Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Ni Halima MdeeHe he he heeeeee
Atakuwa mbunge kivuli tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Halima MdeeHe he he heeeeee
Atakuwa mbunge kivuli tu
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Ha ha ha haNi Halima Mdee
Alitaka tu kupima maji kina. Huenda ni yule mliyempeleka segerea juziAnayetaka kuhama Ni mtu ambaye huwezi kuamini,weka akiba ya maneno
Mkuu, usishangae! Kwenye chama chake wapo hao akina MSUKUMA, LUSINDE nk. Sasa unategemea hiyo TANZANIA YA MAGUFULI ataijengaje?Hili jambo la kuchukua wabunge wa upinzani limenifanya nimshangae sana mhe magufuli. Huyu sio mhe niliyekuwa namfahamu enzi zile za uwaziri wake.
Huu ni uongo wa waziwazi.ccm wameona mbunge amekataa kujiunga baada ya ccm kuishiwa pesa za kununua wabunge.hata hivyo mbunge alikataa kujiunga ccm kwa kuwa anamisimamo ya kweli.Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa kusubiri uchaguzi ujao ambapo mbunge huyo alitaka mpango huo ubakie siri kati yake na CCM hasahasa sababu za kiusalama zikitajwa,.
Wengi hatutamfahamu huyu mbunge mpaka 2020,lkn pia CCM ilitoa muda wa kutosha.
Kama jiwe walahiSwafiiii sana walahi
Wewe itakuwa unatiwa kidole, yan unatiwa kidole cha macho ndio maana ubaizalilisha dini, huoni at I shauri ya kidoleSwafiiii sana walahi
Hee! yamekuwa hayo tena?Wewe itakuwa unatiwa kidole, yan unatiwa kidole cha macho ndio maana ubaizalilisha dini, huoni at I shauri ya kidole