Mbunge Jerry Silaa hajui kitu kuhusu ATCL, asijifanye mjuaji

Mbunge Jerry Silaa hajui kitu kuhusu ATCL, asijifanye mjuaji

Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu huwa napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE
Msomi mzima huwezi kusema kuwa hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia, Kenya, Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
ATCL ni mradi wa kulinda hadhi ya taifa siyo wa kutengeneza faida- kama ikipatikana sawa isipopatikana pia sawa cha muhimu taifa lina ndege.
 
Mm mwenyewe ni mwanaccm ila hili zao la awamu hii ni feki,, halijui chochote zaidi ya ndiyo na uwizi
 
Nakuji
Ngoja nikujibu kwa mara ya mwisho. Kukataa kuwa uhuru wa kujieleza na kukosoa ni nguzo mojawapo ya maendeleo inaonyesha fikra zako zilivyo duni. Hivi unadhani bila uhuru wa kukosoa na kujieleza wananchi wanawezaje kuifahamisha serikali kuhusu utendaji mbovu wa wale waliopewa dhamana ya kuwasaidia ili wapate maendeleo? Tumeona utilities wa miradi ya maji isiyotoa maji, barabara zinazoharibika baada ya msimu mmoja ambapo wananchi inabidi wamsubiri Rais ndio watoe dukuduku zao. Uhuru ungekuwepo, matatizo yangemalizika katika ngazi ya DED. Tumeona madaktari wakiogopa kutoa takwimu kuhusu ugonjwa wa Covid kwa kuogopa kushughulikiwa.

United Airlines ni mali ya United Airlines Holdings Inc, kampuni ya kibiashara. Swiss Air ilifilisika na ikafutwa kabisa. Swiss International Airlines imetokana na Cross Air. Ni Crossfire ndio iliyobadilisha jina kuwa Swiss International Airlines. Hayo unayosema kuhusu unayoita mashirika mkakati ni upuuzi tu na zinatokana na kuangalia mno Netflix. Tunashauriwa tusiwe na shirika la ndege la serikali simply kwa sababu hatuna uwezo wa kulihudumia na kuliendesha ipasavyo. Tunajenga hoja kuwa tunanunua ndege ili tulete watalii halafu tunaogopa kwenda huko kwenye watalii kwa kuogopa kuwa zitakamwatwa. Kama tuna mihela mengi kiasi hicho kwa nini tusiwalipe tu wanaotudai? Au kwa nini tusifanye kama walivyofanya waswiss ( Na CAG wa zamani alivyoshauri) kwa kuiacha ATCL ifilisiwe na madeni yafe nayo. Baada ya hapo ndio tujipange kuanzisha shirika lingingine kama tutaona kuna haja ya kufanya hivyo. Nje ya hivyo tutaishia kupeleka Dreamliner Mwanza na Zanzibar.

Regulators kazi yao ni kuhakikisha kuwa umeme wa kutosha unapatikana na kwa bei inayoeleweka. Mambo ya uende wapi au usiende wapi ni mambo ya kibiashara na soko litaamua. Hayo Mambo ya serikali kutaka kuamua umeme ukatwe wapi na ukatwe lini ndio umechangia sana uharibikaji wa mitambo yetu. Hayo maamuzi yanapaswa kufanywa na wataalamu na sio wanasiasa.

Of course, energy distributors wanafanya kazi kwa maslahi ya serikali zao kwa kulipa kodi na kufuata matakwa ya kisera ( sio uendeshaji wa serikali). Kama malengo ya serikali ni kuondokana na fossil fuels nao watawekeza kwenye nishati safi zaidi maana serikali itawaadhibu kwa kuendelea kutoa nishati chafu. Kama hata hilo haulielewi basi hautakuja kuelewa kitu hata kama tukishinda humu siku nzima. Kwa sababu hiyo, sitakujibu tena maana itakuwa kujipotezea muda.

Amandla...
Nakujibu mara ya mwisho pia. Mwisho tukubaliane kutokukubaliana.

Nimekupinga kwenye suala la uhuru wa kujieleza na kukosoa ulivyoliweka kwa uzito sawa na huduma bora za afya na maji safi na salama, lakini namna ulivyolijibia nimeona wazi wazi kabisa kwamba haupo consistent kabisa katika kufikiri kwako kuhusu dhana ya "uhuru wa kujieleza na kukosoa". Lakini hainishangazi sana maana mengi ya mawazo ya watu wa aina yenu siyo original ideas, mnaparrot tu vimisemo mnavyolishwa tu na systems za huko, bila hata kujua nini na kwa nini.

"Tumeona utilities wa miradi ya maji isiyotoa maji, barabara zinazoharibika baada ya msimu mmoja ambapo wananchi inabidi wamsubiri Rais ndio watoe dukuduku zao. Uhuru ungekuwepo, matatizo yangemalizika katika ngazi ya DED."

So wananchi walimsubiri Rais wakatoa dukuduku zao. Kumbe uhuru wa wananchi wa kujieleza na kukosoa upo, kiasi kwamba waliweza kuuonyesha hata mbele ya Rais. Argument yako ni nini hasa? Uhuru wananchi wanao hawana? Kama walisubiri hadi Rais aje ndio wauonyeshe walishindwa vipi kuuonyesha kwa viongozi wa ngazi za chini? Sioni kama hili ni tatizo la uhuru wa kujieleza na kukosoa, naliona kama tatizo la elimu ya uraia kwa ujumla, wananchi hatujui nini cha kufanya tunapoona watendaji wa serikali wanafanya vibaya.

"Tumeona madaktari wakiogopa kutoa takwimu kuhusu ugonjwa wa Covid kwa kuogopa kushughulikiwa."

Sikuelewi yaani. Takwimu zilikuwa zinatolewa, baada ya kushauriana wenyewe kwa wenyewe huko serikalini kwamba takwimu zinazidisha hofu ya Covid-19 kwa wananchi na kuwapanikisha watu wakatoa agizo zisitolewe. Hata upimaji wa Covid-19 ukasitishwa. Bila shaka takwimu halisi za Covid-19 hazikuwepo pia. Unahesabu hili kama kuminywa kwa haki za "uhuru wa kujieleza na kukosoa" wa madaktari? Kama unalihesabu hilo kwenye uhuru wa aina hiyo basi you are totally irredeemable. Hili si suala uhuru wa kujieleza na kukosoa, hili ni suala jingine kabisa -- liite suala la nchi kufanya tofauti na jumuiya ya kimataifa kwenye inshu ya Covid-19. Kuna watu walikosoa msimamo huo wa serikali, na kuna watu walikubaliana na msimamo huo wa serikali. Nilitegemea watu kama nyie wenye uelewa basic (aina ya uandishi wako unaniaminisha hivyo) mngeweza kuwa objective katika kufanyia analysis mambo kiasi kwamba inapokuja suala la kukosoa serikali pale mnapofanya hivyo hata serikali inakubali kwamba kweli hapa tulipotoka, ngoja tujirekebishe. Lakini mnavyokosoa kosoa kila kitu, serikali hupata shaka kama mnafanya hivyo kwa nia njema au mna ajenda.

Kwenye mambo ya airlines (SwissAir, n.k), na kwenye mambo ya umeme (regulation, n.k), na namna gani mashirika ya aina hii ni vital kwenye Geo-Economic-Security interests za nchi, naona nisiendelee tena kujibishana. Endelea na msimamo wako na mimi nitaendelea na wa kwangu.
 
I still have confidence with ATCL, this is despite the loss it is making
 
Mimi nafikiri tuwacheeee weee wapate hasara weee siku wakichoka watasema maana tunawaambia hawasikii.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu huwa napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE
Msomi mzima huwezi kusema kuwa hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia, Kenya, Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Hamna lolote ninyi mafisadi tu mnaokuja mitandaoni kujaribu kuhadaa wananchi kwa upuuzi wenu na hasira za kutumbuliwa kwenu
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu huwa napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE
Msomi mzima huwezi kusema kuwa hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia, Kenya, Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Ww ndio unajifanya kujua usiyoyajua😂!
 
Kwa hiyo mnatakaje? Shirika liuzwe? Ndege ziuzwe au nini hasa? Ni vema kwenda moja kwa moja kwenye suluhisho sababu muhusika wa yote kishatangulia mbele za haki.

Zinauzwaje wakati zingine ndio zinaingia😂😂😂😂
Kurasa 303 lazima zikamilike
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu huwa napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE
Msomi mzima huwezi kusema kuwa hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia, Kenya, Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Kakulia kwenye Aviataion huyo. Halafu hebu sikilizeni wachumi. Hiyo inasupport utalii! Ndegezetu mbili zije na kazi iendelee!
 
Back
Top Bottom