Unamtumbua vipi mtu ambaye kachaguliwa na wananchi!Kazi ya usimamizi hufanywa na mkuu wa wilaya akishirikiana na wakurugenzi ambaye anasaidiana na engineer wa wilaya. Ndiyo maana hujawahi kusikia mbunge anatumbuliwa kwasabb mradi fulani haujakamilika ama kuna ufisadi. Wanaotumbuliwa ni wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wahandisi.
Kupiga domo na kula posho bungeniKwahyo mbunge anachaguliwa jimboni kwa kazi gani?
Ardhi zao zina maji na soil profile mbovu sana, ipo haja kwa huko tuendako tukatumia zaidi concrete roads, itaokoa hata gharama za kuziba viraka kila wakati.Amna anachofanya huyo, ukonga barabara mbovu, hio rami y kuanzia mombasa kwenda moshibaha imejengwa chini ya kiwango.
Kipande cha moshibaha kwenda kwa diwani barabara ni mbovu hakuna mfano.
Jerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Pamoja na kwamba Mimi sio mwana Ukonga ila Kwa uzoefu wangu Tanzania hasa mjini watu Huwa hawachagui Mbunge Kwa kuangalia kama ametekeleza Ilani kwa Asilimia ngapi.
Yote uliouliza msingi wake ni katiba mbovu. Dai katiba moyaUnamtumbua vipi mtu ambaye kachaguliwa na wananchi!
Sioni umuhimu wa mbunge mpaka sasa kwa maelezo yako, kama yeye anapaswa kuwa msemaji katika Jimbo lake. Na sielewi hiko cheo ni cha nini.
CCM ikiamua kushinda,inategemea kura zenu? Au kura za maoni ndani ya CCM? Mnajichosha tuJerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Kwa NEC hii mbeleko itaenda wapi?Duh
Mbeleko ya shujaa Magufuli haipo 2025
Bi tozo alishasema mtuchague msituchague tunashindaCCM ikiamua kushinda,inategemea kura zenu? Au kura za maoni ndani ya CCM? Mnajichosha tu
Hasimamii kutwa anatafuta rushwaAmna anachofanya huyo, ukonga barabara mbovu, hio rami y kuanzia mombasa kwenda moshibaha imejengwa chini ya kiwango.
Kipande cha moshibaha kwenda kwa diwani barabara ni mbovu hakuna mfano.
Hata mnyika alikuwa mbunge wa kibamba zaidi ya muongo mmoja na hakuna alichofanya mbaka Leo kibamba Ina shida ya maji na barabara baada ya kujua atapigwa chini na wananchi akaamua ajifiche kwenye kivili Cha ukatibu mkuuJerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Hapana. Anajua fulani tapeli anamuweka kwenye kitengo wanapiga kazi.... anajua kila kitu maana vetting inafanyika kwa ufanisi na mteuaji ni yeyeHalafu anakuja kugundua ameteua matapeli .
Nilikuwepo nimeshuhudia mwenyewe HUU mtanangeππππ
Tena hawamtaki hata kumsikia analazimisha tu,na kwakuwa ni bingwa wa propaganda.Sio huyo yu, wabunge wengi ni hivyo, huyo ulega huko mkuranga kwenyewe hakuna cha maana alichofanya
Jerry ana mbinu gani za kumlinganisha na Kipara au NapeMama akigundua fulani ni gwiji wa mbinu mbinu anamsogeza na kumteua....
Mfano
Jerry
Kipara
Goli la mkono
Ummy nk
Sasa hili dongo ni la Slaa au wakazi wa Kitundaπππ?Ukonga kuna barabara mbovu na maji ya shida. Hata Segerea maji tatizo. Wananchi wa majimbo hayo mawili hawaogi na ni wachafu hasa kwenye daladala, tena ukutane na wanawake wa Kitunda weusi tii, wamepiga mkorogo alafu wana mawigi yanatema.
Mtu anakazana kupita kwenye vumbi akifika kwake maji ya kuoga hamna.
Atakayesema nimetukana basi aende Banana ajionee vipanya vya kwenda Kitunda uko.
Ni madudu tu wanafanya, mkuranga miaka nenda miaka rudi ipo vile vile.Tena hawamtaki hata kumsikia analazimisha tu,na kwakuwa ni bingwa wa propaganda.
Hapo sasa ndipo anapofeli Bw. Slaa. Hawakilishi jimbo, hachukui maoni, shida wala matamanio ya wananchi wake.Kazi ya mbunge ni uwakilishi . Anachukua maoni, shida, mipango na matamanio ya wananchi wa jimboni
Laana ya milele imuandame huyo bibi. Ni jipu kupita majipu yote.Bi tozo alishasema mtuchague msituchague tunashinda