Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi Wameichana Wazi WaziDuh
Mbeleko ya shujaa Magufuli haipo 2025
Wote kwa pamoja. Wananchi waache kuchagua viongozi wapuuzi wenye mabegi ya vyeti ila utendaji sifuri mwishowe wanaishia kushindwa majukumu madogo kabisa hivyo kuathiri maisha ya kila siku ya mwananchi.Sasa hili dongo ni la Slaa au wakazi wa Kitunda😂😂😂?
Kazi za mbunge ninini mkuu!Barabara siyo kazi ya mbunge. Akataliwe kwa sababu nyingine.
Mfano wanaomkataa kwasabb hakuwa chaguo la wananchi hao nawaelewa.
Ni Mushi/Moshi Bar sio mushibahaAmna anachofanya huyo, ukonga barabara mbovu, hio rami y kuanzia mombasa kwenda moshibaha imejengwa chini ya kiwango.
Kipande cha moshibaha kwenda kwa diwani barabara ni mbovu hakuna mfano.
Hapa umeongea mkuuHasimamii kutwa anatafuta rushwa
Wale wauza mayai wa Dar wengi wanatokea Mkoa wa Mara, hasa Tarime, lazima watatumia akili za Tarime.Hakuna Mbunge wa Ovyo kupita Slaa. Kutoka Banana kwenda Kitunda ile Barabara ni fedheha kuwa karibu na Airport.
Mvua zote zilizonyesha na watu kulalamika hata mara moja hajapeleka maskio yake marefu kufanya tathmini tu.
Slaa labda akatoe kafara ya mtu ndio ataweza kurudi tena Bungeni.
Ile dili ya rushwa kutoka kwa mmiliki wa kituo cha mafuta ikastukiwaHasimamii kutwa anatafuta rushwa
Ni mla rushwa mzuri snIle dili ya rushwa kutoka kwa mmiliki wa kituo cha mafuta ikastukiwa
Kwa mbeleko ya kizimkazi atapita tena kwa kishindo na hasa ikizingatiwa kuwa aliutetea sana mkataba wa kugawa mali bure kwa wajombaDuh
Mbeleko ya shujaa Magufuli haipo 2025
👏👏Barabara siyo kazi ya mbunge. Akataliwe kwa sababu nyingine.
Mfano wanaomkataa kwasabb hakuwa chaguo la wananchi hao nawaelewa.
Serikali mkuu; mawaziri, maRC, maDC na wakurugenzi.Kazi ya nani mkuu?
Ni mlaji pesa za umma mzuri sana tokea akiwa waziri kwenye serikali ya wanafunzi UDSMNi mla rushwa mzuri sn
Mkuu mbunge wanachaguliwa kwenda bungeni;Kwahyo mbunge anachaguliwa jimboni kwa kazi gani?
Jerry slaa akipata hata kura 100 kwa wanachi wa ukonga sijui.Kwa mbeleko ya kizimkazi atapita tena kwa kishindo na hasa ikizingatiwa kuwa aliutetea sana mkataba wa kugawa mali bure kwa wajomba
Wenyewe wabunge huwa wanatoa ahadi za kutujengea barabara kwenye campaign zaoBarabara siyo kazi ya mbunge. Akataliwe kwa sababu nyingine.
Mfano wanaomkataa kwasabb hakuwa chaguo la wananchi hao nawaelewa.
Sio kazi ya mbunge kusimamia miradi ya maendeleo. Utekelezaji unafanywa na halmashauri (au serikali kuu), na vyombo vyombo hivyo ndio vinatakiwa kuwajibika kikamilifu. Mfano, barabara au jengo likijengwa chini ya kiwango ktk hatua mbalimbali za utekelezaji, mbunge hawezi kujua sababu sio taaluma yake, wala sio jukumu lake. Wataalam wako halmashauri na serkalini.Huwa pesa za bajeti zikitoka kwa ajili ya Jimbo Fulani mbunge anafahamu na anasimamia au anakuwa yupo pembeni kabisa na hausishwi?
Nipo kujifunza
Kwanini kazi ya mbunge kwenda kusema tu matatizo bingeni?Serikali mkuu; mawaziri, maRC, maDC na wakurugenzi.
Ufafanuzi namba 2, Sheria wanazotunga ni za bunge? Au za wapi?Mkuu mbunge wanachaguliwa kwenda bungeni;
1. Kuwakilisha maoni na kero za wanajimbo bungeni.
2. Kutunga sheria bungeni.
3. Kuisimamia serikali bungeni.
Na ndiyo maana Jerry anajikomba kwa kizimkazi maana anajua nyie wananchi hamtaki🤣😆Jerry slaa akipata hata kura 100 kwa wanachi wa ukonga sijui.
Hakuna anayempenda labda wampitishe kwa mabavu.
Wananchi wa ukonga ndio tunajua ukweli atapita kwa mabavu si kwa kura za wananchi.
Pale mombasa ramani ilitakiwa ianzie kambi ya FFU zamani ilipobomolewa inyooshe kupitia relini moja kwa moja mpaka mto msimbazi, hakuna lililofanyika.
Daraja lililojengwa ni la ulongoni A, daraja la msimbazi liliondoka na maji wakaja wahuni wakabeba nondo na matofali, hakuna daraja lililopigwa pesa kama lile lilikuwa kituko mchanga mtupu.
Ile njia ilipaswa kutoka kwenda mpaka daraja la njia panda segerea la chuma, na kwenda kukutana mombasa.
JERRY SLAA HAKUNA ATAKAYEMCHAGUA LABDA WAENDELEE KUIBA KAMA WALIVYOZOEA