Mbunge Festo Sanga: Tutumie fedha za Migodi kujenga na kuboresha viwanja

Mbunge Festo Sanga: Tutumie fedha za Migodi kujenga na kuboresha viwanja

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Akichangia Hotuba ya Bunge la Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, leo Mei 23, 2024, Mbunge wa Makete, Festo Sanga ameishauri Serikali kutumia fedha zinazotolewa na kampuni zinazojihusisha na uchimbaji migodi Nchini kwa ajili ya maendeleo ya jamii kutumika kujenga na kuboresha miundombinu ikiwemo viwanja

Amesema maboresho hayo yatasaiidia katika maandalizi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ambapo Tanzania itakuwa mwenyewe kwa kushirikiana na Nchi za Kenya na Uganda.
 
1. Mbona hajasema ni fedha zipi??

2. Mbona hajasema migodi ipi??

3. Mbona hajasema hua zinalipwa ngapi??

4. Mbona hajasema hua analipwa nani??

5. Mbona hajasema kabla ya kutumika kwenye viwanja hua zinatumika kufanyia maendeleo wapi??
 
Back
Top Bottom