Hao ndio wale wabunge walioteuliwa na magufuli wanataka mwongozo kwa spika wa kujadili Yanga kuifunga Simba.
Nadhani hadhi na heshima ya huu muhimili katika hili bunge inazidi kushuka kila uchwao wabunge wamelifanya bunge kama sehemu ya kufanya mizaha.
Mara walie mara wapige sarakasi mara wapige magoti
Ni aibu kwa huu muhimili na mwingine ndio huyo anataka mwongozo
Wabunge kumbuka mnalipwa mamilioni kama mishahara na posho ambazo ni kodi za masikini wa nchi hii ambao wao wanaishi kwa shida.
Sent from my SM-J600F using
JamiiForums mobile app