gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,185
- 570
Kwa sisi tunaofanya kazi na TAMISEMI tunaona uamuzi ulikuwa wa busara sana. Jiji la Dar lilikuwa mrija wa kuiba pesa tu.Jiji lilivunjwa kwa mihemko ya mwendazake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi tunaofanya kazi na TAMISEMI tunaona uamuzi ulikuwa wa busara sana. Jiji la Dar lilikuwa mrija wa kuiba pesa tu.Jiji lilivunjwa kwa mihemko ya mwendazake.
Binafsi naomba lisirejee maana wao walishirik kulichezea, kheri lisiwepoKatika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.
Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.
Majibu ya naibu waziri Tamisemi.
Jambo hili ni gumu tutalipitia
Kabisa na hata asingetosheka angetamani AU, sadc, eac, wb,un n.k ziwe chattleilikoendea angeifanya Chato iwe makao makuu ya Nchi
Watu wengi walipata ulaji bila kazi maalum huyo kiongozi alikuwa sahihi maana hao walikuwa wanatumia kodi za wanainch bila machunguJiji lilivunjwa kwa mihemko ya mwendazake.