Pre GE2025 Mbunge Jerry Silaa akataliwa na Wananchi wa Jimbo la Ukonga mbele ya Waziri Ulega

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unamtumbua vipi mtu ambaye kachaguliwa na wananchi!

Sioni umuhimu wa mbunge mpaka sasa kwa maelezo yako, kama yeye anapaswa kuwa msemaji katika Jimbo lake. Na sielewi hiko cheo ni cha nini.
 
Amna anachofanya huyo, ukonga barabara mbovu, hio rami y kuanzia mombasa kwenda moshibaha imejengwa chini ya kiwango.

Kipande cha moshibaha kwenda kwa diwani barabara ni mbovu hakuna mfano.
Ardhi zao zina maji na soil profile mbovu sana, ipo haja kwa huko tuendako tukatumia zaidi concrete roads, itaokoa hata gharama za kuziba viraka kila wakati.
 
Jerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Pamoja na kwamba Mimi sio mwana Ukonga ila Kwa uzoefu wangu Tanzania hasa mjini watu Huwa hawachagui Mbunge Kwa kuangalia kama ametekeleza Ilani kwa Asilimia ngapi.

Mfano huko Ukonga wamekuwa na Wabunge dizaini ya Mwita Waitara Kuna Cha maana walipata?

Ni mara mia Jerry Silaa kuliko hao waliopita.Kama ni Barabara Mbona Jerry kajitahidi?

Mwisho ni Majimbo ya Vijijini tuu ndiko Wananchi humchagua Mbunge Kwa Kwa masuala waliyokubaliana huko Mjini ni ujinga na uzushi wowote ambao watu wataona kwao inafaa.

Harafu hatutegemei watu wote wakukubali, haiwezekani.
 
Jerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Hata mnyika alikuwa mbunge wa kibamba zaidi ya muongo mmoja na hakuna alichofanya mbaka Leo kibamba Ina shida ya maji na barabara baada ya kujua atapigwa chini na wananchi akaamua ajifiche kwenye kivili Cha ukatibu mkuu
 
Hakuna Mbunge wa Ovyo kupita Slaa. Kutoka Banana kwenda Kitunda ile Barabara ni fedheha kuwa karibu na Airport.
Mvua zote zilizonyesha na watu kulalamika hata mara moja hajapeleka maskio yake marefu kufanya tathmini tu.

Slaa labda akatoe kafara ya mtu ndio ataweza kurudi tena Bungeni.
 
Sasa hili dongo ni la Slaa au wakazi wa KitundaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚?
 
Kazi ya mbunge ni uwakilishi . Anachukua maoni, shida, mipango na matamanio ya wananchi wa jimboni
Hapo sasa ndipo anapofeli Bw. Slaa. Hawakilishi jimbo, hachukui maoni, shida wala matamanio ya wananchi wake.

Moja ya matamanio ya wakazi wa Ukonga ni barabara ambazo hazitamaniki.

Kwahiyo kwa njia moja ama nyingine amefeli kuwezesha upatikanaji wa barabara kwa kushindwa kufikisha maoni ya anaowakilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…