Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

Mchango wa leo sijauunga mkono kabisa lakini paragraph ya mwisho kwenye hii post yako niliyoi-quote hapa nakubaliana nayo kwa asilimia zote.
 
Jah people zile lori ni zake au kajipa tu ilo jina
 
Hata kupata kura 1 kule Kigamboni na kukatwa kwenye Bunge la Afrika Mashariki ni haki yako.
 
Kupitia taarifa hii rasmi naamini kuwa Kuna taarifa nyingi huwa tunalishwa matangopori.Huyo mwanamke ni wa kitambo mno ila vile tu wakati imewapendeza wabariki ndoa yao.Acheni kudanganyana hapa.

Posting from MAKAMBAKO.
 
Basi tambua habari ya ndoa haina ubaya. Ingelikuwa kakutwa na mchepuko hapo saawa
 
Ndoa sio ishu private.

Ni jambo la kijamii ndio maana linafanyika in an open space , kunakuwa na tangazo la ndoa na cheti kinasajiliwa serikalini.

Na mwanandoa anawekwa alama kidoleni ili jamii yote ijue kuwa kaoa au kaolewa.
 
Ndoa sio ishu private.

Ni jambo la kijamii ndio maana linafanyika in an open space , kunakuwa na tangazo la ndoa na cheti kinasajiliwa serikalini.

Na mwanandoa anawekwa alama kidoleni ili jamii yote ijue kuwa kaoa au kaolewa.
Kwenye the right to privacy, Tanzania bado tuna safari ndefu sana!. Japo harusi ni tukio la public linafanyika bila kificho kama mtu anavyoingia hotelini kula au club kufurahi, mambo binafsi ya mtu, yanalindwa na kinga ya the right to privacy hata kama yamefanywa public. Huwezi kuchukua picha ya harusi ya mtu na kuposti in public bila ridhaa ya mhusika, its an invasion of privacy function.
NB. Dalili zote za tukio hili zina suggest wahusika waliridhia, ila pia kama lengo ni kuonyesha furaha ya harusi, zile picha alipaswa kupigwa soap soap kwenye photoshop angalau kumsoap soap Bi Harusi!. Tasnia yetu ya sheria Tanzania ingekuwa inaruhusu probono za civil litigation, hapo nakula pesa nje nje ya defamation by innuendo!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…