Tetesi: Mbunge Chadema akataliwa kujiunga CCM, atakiwa kungojea 2020

Tetesi: Mbunge Chadema akataliwa kujiunga CCM, atakiwa kungojea 2020

Wafuasi wa Mboe wameanza kuparaganyika, kusambaratika na kutawanyika! Bora akataliwe. Hawa ndio waliokuwa wanakula pesa za CHADEMA kwa mgongo wa Mboe. Sasa mwenzao utawala wake umefika mwisho ndio wanaanza kumkimbia, wasije ombwa kulipa fadhila.
Mboe Ni Nini?
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
sisi tunalia na mafao hayo mengine ya chama hatutaki kuyasikia
 
Anayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Hii ni zilipendwa kwa sasa tupo na mafao ya 25% na tarehe 6 dec. Kama vipi omba uzi wako ufichwe hadi utakamjua na huyo polex2 mbona kama ametumwa india kutibiwa? Hasikiki na hana na hapewi kiki tena!
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Kutoka Msaidizi muhimu Ikulu hadi mleta uzushi Jamii Forums. Ama kweli Karma is a b*tch
 
kuna kitu mkuu ujafahamu ama ulifahamu kinyume mwendo saa, wazo lako unahisi baada ya dirisha kufungwa basi sisiem hapikei tena ndo maana kamkataa huyo mtu (sisiem hana jeuri ya kumkataa mbunge toka upinzani hata ile deadline aliweka kuwavutia kwa wingi)

sisiem bado anafanya mipango ya kuwahonga jamaa wahamie kwa wingi
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Uzushi hausaidii kuifanya Tanzania iwe ya viwanda. Kwani hakujua deadline ya kuhama iliwekwa wazi, na pia NEC ilitangaza chaguzi ndogo mwisho lini?
 
Kama lengo ni kuhama, kwa nini asihamie ACT, DP, CUF...
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
We jamaa lipizi sana tumbo kubwa akili hakuna
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.

Kambembelezee wamkubali. You never know, unaweza kupata uteuzi kupitia njia hiyo.
 
Njia ya mwongo fupi, boya linajichanganya lenyewe.
Mkuu hao watu ni bora kufuga mbuzi ni faida na hii Christmas mwaweza kujipatia supu saaafi kuliko hao.
Ni chukizo kwa taifa na binadamu kwa jumla!
 
Ingekuwa ni kweli hao jamaa wanavyopenda sifa siku hiyo hiyo angeita waandishi wa habari
 
Back
Top Bottom