Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Aaah hawa wakorofi bhana we mkenya nn?!
Hii mijitu inaobaguana yenyewe mkikuyu anamfanyia racism mkisii ni mijinga bora hata EAC ivunjike.
Unataja ubaguzi ukasahau albino na uchawi...sasa ubaguzi na kurogana+kula nyama za binadamu..ipi hatari...

Mbna huaga mnajifanya watakatifu wakati kwenu pia hali ni mbaya zaidi
 
Wanaotekwa wachache na albino hawauwawi siku hz.
Ila ubaguzi wenu ni the whole nation kiasi cha kwamba mliuana na kupigana mapanga raia wa nchi moja.
Are you sane or insane.?!
Heri kibaguana kuliko kutekana na kunyofoana minofu na kulana[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Hivyo vijiombaomba vivivu hatuviitaji maana sera yetu "hapa kazi tu".
Hao wavivu wachache bakini nao na haidhuru hata ukiwarudisha ama usipowarusisha.
Si ni juzi tu Watanzania wemeuawa pale South Africa? Hawa watu hawapendi Nchi yao, ni wazi kuwa Kenya na South Africa ni Kama Marekani kwa Mexico.

Deportations zikafanywa watu wa kuumia ni Watanzania, ikumbukwe omba omba, walinzi (watch men), wachuuzi bidhaa ndogo ndogo, na machangundoa wengi hapa Kenya ni Watanzania...we literally feed these mofos and yet they dare bite the hand that feeds them. Duale is right about these mofos refusing Sylvia Mulinge the right to work in Vodacom Tz and yet they want to be allowed to go about their business in KENYA.

Wachukue omba omba wao uone vile uchumi was utadorora zaidi.
 
Hiyo USA ya Africa ina wafa njaa Turkana?!
Si ni juzi tu Watanzania wemeuawa pale South Africa? Hawa watu hawapendi Nchi yao, ni wazi kuwa Kenya na South Africa ni Kama Marekani kwa Mexico.

Deportations zikafanywa watu wa kuumia ni Watanzania, ikumbukwe omba omba, walinzi (watch men), wachuuzi bidhaa ndogo ndogo, na machangundoa wengi hapa Kenya ni Watanzania...we literally feed these mofos and yet they dare bite the hand that feeds them. Duale is right about these mofos refusing Sylvia Mulinge the right to work in Vodacom Tz and yet they want to be allowed to go about their business in KENYA.

Wachukue omba omba wao uone vile uchumi was utadorora zaidi.
 
Si kweli.
Mbona kuna ma engineer na madaktari wengi mno wa kitz huko ughaibuni
Tunakosa ajira nje kutokana na UZWAZWA wetu... hatuna maarifa shindani katika ajira si Kenya tu bali hata Uganda... (kuna walimu kibao wa kiganda hapa kwetu je kuna walimu wangapi wa kitanzania Uganda?)
TUNAJIOGOPA... TUNA HOFU... HATUJIAMINI WALA KUJITAMBUA..
 
Hata waarabu matajiri ila wanazamia ulaya.
Hiyo ni hurka ya wavivu wasiotaka kujishughulisha na. Hatuwataki na ningekuwa rais ningewatia shaba
Citizen TV Kenya ·
Beggars from Tanzania flood Kenyan streets #BeggarsForHire Mercy Kandie Tanui

View attachment 1139531

akili potovu mla albino wewe! njoo uachukue ndugu zako omba omba hapa kenya kabla ya kutoa povu nusu kikombe hapa! Nakukumbusha tena Tz is a basket case,, poor like dirt, export ya omaba omba is the only shining dot you got!!!
 
Unataja ubaguzi ukasahau albino na uchawi...sasa ubaguzi na kurogana+kula nyama za binadamu..ipi hatari...

Mbna huaga mnajifanya watakatifu wakati kwenu pia hali ni mbaya zaidi
Serikali ya wakikuyu(Jubilee), inapoamua kwa makusudi kufadhili na kuwapa mafunzo vijana wa kikenya wenye asili ya kisomali, ili kushambulia West gate, Dusset Hotel na kuwauwa wakenya kutoka makabila ya wajaluo, wakamba, waluhya na makabila mengine, wakisingizia terrorists, hiyo imekaaje?
 
Huyu mshenzi ndio mhusika wa sukari mbovu Kenya! Meanwhile...

 
Nikufahamishe tu.
Tanzania siku hz Albino hawauwawi.
Then matatzo ya witch craft ni baadhi ya mikoa na michache.
Na hakuna ubaguzi wala tribalism tz.
Ila huko Kenya ubaguzi wa kikabila wkati wa vurumai la kisiasa kati ya Odinga na Uhuru mlichomeana nyumba na mlipigana mapanga.
Hapo athari ya kiuchumi ishatokea na kurudishana nyuma.
Tz hukuti upuuzi huo.
Kwenu mkisii hapewi kazi na mkikuyu huoni ujinga huo?!
Unataja ubaguzi ukasahau albino na uchawi...sasa ubaguzi na kurogana+kula nyama za binadamu..ipi hatari...

Mbna huaga mnajifanya watakatifu wakati kwenu pia hali ni mbaya zaidi
 
Nikufahamishe tu.
Tanzania siku hz Albino hawauwawi.
Then matatzo ya witch craft ni baadhi ya mikoa na michache.
Na hakuna ubaguzi wala tribalism tz.
Ila huko Kenya ubaguzi wa kikabila wkati wa vurumai la kisiasa kati ya Odinga na Uhuru mlichomeana nyumba na mlipigana mapanga.
Hapo athari ya kiuchumi ishatokea na kurudishana nyuma.
Tz hukuti upuuzi huo.
Kwenu mkisii hapewi kazi na mkikuyu huoni ujinga huo?!
Hyo pia basi ni 2007..inamaana na wewe unaleta habari za kale...

Halafu katika ubaguzi wa vyama hko kwenu mpka bungeni...si lazima ukubali..ila huo ndo ukwel...
Nyie hko mnabaguana kisiasa...
 
Huyo mbunge anaelialia kinamliza nini ? Kama Tz haina faida kwao ?
Huyo anaongea jinsi serikali yenu ilivyo ya kinafiki...au pia hta video hauoni...mtanzania kuingia kenya rahisi sana...haya ngoja mkenya ajaribu kufika mpkani..utachoka nakwambia...

Unafiki ndio zenu
 
Hyo pia basi ni 2007..inamaana na wewe unaleta habari za kale...

Halafu katika ubaguzi wa vyama hko kwenu mpka bungeni...si lazima ukubali..ila huo ndo ukwel...
Nyie hko mnabaguana kisiasa...
Habari za kale zipi wakati 2017 mlipiga risasi na kuwauwa wajaluo 67?. Ninyi kwenu kuwana ni kitu cha kawaida sana. Ndio sababu mnaongoza Afrika kwa" police killings"
 
Halafu kaka mbona huyo jamaa kama mnywa gongo?!
Au katoka usingizini?!
Kwa food security hapa East and Central Africa hakuna wa kuizidi Tanzania.
We hiyo Uganda iizidi Tanzania kwa food security ?!
Bro huyo jamaa kanywa chai ASUBUHI kweli
Ninakusubiri, ulisema hatuwauzii chakula Uganda, wewe jua kwamba Tanzania ni baba yenu ktk ukanda huu.
 
Huyo anaongea jinsi serikali yenu ilivyo ya kinafiki...au pia hta video hauoni...mtanzania kuingia kenya rahisi sana...haya ngoja mkenya ajaribu kufika mpkani..utachoka nakwambia...

Unafiki ndio zenu
Aongelee masuala ya uhuruto na kwake garisa kule ndio kunamatatizo sana kuliko aliyoyaona huku Tz , ajikite Garisa aache kujamb* jamb* bungeni. Garisa wanamuhitaji awasemee mahitaji yao.
 
Back
Top Bottom