kirimirimi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 287
- 194
mkuu mbona una mpunguzia idadi ya watoto wake... au hiyo kichwa ya habari ktk video post yako ya youtube umeitapiu kwa makosa...Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes
huku huwa tuna amini tofauti na wao... huku familia kubwa huwa tuna amini kila mtoto atakuja na fungu lake... na watoto ni utajiri...Nakumbuka rais wa ufaransa aliwahi kusema kuwa tatizo la Africa ni familia kubwa kwa hiyo kipato hupotelea humo pasipp kuweka akiba
Hivi wanandoa wasio wanasiasa wanaheshimu ndoa zao?Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes
Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes