Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.
Mtu kuoa ni issue ya maisha binafsi ya watu, haki hiyo inabidi kuheshimiwa!.
P
Angeoa chumbani sasa wao wawili tuNaomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.
Mtu kuoa ni issue ya maisha binafsi ya watu, haki hiyo inabidi kuheshimiwa!.
P
Majuto ni mjukuuDeo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .
Chanzo : Mwananchi
Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .
Pascal anasema ni faragha msiandike
Okay, hapo nimeelewa mkuuLeo amebariki ndoa Mkuu mpaka hivi ninavyoandika hapa Makambako Kuna sherehe ya kufa mtu
Mkuu sidhani kama uko sahihi kwenye huu mtazamo wako, yule ni kiongozi wa watu...... Ndiyo maana Media nyingi zimeripoti kupitia kurasa za mitandaoni, then mbona Mrema namna ilivyoripotiwa hukulalamika kama Jah people?Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.
Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Paskali ana makasiriko,Pascal anasema ni faragha msiandike
Huyu si ndie aliyemwaga miuno bunge la katiba pendekezwa,
[emoji38][emoji38][emoji38] ni mpenzi wake wa siku nyingiMke alikufa au ?
Anaonekana ni mtu mzima, huenda walikuwa wanaishi tu na Sasa wameamua kufunga ndoaMke alikufa au ?
Picha hiyo imeshawekwaPicha ya mke wake tuone
Huyu Sanga ni Mrema ajae.. mpeni mda tuDeo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .
Chanzo : Mwananchi
Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .
View attachment 2357168
=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.
Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.
Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.
Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Padre wa kikatoliki aliwahi kuniambia ndoa ya RC sio siri, ndio maana utangazwa wiki 3 kabla ya ndoa, na utangazwa kanisani kwa mchumba alikozaliwa, anakoishi sasa nk, na ni kwa pande zote 2, sasa hapo huo usiri unatoka wapi??Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.
Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Sijui nimecheka nini dah ...ccm bhanaDeo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .
Chanzo : Mwananchi
Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .
View attachment 2357168
=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.
Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.
Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.
Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Tena miuno ya uzazi🤣Huyu si ndie aliyemwaga miuno bunge la katiba pendekezwa,
Wakati wa mzee Sita