Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

SIJAWAHI SIKIA MBONGO ANAJADILI KENYA LAKN WAKENYA KILA SIKU WANAJADILI TZ . NAONA KUNA MTU ANAKANYAGWA KIMYA KIMYA .GOD BLESS TZ. TZ GOOOOOOOOOOOOO
Yani katika awamu wakenya wamepata shida sana ni awamu ya jembe yani hawana raha kabisa 😆😆😆😆😆
 
Hakuna benki wala kampuni yoyote inayofanya biashara kenya ila wao wana Equity KCB Citizen etc makampuni ya bima na hata wakenya wamejaa katika kazi nchini tanzania.Wakenya wana bidhaa lukuki madukani tanzania mfano sabuni ya JAMAA BLUE BAND OMO ETC.
wakati tanzania bidhaa zake ni raw materials kama mahindi mbao vitunguu etc bidhaa za vyakula tuu.Hakuna watanzania wanaofanya kazi kenya.
Hivyo mgomo ukianza wao ndiyo watapata hasara kubwa.
Mahindi Sembe yamepanda bei tanzania kwa sababu ya wakenya kuja moshi kununua kilo sh730 leo hii
Njoo mombasa uone wafanyibiashara wa tanga wanavyonunua bidhaa zao mombasa...tena daily...jamaa anajaza zile coastar bidhaa mpka kw voti na wala hamana abiria
 
Yes ni kweli bila Tz kenya wataumia sana, niulize kwann? Vyakula karibia vyote wanavyokula vinatoka huku, malighafi karibia zote zinatoka huku au hukuji tusipo wauuzia mahindi huwa wanapata tabu sana alafu hadi matunda wanayokula bungeni kwao yanatoka Tz

Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
 
Yes ni kweli bila Tz kenya wataumia sana, niulize kwann? Vyakula karibia vyote wanavyokula vinatoka huku, malighafi karibia zote zinatoka huku au hukuji tusipo wauuzia mahindi huwa wanapata tabu sana alafu hadi matunda wanayokula bungeni kwao yanatoka Tz
Vyakula gani...au unamaanisha vitunguu na machungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unaweza kutuambia sababu za magufuli kukutana na wafanyabiasha!!?

Nadhani kupitia swali langu utakubaliana nami kuwa tafakuri yetu ibebe kauli mbiu "TUJISAHIHISHE"

Kuna "watu" wakiitwa wadhaifu wanavua mashati kutunisha vimisuli vilivyonyaukiana wakidhani ndio ukakamavu.

Kumhoji CEO wa Barclays ni mwendelezo wa kutokujitambua.
Hapana, kumhoji huyo CEO ni jambo jema maana alitajwa na mtu mkubwa kwamab ni mtoa taarifa kuhusu wakenya na ubaya wanayofanyiwa Tanzania.

Na taarifa zake ndizo zilizompa Duale nguvu ya kuwasilisha hoja zake bungeni. Na mbunge huyo huyo kaunganisha dots kadhaa na kumkashifu Rais wa nchi wa nchi yetu.

Ikiwa hakuna sababu ya kumhoji huyo CEO wa Baclays basi hakuna pia sababu za kuhoji hizi tensions zote. Otherwise are inseparable...
 
Wadau,

Nimeangalia kwenye YouTube, Bunge la Kenya na kuna Mbunge mmoja anaiitwa Duale ameishambulia Tanzania na serikali yetu kuwa tuna wabagua kwa nafasi za kazi kwa watu wao na biashara na pia amesema yule mbunge Jaguar alietoa kauli tata kuhusu kuondolewa kwa wafanyabiashara wa kitanzania nchini Kenya, yupo sahihi kulinda maslahi ya wakenya.

Ameishambulia sana serikali ya Rais Magufuli na Bunge la Tanzania.



Nadhani kuna kitu hakiko sawa kwa uapnde wa hawa wenzetu. Kuna chuki fulani dhidi ya watanzania.

My observation; naona tumekuwa pia tishio kwa wakenya kwenye ushindani kuanzia biashara mpaka kwenye ajira. Maana huyu mbunge kalalamika kuwa machungwa na kabichi wanazokula bungeni zinatoka Tanzania, masoko nchini Kenya yametekwa na watanzania. Heko watanzania wenzangu!



Wachaga wamechangamikia fursa!!! Ukifika Nairobi utasema ni moja ta kabila la Kenya
 
Yani katika awamu wakenya wamepata shida sana ni awamu ya jembe yani hawana raha kabisa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Tunawatia jambajamba balaa hahaha
 
Hapana, kumhoji huyo CEO ni jambo jema maana alitajwa na mtu mkubwa kwamab ni mtoa taarifa kuhusu wakenya na ubaya wanayofanyiwa Tanzania.

Na taarifa zake ndizo zilizompa Duale nguvu ya kuwasilisha hoja zake bungeni. Na mbunge huyo huyo kaunganisha dots kadhaa na kumkashifu Rais wa nchi wa nchi yetu.

Ikiwa hakuna sababu ya kumhoji huyo CEO wa Baclays basi hakuna pia sababu za kuhoji hizi tensions zote. Otherwise are inseparable...
Ikiwa vifaranga tu mlivichoma...mtashindwa...je ya silivia mlinge ni urongo pia
 
Alichokifanya Jaguar ni sawasawa na kumwagia Petrol kwenye moto unaowaka chinichini!!!!!! Matatizo kati ya Kenya na TZ yako siku nyingi sana. Lankini JK alikua anatumia busara na uzoefu wa kidiplomasia kuyamaliza haya mambo.
- Hivi tujiulize ilikua ni lazima kuvichoma vile vifaranga vya kuku? vilikua na ugonjwa? au tatizo lilikua kodi?
- Kwa nini tulitaifisha na kupiga mnada ng'ombe za wamasai wa Kenya? Wamasai wa Kenya ndio hao hao wamasai wa Tanzania, kaka yuko Longido dada yuko Kajiaodo. Kabla ya mkoloni hii ilikua nchi moja? KWA NINI BUSARA ISINGETUMIKA, KUWATOZA FAINI NA KUWARUDISHIA NGOMBE ZAO?
- Kwa wale wanaojua sababu, kwanini yule dada wa Kenya aliye changulia kuwa CEO wa VODACOM TZ alinyimwa working permit? mbona kuna wazungu wengi tu hapa TZ wanafanya kazi za ovyo ovyo kabisa wamepewa permit?
- two wrongs don't make a right, Watz tumeanza kumwita ( Hon Aden Duale, EGH, MP, is the first Leader of Majority Party in the National Assembly the 11th and 12th Parliaments under the current constitution) ETI MSOMALI, KWANI MSOMALI SIO MKENYA. Watanzania tuna cheap argumentative synonym. Let's answer his concerns, in a civilised manner. He called a SPED a SPED, na sisi tuite kijiko ni kijiko. Tuacha siasa za mbogamboga.

Ndio, nakubali kabisa kulinda masilahi ya nchi yetu, lazima tuwe wakali, na kufuata sheria na protocols za EAC. WAKENYA WAMETUZIDI SANA KIELIMU na KIMAENDELEO, tunatakiwa kuwaonea wivu kwa kufanya kazi kwa bidii sana ili tuwafikie na sio kuwavuta shati au KUWALOGA?
So kama unaleta vifaranga havijakaguliwa na TBS na vimepita kimagendo nini maana yake??? Na kama je ni vifaranga vimepandikizwa magonjwa kuja kuwaua watanzania hilo unalichukuliaje??? Siku zite sheria ni msumeno haiwezekani ng’ombre wao walete kwenye area reserve za tanzania kuja kuwalisha na ni kinyume cha sheria ikiwa watanzania wanakatazwa kufanya hvo Na wapi ndani ya nchi yao,
Na katika swala la yule CEO kunyimwa permit wakat wapo watanzania wanaeza kufit kwa nafas hio
 
Njoo mombasa uone wafanyibiashara wa tanga wanavyonunua bidhaa zao mombasa...tena daily...jamaa anajaza zile coastar bidhaa mpka kw voti na wala hamana abiria
Yani mfanyabiashara wa tanga anabandari nyuma ya mgongo wake aje anunue nn mombasa wakat matunda yote yalioko kenya yanatoka tanzania 😆😆😆😆
 
Acha uongo wewe, eti bila Tanzania Kenya haipo. Kadanganye watu wa vijiweni huko.
Yes, Kenya haimo bila sisi. My friend, Sasa kama tu vitu vidogo vidogo kama Matunda na kabichi tunawalishia wabunge wenu vp multi investment nyingine na ajira tulizowapa hapa Tz tukiamua kuwaminya si ndo mtaumia sana wajameni? Au sio namuna hiyo wajemeni.
 
So kama unaleta vifaranga havijakaguliwa na TBS na vimepita kimagendo nini maana yake??? Na kama je ni vifaranga vimepandikizwa magonjwa kuja kuwaua watanzania hilo unalichukuliaje??? Siku zite sheria ni msumeno haiwezekani ng’ombre wao walete kwenye area reserve za tanzania kuja kuwalisha na ni kinyume cha sheria ikiwa watanzania wanakatazwa kufanya hvo Na wapi ndani ya nchi yao,
Na katika swala la yule CEO kunyimwa permit wakat wapo watanzania wanaeza kufit kwa nafas hio
Kwanza watanzania hawana viwango hvo...hyo nafasi atapewa mhindi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu mbna mlichoma vifaranga na ng'ombe mliwapiga mnada...si mneliwachoma nao..wanafiki tu
 
Hivi Wakenya do you think kuna mtanzania anashida ya kuja kuishi Kenya???
Nyie Deport any Tanzanian muone??
Coz Sisi tunapenda Amani.
Watanzania wanakwenda Rwanda, Burundi, DRC, Uganda na huko wanapokelewa vizuri sana. Even those EA countries people are free to work & doing business in Tz without any harrassement!!!
What is so special in Kenya????
Compare below two countries Vegetation then come for Argument
View attachment 1139457
View attachment 1139458

Ni kweli kabisa mkuu nimefanya biashara ya mazao kwa muda sasa huku nakutana sana na waKENYA na ndo wanatupa changamoto sisi waBONGO wenye mitaji midogo maana huwa wanatabia ya kupandisha bei kwa wakulima inatuletea sana shida lakini hatujalalamika kokote kwa sababu tunaubinadamu na tunapenda amani kila mtu ale kwa jasho lake na urefu wa kamba yake.
Hawa jirani zetu wanategemea sana asilimia kubwa ya chakula kutoka kwetu yaan kiujumla sisi ndo tunailisha kenya.
Hayo ni machache tu na katika hili hatutaki kujua nani ataumia kama wao wataamua kutudeport waTZ toka kwao na sisi tukideport wao huku TZ kwa sababu iko wazi TZ ni nchi ambayo inajiweza kwa vitu vingi sana compare to all EAST AFRICA COUNTRIES hii ni nchi yenye neema tuna kila kitu so let’s do this then we will see.
 
Back
Top Bottom