Fintan20
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 213
- 556
Unamtumbua vipi mtu ambaye kachaguliwa na wananchi!Kazi ya usimamizi hufanywa na mkuu wa wilaya akishirikiana na wakurugenzi ambaye anasaidiana na engineer wa wilaya. Ndiyo maana hujawahi kusikia mbunge anatumbuliwa kwasabb mradi fulani haujakamilika ama kuna ufisadi. Wanaotumbuliwa ni wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wahandisi.
Sioni umuhimu wa mbunge mpaka sasa kwa maelezo yako, kama yeye anapaswa kuwa msemaji katika Jimbo lake. Na sielewi hiko cheo ni cha nini.