Mbunge Gwajima, Waziri Nape na Naibu Waziri Ridhiwani, wananchi wa Mbezi Jogoo tunasema asanteni!

Mbunge Gwajima, Waziri Nape na Naibu Waziri Ridhiwani, wananchi wa Mbezi Jogoo tunasema asanteni!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,768
Reaction score
2,361
Mbunge wetu Kawe Nd Gwajima sasa anafanya kazi ya wananchi.
Kwa muda mrefu sana wananchi wa eneo la Mbezi Jogoo, nyuma ya viwanda vya COTEX, tume,uwa tukisumbuliwa na matapeli kwa miaka mingi.

Watu wako eneo hili toka miaka ya 70 au 80, mimi nipo hapo toka mwanzoni mwa miaka ya 90.
Eneo letu ni la milima na mabonde, na huko nyuma wizara ya ardhi ilipima kama eneo la viwanda.

Wengi waliopewa maeneo hayo ya milima na mabonde waliyakimbia na kwenda kwingine kuliko tambarare zaidi, maeneo ambayo ni bora kwa viwanda.

Katika miaka ya karibuni matapeli kwa kutumia wanasheria na vile vile kwa kuwatumia wanasiasa fulani, wamekuwa wakizunguka zunguka kutaka kuwabomolea wananchi nyumba zao.

Mwanasiasa aliye nyuma ya sakata hili tunasikia ni yule alikuwa mkuu wa mkoa Awamu ya tano.
Wanatafuta maeneo ya bwerere.

Tunamshukuru mbunge Gwajima kwa kuwaleta Waziri Nape na Naibu waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete na kutuhakikishia kuwa eneo hilo hati za viwanda vimefutwa na maeneo yatarasimishwa kwa wananchi.

Huu ni ukombozi, na sasa amani imerudi kwa wananchi wa Mbezi Jogoo.
Tunaishukuru sana Awamu ya Sita chini ya Mama Samia.
 
Mbunge wetu Kawe Nd Gwajima sasa anafanya kazi ya wananchi.
Kwa muda mrefu sana wananchi wa eneo la Mbezi Jogoo, nyuma ya viwanda vya COTEX, tume,uwa tukisumbuliwa na matapeli kwa miaka mingi.

Watu wako eneo hili toka miaka ya 70 au 80, mimi nipo hapo toka mwanzoni mwa miaka ya 90.
Eneo letu ni la milima na mabonde, na huko nyuma wizara ya ardhi ilipima kama eneo la viwanda.

Wengi waliopewa maeneo hayo ya milima na mabonde waliyakimbia na kwenda kwingine kuliko tambarare zaidi, maeneo ambayo ni bora kwa viwanda.

Katika miaka ya karibuni matapeli kwa kutumia wanasheria na vile vile kwa kuwatumia wanasiasa fulani, wamekuwa wakizunguka zunguka kutaka kuwabomolea wananchi nyumba zao.

Mwanasiasa aliye nyuma ya sakata hili tunasikia ni yule alikuwa mkuu wa mkoa Awamu ya tano.
Wanatafuta maeneo ya bwerere.

Tunamshukuru mbunge Gwajima kwa kuwaleta Waziri Nape na Naibu waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete na kutuhakikishia kuwa eneo hilo hati za viwanda vimefutwa na maeneo yatarasimishwa kwa wananchi.

Huu ni ukombozi, na sasa amani imerudi kwa wananchi wa Mbezi Jogoo.
Tunaishukuru sana Awamu ya Sita chini ya Mama Samia.
Huyumbunge wetu anajitahidi sana
 
Mbunge wetu Kawe Nd Gwajima sasa anafanya kazi ya wananchi.
Kwa muda mrefu sana wananchi wa eneo la Mbezi Jogoo, nyuma ya viwanda vya COTEX, tume,uwa tukisumbuliwa na matapeli kwa miaka mingi.

Watu wako eneo hili toka miaka ya 70 au 80, mimi nipo hapo toka mwanzoni mwa miaka ya 90.
Eneo letu ni la milima na mabonde, na huko nyuma wizara ya ardhi ilipima kama eneo la viwanda.

Wengi waliopewa maeneo hayo ya milima na mabonde waliyakimbia na kwenda kwingine kuliko tambarare zaidi, maeneo ambayo ni bora kwa viwanda.

Katika miaka ya karibuni matapeli kwa kutumia wanasheria na vile vile kwa kuwatumia wanasiasa fulani, wamekuwa wakizunguka zunguka kutaka kuwabomolea wananchi nyumba zao.

Mwanasiasa aliye nyuma ya sakata hili tunasikia ni yule alikuwa mkuu wa mkoa Awamu ya tano.
Wanatafuta maeneo ya bwerere.

Tunamshukuru mbunge Gwajima kwa kuwaleta Waziri Nape na Naibu waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete na kutuhakikishia kuwa eneo hilo hati za viwanda vimefutwa na maeneo yatarasimishwa kwa wananchi.

Huu ni ukombozi, na sasa amani imerudi kwa wananchi wa Mbezi Jogoo.
Tunaishukuru sana Awamu ya Sita chini ya Mama Samia.
Nape alikuja kuwasadia kama nani. Au ni kwa vile Nape na Ridhiwani wote ni watoto wa Msoga.
 
Tanzania elimu ya uraia bado sana.

Yaani kupata haki yako ya msingi unashukuru?

Watu wanaingilia kutoa haki ili wajenge political popularity kwa kushukuriwa huku mkwamishaji akiwa anajulikana na hakuna hatua yoyote amechukuliwa kama asemavyo mleta mada.
 
Bado sasa kupelekwa Birmingham Marekani au mnasemaje wana jogoo.

Jogoo oye, viwanja oye, kawe oye
 
Tanzania elimu ya uraia bado sana.

Yaani kupata haki yako ya msingi unashukuru?

Watu wanaingilia kutoa haki ili wajenge political popularity kwa kushukuriwa huku mkwamishaji akiwa anajulikana na hakuna hatua yoyote amechukuliwa kama asemavyo mleta mada.
Huo kwako ni ujinga mkubwa.
Kupambana na wanasiasa waliotaka kutupora ardhi unahitaji wanasiasa makini kama hao waliokuja.

Wewe nenda kudai haki yako na kakifua kako kalikotoboka dhidi ya watu wenye pesa halafu tuletee mrejesho.
 
Nape alikuja kuwasadia kama nani. Au ni kwa vile Nape na Ridhiwani wote ni watoto wa Msoga.
Hapo jogoo wamekuja viongozi wengi tu na wakala kona.
Nape kaja kwa ajili ya kusimamia kuweka majina ya makazi na mitaa, kazi anayofanya nchi nzima.
Ridhiwani ndo kwake kabisa, waziri wa Ardhi kusimamia kuondoa viwanda eneo la makazi.
 
Tanzania elimu ya uraia bado sana.

Yaani kupata haki yako ya msingi unashukuru?

Watu wanaingilia kutoa haki ili wajenge political popularity kwa kushukuriwa huku mkwamishaji akiwa anajulikana na hakuna hatua yoyote amechukuliwa kama asemavyo mleta mada.
Wewe umeona tatizo ni elimu ya uraia na si kukosekana kwa utawala unaoheshimu haki na sheria?.

Hao Wanamshukuru aliyewanusuru kutoka kwa aliyetaka kuwadhulumu...wasichoelwa ni kwamba Yule aliyetaka kuwadhulumu bado anaweza kurudi baadae maana wenye Nchi hii ni Viongozi.
 
Wewe umeona tatizo ni elimu ya uraia na si kukosekana kwa utawala unaoheshimu haki na sheria?.

Hao Wanamshukuru aliyewanusuru kutoka kwa aliyetaka kuwadhulumu...wasichoelwa ni kwamba Yule aliyetaka kuwadhulumu bado anaweza kurudi baadae maana wenye Nchi hii ni Viongozi.
Mkuu kuna wanaharakati wenye njaa ya maneno tu, kia kitu wanafikiri n kuandamana.
Ile personal human touch hawana kabisa.
Lazima tuwashukuru kuanzia Gwajima, Nape na Ridhiwani maana kuna wakubwa walitaka kutumia sheria zilizopo kutuangamiza.
 
Wewe umeona tatizo ni elimu ya uraia na si kukosekana kwa utawala unaoheshimu haki na sheria?.

Hao Wanamshukuru aliyewanusuru kutoka kwa aliyetaka kuwadhulumu...wasichoelwa ni kwamba Yule aliyetaka kuwadhulumu bado anaweza kurudi baadae maana wenye Nchi hii ni Viongozi.
Elimu ya uraia ndio cha kuanza nacho bila kuwepo elimu ya uraia utajua utawala uliopo unafuata sheria?

Mfano katika katiba haki ya kutoa maoni na mikusanyiko imeelezwa wazi ila inafuatwa?

Watu kutoa maoni tu wanapigwa mkwara na kuona kwamba hadi serikali iruhusu na kuchakachua maoni na kubakiza mazuri tu ndio sawa?
 
Huo kwako ni ujinga mkubwa.
Kupambana na wanasiasa waliotaka kutupora ardhi unahitaji wanasiasa makini kama hao waliokuja.

Wewe nenda kudai haki yako na kakifua kako kalikotoboka dhidi ya watu wenye pesa halafu tuletee mrejesho.
Kama umeona ni ujinga wewe ndio nakuona mjinga sababu mimi ninaishi kwa watu waliostaarabika na huo muda wa kupiga zumari kwa wajinga wajinga haupo pia wanajua ipi haki ipi hisani sasa wewe endelea kuwashukuru watu wametengeneza tatizo halafu wamekuja kuleta ufumbuzi ukawaona walefanya la maana.
 
Kama umeona ni ujinga wewe ndio nakuona mjinga sababu mimi ninaishi kwa watu waliostaarabika na huo muda wa kupiga zumari kwa wajinga wajinga haupo pia wanajua ipi haki ipi hisani sasa wewe endelea kuwashukuru watu wametengeneza tatizo halafu wamekuja kuleta ufumbuzi ukawaona walefanya la maana.
Sasa kama wewe mjanja domo la nini?
Ni kama wale mlioambiwa na Magufuli msije na mavi yenu mjini.
 
Tunamshukuru mbunge Gwajima kwa kuwaleta Waziri Nape na Naibu waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete na kutuhakikishia kuwa eneo hilo hati za viwanda vimefutwa na maeneo yatarasimishwa kwa wananchi.

Huu ni ukombozi, na sasa amani imerudi kwa wananchi wa Mbezi Jogoo.
Tunaishukuru sana Awamu ya Sita chini ya Mama Samia.
Hawa mawaziri na mbunge wanastahili pongezi kwa kuwahudumia wananchi.
 
Back
Top Bottom