe. Aloyce Kwezi tarehe 04 Oktoba, 2024 akiwa kwenye mahafali iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mwamanshimba, Kata ya Ushokola Wilayani Kaliua.

Mhe. Aloyce Kwezi akiwa katika mahafali hiyo aliwaahidi Wananchi wa Kijiji hicho kuwajengea Choo bora na cha Kisasa kwa ajili ya shule hiyo kwani hela ipo.

Awali, Aprili 2024 Mhe. Aloyce Kwezi aliahidi kuchangia Shilingi Milioni 2 na tayari amewachangia Shilingi Milioni 1 ambayo wameitumia kwaajili ya kufyatua Matofali ya Block.

Pia, Mbunge Aloyce Kwezi amewaahidi kuwaongezea Walimu wa Kike maana Walimu walipo wote ni Wanaume. Mbunge ameahidi kuwaombea ujenzi wa nyumba bora za Walimu.

Mbunge Aloyce Kwezi aliwatunza Wahitimu wote kila mmoja kiasi cha 10,000/= na baadhi ya walimu ikiwemo na zoezi la kuwalisha Keki Wanafunzi, Walimu na Wanakijiji.

Wananchi wa Kijiji cha Mwamanshimba wamefurahi kwa ujio wa Mbunge huyo katika mahafali ya vijana wao pamoja na kupokea ahadi ambazo zikitekelezwa zitachochea maendeleo katika Kijiji hicho,wao pia wapo tayari kwa ajili ya kumuunga mkono.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25.jpeg
    78.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25(1).jpeg
    110 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.25(2).jpeg
    106 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.26.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.26.jpeg
    109.4 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.26(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.26(1).jpeg
    118.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.27.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.27.jpeg
    91.5 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.27(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-05 at 10.55.27(1).jpeg
    122.9 KB · Views: 4
Choo Cha milioni 2 ndio kipoje? Tena "choo Bora" na ninavyojua vyoo vya shule vina itaji matundu mengi
 

MBUNGE ALOYCE KWEZI ATOA MILIONI 2 KUJENGA CHOO CHA KISASA SHULE YA MSINGI MWAMANSHIMBA

Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Mhe. Aloyce Kwezi tarehe 04 Oktoba, 2024 akiwa kwenye mahafali iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mwamanshimba, Kata ya Ushokola Wilayani Kaliua.

Mhe. Aloyce Kwezi akiwa katika mahafali hiyo aliwaahidi Wananchi wa Kijiji hicho kuwajengea Choo bora na cha Kisasa kwa ajili ya shule hiyo kwani hela ipo.

Awali, Aprili 2024 Mhe. Aloyce Kwezi aliahidi kuchangia Shilingi Milioni 2 na tayari amewachangia Shilingi Milioni 1 ambayo wameitumia kwaajili ya kufyatua Matofali ya Block.

Pia, Mbunge Aloyce Kwezi amewaahidi kuwaongezea Walimu wa Kike maana Walimu walipo wote ni Wanaume. Mbunge ameahidi kuwaombea ujenzi wa nyumba bora za Walimu.

Mbunge Aloyce Kwezi aliwatunza Wahitimu wote kila mmoja kiasi cha 10,000/= na baadhi ya walimu ikiwemo na zoezi la kuwalisha Keki Wanafunzi, Walimu na Wanakijiji.

Wananchi wa Kijiji cha Mwamanshimba wamefurahi kwa ujio wa Mbunge huyo katika mahafali ya vijana wao pamoja na kupokea ahadi ambazo zikitekelezwa zitachochea maendeleo katika Kijiji hicho,wao pia wapo tayari kwa ajili ya kumuunga mkono.
Angejenga kabla ya kampeni ingekuwa poa
 
Kwa hiyo katoa 2 million, tena mbunge, na ndiyo mipicha kibao? Just 2 million!! Ukistaajabu ya Mussa.... Wanatumia hizo one weekend kwa baa.
 
Hongera ndugu Kwezi kazi nzuri, umeibadilisha sana Kaliua..

Jitahidi kwenye maji tu, chimba visima vya kutosha kule kazaroho, igwisi, usimba, mlobhoka na tarafa zingine kwa uchache...

Kura zako ziko kwenye maji, trust me.
 
Back
Top Bottom