FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Hapa Ni mafao ya wastaafu,hayo mengine huko huko ,mnapoteza agenda ya msingi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake wewe unamjua, ungeshataja kwa jinsi ulivyo na kiherehereAnayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Hili Jukwaa haliwafai vilaza kama wewe. Rudi kule kwa wambea wenzako mkaendeleze umbea wenu.Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
sasa kama hawezi kuamini kwanini anahana?Anayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Hakuna aliyetegemea kama Polepole angekuja kuwa mpishi wa siasa za maji ya mtaroni namna hii.UNASEMA MBUNGE ALITAKA KUJIUNGA NA CCM HAPOHAPO UNASEMA ALITAKA IWE SIRI. INA MAANA ANGEJIUNGA NA CCM KWA SIRI NA KUENDELEA KUWA MBUNGE WA CHADEMA?
Mzee Mikopo kumbe wewe ni kichefuchefu namna hii?Mboe ni mume wako!
wamkubalie tu ila akawe benchiKuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
umeandika mzoga kabisa1Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
uongo utakusaidia nini mkuu ?Anayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Hata shetani alikuwa maraikaAnayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Njaa zitakuja kuwauaKuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Kumbuka wamiliki pesa wooòoote duniani ni wafuasi wa shetani.Hahahaha
Swafiiii sana kuwa shetani walahi
Watu wanapokonywa stahiki zao wewe unaona ya mbowe tu? Kweli Tanzania tumeshikiliwa na jinamizi ccmMbowe aachie kiti tu kwakwel, ni failurer wa hali ya juu. Wacha wamkimbie wote, itisheni uchaguzi haraka mukinusuru chama cha wachaga.
Hawa jamaa siyo kabisa yaani wanapitisha sheria za hivyo kabisa. Wabunge wa CCCM ni sawa na Mashetani.Msitutoe kwenye mjadala wa Mafao ya Wastaafu hatutaki siasa za kizamani
Itakuwa akiba ya kijinga kimbwa!Anayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno