Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Siyo kwenye ishu ya jiji , jiwe alikurupukaHawa wabunge wa awamu hii tukubali tu tumekula hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwenye ishu ya jiji , jiwe alikurupukaHawa wabunge wa awamu hii tukubali tu tumekula hasara.
Maamuzi yalikua very logical,Siyo kwenye ishu ya jiji , jiwe alikurupuka
Uelewe hoja. Usirukie bila kuelewa wala kutafakari.Lilipovunjwa na Mkapa na kuanzishwa Tume ya Jiji madiwani walishirikishwa? Kama hana uelewa wa nguvu na mahusiano ya kisheria baina ya serikali kuu na serikali za mitaa anatakiwa akajifunze hilo kwa kina
Ndio wanagutuka sasaKatika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.
Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.
Majibu ya naibu waziri Tamisemi.
Jambo hili ni gumu tutalipitia
Mungu anatupenda sana.. Next move ilikuwa kubadili majina ya baadhi ya mikoa na majijiAlikuwa jeshi la mtu mmoja 'bwana yule'!
Point ya msingi sana, mwendazake alijifanya Mungu mtu
Zilikuwa ndio siku zake za mwisho! Alikuwa anajitahidi kutengeneza matukio ya mwisho mwishoJiji lilivunjwa kwa mihemko ya mwendazake.
Mijizi[emoji848][emoji2827]Mijizi imejikita humu ......inasapotiana tu hahaa
Kwahiyo wewe unaamini kuwa JPM alikufa kwasababu alikuwa hatendi haki?Alisahau kuwa kuna mwenye absolute power ya Ulimwengu huu nae anapenda haki.
Madiwani kazi kulakula hawana faida. Chaurembo anajaribu kubomoa uamuzi wa kuokoa ulaji wa madiwani. Wanyonyaji wakubwa. Elimu hawana ujanjaujanja kupitia siasa wanaishi kifalme.Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.
Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.
Majibu ya naibu waziri Tamisemi.
Jambo hili ni gumu tutalipitia
Picha tena akiwa anaropoka tafadhali🗣️Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.
Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.
Majibu ya naibu waziri Tamisemi.
Jambo hili ni gumu tutalipitia
Uelewe hoja. Usirukie bila kuelewa wala kutafakari.
Mkapa aliunda tume kusimamia majukumu ya jiji, hakuvunja wala kubadilisha muundo wake.
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaa! Hawa jamaa siku hizi wanatia huruma hali unawaonea huruma kwa kweli. Kila wanaposhika panatelezaWazalendo wa Kolomije mjitokeze teteeni legasi yenu.
Watu hatukatai Serikali kuu kufanya maamuzi ya kuvunjwa MSM tunachohoji ni taratibu kufuatwa.Nyerere yeye alizifuta kabisa halmashauri za nchi nzima na kuzirudisha tena mwaka 1982...humu mmejaa watoto kumbe msojua historia na nguvu ya kimahusiano baina ya serikali kuu na serikali za mitaa
Wewe ni msafi sana mama kiasi cha kusimama mbele zake huyo mwenye haki ukasema unayo haki?Alisahau kuwa kuna mwenye absolute power ya Ulimwengu huu nae anapenda haki.
Ukute Baba yako ni mwanamke au ana tabia za kikeWANAWAKE KAMA MABINTI NDIO HAO, HAWAWEZI KUTOA HOJA MBELE YA WANAUME WA KWELI...HUSUBIRIA WAWE NA WANAWAKE WENZAO WAANZE KUSEMA UMBEA. WALISHINDWA KUSEMA MBELE YA MWANAUME JEMBE
Nyerere yeye alizifuta kabisa halmashauri za nchi nzima na kuzirudisha tena mwaka 1982...humu mmejaa watoto kumbe msojua historia na nguvu ya kimahusiano baina ya serikali kuu na serikali za mitaa
Yah umeongelea masuala ya uelewa wa uongozi kwa kina, kwamba elimu kuna wakati ukifika inajionyesha umuhimu na upekee wake.Lilipovunjwa na Mkapa na kuanzishwa Tume ya Jiji madiwani walishirikishwa? Kama hana uelewa wa nguvu na mahusiano ya kisheria baina ya serikali kuu na serikali za mitaa anatakiwa akajifunze hilo kwa kina