Tetesi: Mbunge Chadema akataliwa kujiunga CCM, atakiwa kungojea 2020

Tetesi: Mbunge Chadema akataliwa kujiunga CCM, atakiwa kungojea 2020

Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Hili Jukwaa haliwafai vilaza kama wewe. Rudi kule kwa wambea wenzako mkaendeleze umbea wenu.
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.

Ongea na mumeo chumbani syo huku
 
UNASEMA MBUNGE ALITAKA KUJIUNGA NA CCM HAPOHAPO UNASEMA ALITAKA IWE SIRI. INA MAANA ANGEJIUNGA NA CCM KWA SIRI NA KUENDELEA KUWA MBUNGE WA CHADEMA?
Hakuna aliyetegemea kama Polepole angekuja kuwa mpishi wa siasa za maji ya mtaroni namna hii.
 
Mtu mmoja akasema nchi ina wapumbavu wengi kuliko werevu naamini
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
wamkubalie tu ila akawe benchi
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
umeandika mzoga kabisa1
 
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Njaa zitakuja kuwaua
 
Barua zenyewe ni Forgery Anaandikaga Chakubanga na Vibaraka wenzake mbunge kazi yake ni kutia saini tu baada ya kufikia dau.....Malofa nyie!!!
 
Mbowe aachie kiti tu kwakwel, ni failurer wa hali ya juu. Wacha wamkimbie wote, itisheni uchaguzi haraka mukinusuru chama cha wachaga.
Watu wanapokonywa stahiki zao wewe unaona ya mbowe tu? Kweli Tanzania tumeshikiliwa na jinamizi ccm
 
Back
Top Bottom