alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,370
- 3,163
Nyerere yeye alizifuta kabisa halmashauri za nchi nzima na kuzirudisha tena mwaka 1982...humu mmejaa watoto kumbe msojua historia na nguvu ya kimahusiano baina ya serikali kuu na serikali za mitaa
Wengi Wanajibu kwa mihemko na bila tafakuri. Kifupi watu wengi ni hawajui kujibu kwa tafakari ya kina ni wanajua kudemka