Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Nilipoiona picha ya mtoa hoja bungeni nimepata jibu kwanini ametaka Kitu kama hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajalibu kila mbunge wa kiume hasa wasukuma, wanyakyusa na wajaluo atapata majibu.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
Ili iweje sasa?Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
Mtawaumbua viongozi wakuu wa nchi sasa.
Ili iweje yaani?Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
Hewaaaaaaaa hapo umepatiaHamna haja ya kutumia gharama kununua mashine,yeye ajitolee kunyonya nanii zote za wabunge kisha aandike report kuwa kakutana na masweta mangapi!
Huyu mbunge inaonekana 24/7 anawaza mhogo wa jang'ombe tu. Mikataba ya gas ikipitishwa huko yeye anapiga makofi tu na vigelegele. Halafu baada ya muda anaungana na wenzake anasema kina TL ni wabaya. Masikini sisi.Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.