Mbunge Elibariki Kingu aingia kwenye kashfa ya ngono na kuzaa nje ya ndoa

Mbunge Elibariki Kingu aingia kwenye kashfa ya ngono na kuzaa nje ya ndoa

Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes

Kama ambavyo mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani tanzania mwenye umr wa miaka 57 anavyombambia miss tanzania 2006 wema sepetu mwenye umri wa miaka 29
Chairman anapenda totoooooz nae, mh!!!!
 
Huyo kingu atapata muda wa kulea Huyo mtoto. ...? Mwisho ni taifa lisilokuwa na malezi yeyote, lisilo wajibika bado sisi waafrika tutasubiri sana. Mnasifia michepuko na kuhalalisha upuuzi. Acha trump atutukane ndiyo tunayoweza
Trump mwenyewe ana mke zaidi ya mmoja, hukumbuki siku anaapishwa alikuja na wake sake wote si chini ya watatu hivi.
 
Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes

Mods huu uzi ni marudio,
Uzi halisi wa hii issue ulikua huu hapa chini,
Mbunge Elibariki Kingu aingia kwenye kashfa ya ngono na kuzaa nje ya ndoa
Ziungeni tu hizi Nyuzi,
CC Innovator, Reserved, Paw etc
 
Kama ambavyo mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani tanzania mwenye umr wa miaka 57 anavyombambia miss tanzania 2006 wema sepetu mwenye umri wa miaka 29
Chairman anapenda totoooooz nae, mh!!!!
Duh...............
 
Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amekumbwa na kashfa ya kungonoka na wasichana watatu tofauti na mmoja kuzaa naye, mdada aliyezaa naye anaitwa Nicole Franklin na pia imeelezwa kuwa ndiye aliyemuachanisha Vanessa Mdee(Vee Money) kwa Jux kisha kumnyakuwa kama mwewe na msichana mwingine Anaitwa Irene (queenlynei) ambaye ana duka la nguo na amemuweka karibu na familia yake kiasi kwamba huwa anampelekea mke wa kingu na watoto zawadi mbali mbali huku wakijinasibu kuwa wao ni kaka na dada ila hivi karibuni wakiwa huko uchinani(Irene na Kingu) snap ya Irene ilionesha watu hao wawili wakiwa kwenye mahaba mazito na wakati huo huo Kingu akiongeza speed ya kumsifia mkewe insta ili mama wa watu asistukie kama tunda lake linaliwa.

Kumekuwa na vita ya maneno kiasi cha kupelekea account ya Kingu kuwekwa private coz mashosti wa mzazi mwenza wa Kingu wamekuwa wakitoa maneno ya kumshambulia Kingu kuhusu tabia ya umalaya na kuacha kutoa huduma kwa mtoto huku akijificha kwenye kivuli cha mapenzi mazito kwa mkewe.

56157a0557191a24f9fe692c5687fa52.jpg

d7703cdd8eb0b40d002e06f49e64777b.jpg

9edba1601665820233e165647a7d7e2e.jpg

87a9a61945535b4fd70674e148219343.jpg

79e64d010b53d4dfa4ee53ca81a569e7.jpg

d30989ee2ac31f7fa5cad8e23d0c08a7.jpg
Kuzaa nje ya ndoa sio kosa kosa ni kuwa na mke mmoja. Hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mke mmoja labda taahira. Mwanaume Mungu amemuekea miundombinu ya kuweza kutembea na hata wanawake 5 kwa siku, na kila mtembeo mmoja unaweza kusababisha mimba. Nini cha ajabu hapo?

Ambae hajawahi kutembea na mwanamke au mwanaume wa nje humu ndani anyooshe kidole chake juu tumuone.

Ruhusuni ndoa za wanawake wengi kupunguza mihemko. Wasichana wazuri wako wengi sana na hata wanaume kwanini ule kibudu kila siku?
 
PETRO:MIMI NI MWENYE DHAMBI
YESU :TANGU SASA (BAADA YA KUKIRI) UTAKUWA MVUVI WA WATU ...WEWE NDIWE PETRO NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU
 
PETRO:MIMI NI MWENYE DHAMBI
YESU :TANGU SASA (BAADA YA KUKIRI) UTAKUWA MVUVI WA WATU ...WEWE NDIWE PETRO NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU
historia ya akina petro achana nayo, haifanyi kazi siku hizi, hata wenyewe waliyoileta huku na kutuhadithia walishaipuuza. Mungu wako sio lazima afanane na yule wa Petro.
 
historia ya akina petro achana nayo, haifanyi kazi siku hizi, hata wenyewe waliyoileta huku na kutuhadithia walishaipuuza. Mungu wako sio lazima afanane na yule wa Petro.
Mungu wangu ni yule yule wa petro sema mahusiano yangu na yeye hayahusiani na yake na petro mkuu,hapo maana yangu ilikuwa kumfariji mbunge kwamba siku zote ukikiri makosa yako ukimaanisha kuyaacha mungu huja na mpango mkubwa juu yako
 
Sioni tatizo hapo, ndio maisha yatu africa
 
Back
Top Bottom