Wewe unatoka nje ya mada, labda kama unamaanisha wazee wa akili. Tupo wazee tunaoijua dunia inavyoenda kuliko vijana wengi wa miili lakini waliozeeka akili.Tatizo la kuchagua wabunge wazee halafu wanaongozwa na spika mzee.
Dada katokelezea,menyewe kwasabb yamepitwa na wakati yanawaza ngono tu.
Job Ndugai ni miongoni mwa viongozi wachache Tanzania waliobarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.
Kwani VAZI AINA HILO linaruhusiwa na kanuni za BUNGE ?!!!!Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.
Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.
BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304
Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.
Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Kwa hiyo ukienda na "kichupi" uachiwe kwa sababu mjenga hoja kuntu?!!!Aiseee....
Kweli hii nchi ya kipuuzi......
Wakati nchi zingine wabunge wanawaweka kiti moto wasomi wa nchi watafute solution za matatizo...
Hawa kenge wetu wanaenda bungeni kuchunguzana mavazi........ Nyambafuuu kabisa..
Inawezekana alipigwa kibuti, hawa wanawake wazuri wakubwa wanakura kwa kwenda mbeleTukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.
Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.
BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304
Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.
Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Kanuni za mavazi bungeni na udini zinaingialianaje hapa?!Huyo mdini tu, hana lolote...
Labda kwenu jamaaKwa wakristo hilo vazi LA heshima sana
Huyu Mbunge nafikiri alijikojelea kuona dada kapendeza hivyo. Where are we getting these stupid MPs wenye akili ya nzi. Surely, he should know on why he is in the Bunge. Alisimamisha mpaka akashindwa kujizuia. She is very well dressed. Wabunge, nendeni na wakati. Ndiyo maaana bunge lilipelekwa Dodoma karibu na hospitali ya Mirembe. Hawa wabunge hawana akili. They are running a country, what a joke!!AIISEEE!
Hapo kuna jambo jingine, siyo uvaaji unaoonekana hapa!
Sasa inakuwaje na yulekilaza Spika naye anaungane na huyo mdhalilishaji wa jinsia!`
Ingependeza na picha ya huyo mbunge tukaiona, na yeye tuangalie namna ya uvaaji wake au mwonekano wake ulivyo.
Hapa kamdhalilisha mbunge mwenzake bila ya sababu kabisa.
Ndiyo kuoza kwa nchi hivyo. Macho ya Mbunge ni kwa wanawake tu. They have been there for 3 months, I sympathise with him but he should concentrate on what Bunge does au labda wawe na workshops za kufundishwa kupiga punyeto. It is done so why can't we help our hounourable MPs. These are tax payers funded workshops, so it should be compulsory.Aiseee....
Kweli hii nchi ya kipuuzi......
Wakati nchi zingine wabunge wanawaweka kiti moto wasomi wa nchi watafute solution za matatizo...
Hawa kenge wetu wanaenda bungeni kuchunguzana mavazi........ Nyambafuuu kabisa..
Hawa hapo chini wamewatengenezea chanjo kibao mnazitumia na madawa kedekede na mkienda pharmacy mnasema nataka ile UK au ya Germany.......Kwa hiyo ukienda na "kichupi" uachiwe kwa sababu mjenga hoja kuntu ?!!!
Sheria za bunge ndivyo zilivyo ,unataka kuzipinga ?!!!!
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.
Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.
BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304
Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.
Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Inawezekana alipigwa kibuti, hawa wanawake wazuri wakubwa wanakura kwa kwenda mbele