Tutanunua uganda sisi...tutaacha kula machungwa na vitunguu..Hahahahaha, tutanuka meno sawa, na ninyi mtakufa kwa njaa, na viwanda vyenu vya nguo vitafungwa kwa kukosa pamba, hahahahaha, hahahahaha.
Sikilizeni ninyi wakenya, kama mnadhani Tanzania iliwakosea, ni lazima mtumie njia tulizojiwekea kutafuta ufumbuzi, moja wapo ni kuomba maelezo toka kwa balozi wetu aliyepo Nairobi. Kamwe hatutoruhusu wahuni wenu huko wajaribu kutishia maisha ya watanzania.Mitusi imeshaanza...kwn silivia mlinge hamkumkataza kwel vibali..
Mkuu usiwatukane watanzania wenzio. Nasimamia tu hoja yangu palepale kwamba, biashara miongoni mwa nchi zote mbili ni jambo jema na la heri. Lakini kudharaulina na kukashifiana si sawa.Haya maneno eti "Tuna kila kitu" ni maneno ya kijima sana!!
Mfanyabiashara toka kenya anaposababisha bei ya mazao kupanda ni faida kwa wakulima wa tanzania na kwa uchumi wa nchi.
(kama mna hela kanunueni korosho kumbavu nyie)
USA ingebaki na wahindi wekundu hadi leo ingekuwa mamilima na mapori tu.
Watanzania nani katuambukiza kufikiri kwa kutumia ubongo wa kuku?
Nakwambia mtarudi 80s...mpesa tunatoa,wawekezaji wanahama rwana ,na uganda..mara pap uchumi unaporomokaHahahahaha, tutanuka meno sawa, na ninyi mtakufa kwa njaa, na viwanda vyenu vya nguo vitafungwa kwa kukosa pamba, hahahahaha, hahahahaha.
Chakula hata Uganda safari hii wamepungukiwa. Vipi kuhusu pamba ambayo hata Uganda wanategemea Tanzania?Tutanunua uganda sisi...tutaacha kula machungwa na vitunguu..
Nakwambia msimu huu mtahoji sana...hamna mkenya atamhoji mtu amabae si tishio kw nchiSikilizeni ninyi wakenya, kama mnadhani Tanzania iliwakosea, ni lazima mtumie njia tulizojiwekea kutafuta ufumbuzi, moja wapo ni kuomba maelezo toka kwa balozi wetu aliyepo Nairobi. Kamwe hatutoruhusu wahuni wenu huko wajaribu kutishia maisha ya watanzania.
Wuhuhuuu...tutalima...si kwamba eti mashmba hamna...ni serikali tu imeamua kuwacha biashara za kijamaa..Chakula hata Uganda safari hii wamepungukiwa. Vipi kuhusu pamba ambayo hata Uganda wanategemea Tanzania?
Dawa za mswaki na toothpick mtanunua wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chakula hata Uganda safari hii wamepungukiwa. Vipi kuhusu pamba ambayo hata Uganda wanategemea Tanzania?
Wakati huo kwenu zaidi ya watu 5M, watakua tayari wameshakufa kwa njaa. Kenya kwa sasa ni namba 5 katika kuwekeza Tanzania, Kenya mumepitwa na Mauritius mwaka huu. Sio nchi muhimu tena hapa Tanzania.Nakwambia mtarudi 80s...mpesa tunatoa,wawekezaji wanahama rwana ,na uganda..mara pap uchumi unaporomoka
China.Dawa za mswaki na toothpick mtanunua wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio tanzania pekeake...east and central africa tumewekeza.....Wakati huo kwenu zaidi ya watu 5M, watakua tayari wameshakufa kwa njaa. Kenya kwa sasa ni namba 5 katika kuwekeza Tanzania, Kenya mumepitwa na Mauritius mwaka huu. Sio nchi muhimu tena hapa Tanzania.
Kitu cha kwanza ni chakula, kama huna chakula, wewe ni useless hata kama una viwanda vya kutengeneza ndege.Sio tanzania pekeake...east and central africa tumewekeza.....
Njaa ya vitunguu na machungwa[emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani nimecheka sana...si kitambo zifike meno si yatakua yamejeuka rangiChina.
Usijibaraguze kana kwamba nimewatukana watanzania wenzangu. Ukitembea uchi maumbile yako yatakuwa bayana, usigombane na watakaokuita kwa sifa ya kibamia chako. Hukupaswa kutembea uchi karne hii iliyojaa mitumba.Mkuu usiwatukane watanzania wenzio. Nasimamia tu hoja yangu palepale kwamba, biashara miongoni mwa nchi zote mbili ni jambo jema na la heri. Lakini kudharaulina na kukashifiana si sawa.
Na katika hili hata uandike vp, msimamo wetu kama watanzania ni Tz kwanza, heshma kwa nchi yetu ni jambo kubwa na la maana na the rest will be settled thereafter
Na km una hela chakula sio tatizoKitu cha kwanza ni chakula, kama huna chakula, wewe ni useless hata kama una viwanda vya kutengeneza ndege.
65% ya soko la toothpaste Tanzania limeshikwa na Whitedent, ambayo huko Kenya imeshika 20% ya soko la Kenya.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani nimecheka sana...si kitambo zifike meno si yatakua yamejeuka rangi
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]65% ya soko la toothpaste Tanzania limeshikwa na Whitedent, ambayo huko Kenya imeshika 20% ya soko la Kenya.
Vipi watu wanakufa kama una hela?. Vipi unaomba na kutokea chakula cha msaada kama una hela?Na km una hela chakula sio tatizo