Mbunge Jerry Silaa hajui kitu kuhusu ATCL, asijifanye mjuaji

Mbunge Jerry Silaa hajui kitu kuhusu ATCL, asijifanye mjuaji

Baba ake Jerry anamiliki ndege iliyomuua Filikunjombe

Jerry anajua sana maswala ya ndege!
NDEGE ILIYOMUUA BABA YAKE JERRY NA FILIKUNJOMBE ILIKUWA NI HELICOPTER!!! SASA JERRY ANAJUA MASWALA YA NDEGE ZIPI?

MAMBO YA UENDESHAJI WA BIASHARA YA NDEGE NI MTAMBUKA , YANAHUSU TARANSPORT ECONOMICS, MARKETING, ENGNEERING, ACCOUNTING, HUMAN ADMINISTRATION KWAHIYO NI BIASHARA INAYOHITAJI WELEDI WA HALI YA JUU NA SIO KUIENDESHA KAMA BIASHARA YA DALA DALA!!
 
Jerry Slaa ni puppet
Yuko nyuma ya watu..
Akiongea Bashe ujue Rostam kaongea
Kuna wabunge huwa wanaongea Kwa niaba ya wengine...
Watu wakubwa kama kina Kinana.Lowasa.
Kikwete na wengine Wana wabunge wao
Wanazungumza kwa niaba yao..
Haya ni maneno mazito ya ukweli.
 
Mtaalamu NYANI ngabu hawa wajamaa hawana uelewa na masuala ya uwekezaji kwao kila kitu ni political gain. Ebu watutajie shirika moja lililopata faida katika miaka minne ya uwekezaji. Slaa at least kajaribu kuwaelewesha. Waangalie ilani ya ukawa na pia ya Zitto za mwaka 2015 waje watueleze wsngepata vipi faida kwa kuifufua ATCL. Ni waongo.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Umemsema Jerry Slaa hajui kitu kuhusu ATCL wakati wewe mwenyewe umeonesha ndio MAAMUMA kabisa!
 
Prof Abbas alieleza vizuri kabisa hata Sisi ambao siyo wachumi tumemuelewa. Tatizo watu wana pick maneno kwenye paragraph na Kuya twist.

According to Abbas, Kilichotakiwa kufanyika ni kuliquidate ATCL, then pesa inayopatikana inawaliipa creditors then unakuwa ni mwisho wa deni. Baada ya kufanya hivyo unaanzisha kampeni nyingine ambayo itakuwa free na madeni. South Africa kwa Sasa wako kwenye hiyo process...!!
 
Vyeti sio uthibitisho wa Maarifa, ni uthibitisho wa kuwa ulihudhuria shule na kupata Maswali ya Mtihan

Uwezo au maarifa ya mtu unaweza kuyapima hata kwa namna tunavyojadiliana, kama mimi sihitaji Vyeti wala jina lako kuelewa kiwango cha maarifa yako, nafahamu wengi kupitia soga hizi za uongo na kweli tunazopiga hapa

Wewe endelea kusubiri vyeti
Nilitaka kujua iwapo ana ABC za airlines, sio darasa la kwanza afu anabwabwaja.
 
Baba yake alikuwa Rubani basi anajiona tayari yeye ni Mtaalam wa kila kitu kwny ndege kuanzia Engine, Kapeti za ndege hadi mfumo mzima wa baishara

Watoto wa 'Fundi Garage' hujifanya wanajua kila kitu kwny Magari
Kukaa karibu na mahakama siyo kujua sheria... Kasahau hii
 
Jinsi ulivyoanza na mbwembwe za kumkosoa Slaa nilitegemea nikute nondo za uhakika za kutetea hoja yako. Nimeishia njiani baada ya kuona blah blah,bora hata Jerry Slaa maelezo yake yana logic.
Anzia na hili... COVID19 imekuja mwaka 2019, lakini ndege zimepiga hasara kwa miaka mitano mfululizo... YAANI HATA KABLA YA COVID19...
 
Sasa mkupishana mawazo na wenzenu mnakashfu, mnataka mfanane mawazo? Activist wa JF mna chekesha
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Ndege zinunuliwe fullstop.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Lakini hawa wakaguzi wetu wawe wanatujulisha pia hiyo Loss inavyokuwa calculated. siku zote financial statements usipojua kuzifafanua huwezi elewa.Kuna wakati statements zinaonyesha shirika linapata faida na bado linafirisika.

Wewe hujiulizi kwa nini mashirika yote makubwa duniani ya ndege yana declare loss lakini bado yapo sokoni na ndege zao zinaendelea kuruka wala hujasikia hata siku moja wameshindwa kulipa mishahara ya uendeshaji.

Finacial statements ni "fictious" zinatumia standards ambazo zimejaa estimates na judgements.

Unajua pia,kuna kitu kinaitwa uchakvu,nazo huwa ni gharama ,ijapo hakuna cashoutflow

Nadhani mijadala kama hii inahitaji watalaamu wa mambo ya uhasibu,siyo kuwaachia wanasiasa.tukiwaachia wanasiasa watatupotosha kwa maslahi yao binafsi.

Kwa upande wangu siwezi ku-hemka kwa taarifa kama hiyo iliyo ya upande mmoja.mpaka nipate taarifa zote mhimu,1) faida na hasara 2)mizania 3)mtiririko wa fedha taslimu,4)taarifa ya madiliko ya mtaji. Uhai wa shirika unaangaliwa kwa vigezo zaid ya faida tuu. pia sera za shirika katika katika uhasibu na utoaji taarifa za fedha.

Huwezi kuanza biashara kubwa kama hiyo ukapata faida ndani ya muda mfupi
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Mbona wewe ndiyo mpitoshaji usiyejitambua. Slaa hujulinganishi naye kaa kimya
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Wala hujui jinga wewe labda unajua biashara ya bar ndio ujuzi wako. Mijitu kama lissu ni ya ovyo mtu huwezi kubishana nayo maana ni confident fools. Jerry slaa ametoa maelezo utadhani mtaalamu wa biashara ya usafiri wa wanga halafu jitu linabisha tu kwa unyumbu...aaaaaagh yaani hii minyumbu ni balaa.
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Niliona Ndugu gai na genge lake wakimshangilia...
 
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!

Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.

Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.

ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?

Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?

USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.

Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?

Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?

Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.

Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.

Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
We nae ni chakubanga tu huna lolote,sasa hapo wewe unajua nini? Acha kujidai kumbe ni debe tupu!
 
Baba yake alikuwa Rubani basi anajiona tayari yeye ni Mtaalam wa kila kitu kwny ndege kuanzia Engine, Kapeti za ndege hadi mfumo mzima wa baishara

Watoto wa 'Fundi Garage' hujifanya wanajua kila kitu kwny Magari
Acha wivu na majungu!
 
Jerry Slaa ni puppet
Yuko nyuma ya watu..
Akiongea Bashe ujue Rostam kaongea
Kuna wabunge huwa wanaongea Kwa niaba ya wengine...
Watu wakubwa kama kina Kinana.Lowasa.
Kikwete na wengine Wana wabunge wao
Wanazungumza kwa niaba yao..
Hebu tupe list ya wabunge wa Rostam, Kikwete na Lowasa tuanzie hapa kwanza,usilete umbea na majungu hapa,kama huna ushahidi basi hustahili hata kulike chochote humu maana utakuwa umedhihirisha ufinyu wako wa akili!
 
Mimi kinachonishangaza bungeni,ni kama wanaipinga Ripoti ya CAG waziwazi kwa kisingizio cha hotuba ya Mbowe ambayo inaonekana kuwavuruga!
 
Hicho ulichoandika bado ni mawazo ya kimaskini. Marekani wana NASA inayopeleka vyombo mwezini, haizalishi faida yoyote na inakula kodi ya wamarekani balaa. Lakini wamarekani wanaipump pesa za kutosha maana kwa msemo wao, kuna spin-off benefits kupitia NASA kwenye industries kibao.

Sasa wewe kamradi ka ndege tu za kawaida unaona ni hasara, lini utawaza hata kujenga satellites zako mwenyewe (kama nchi). Ni hivi, kuna spin-off benefits kibao kwa kupitia ATCL imara, embu think big bro.

Afu unavosema kiuchumi tuko hoi, unamaanisha nini? Maana kama tunaweza kununua ndege cash basi uchumi wetu hauko hoi kama unavyotaka kutuaminisha. Na pia ikumbukwe tumenunua hizi ndege wakati huo huo tujkijenga madaraja makubwa, tukiboresha huduma zetu za afya, tukipanua barabara zetu za mijini, tukiboresha usafiri wetu wa majini, n.k.

Uchumi hoi unaousema ni upi ndugu yangu? Kama ni suala la kutopandisha mishahara mimi hapa ninayeandika ni mhanga wa kutopandishwa mshahara, lakini najisikia fahari kuona nchi yangu inafanya mambo makubwa vitakavyowafaidisha watoto na wajukuu zetu. There is no glory without sacrifice, na kwangu mimi nahesabu kuminywa haki zangu za kipato kama sacrifices kwa ajili ya vizazi vijavyo vya Tanzania.
Hebu tutajie hizo spin off effects ambazo tunapata kutoka ATCL? Hao NASA wenyewe wanatumia rockets za Space X kupeleka Astronauts wake angani.

Kinachogomba hapa kwetu ni hiyo haja ya kuwa na midege yetu wenyewe ambayo inatutoza nauli kubwa wakati yalikuwepo mashirika yakitoa huduma hiyo hiyo kwa bei nafuu. Hao watalii walioongezeka waliletwa na mashirika ya ndege ya kimataifa bila sisi kuingia gharama yeyote isipokuwa kuvuta ada wanazotulipa kutumia anga na facilities zetu. Na kama tunadhani hao watalii watakimbilia ATCL na kuacha KLM, Emirates, Turkish Airlines n.k. tunajidanganya.
Wamarekani pamoja na mihela yao hawana shirika la taifa la ndege. British Airways inamilikiwa na IAG, kampuni ambayo imekuwa registered Spain na inamiliki Iberia na Aer Lingus.

Sisi tungewaachia wenye uzoefu watoe hiyo huduma ya usafiri wa anga na hivyo vihela vyetu tungevitumia kuboresha maisha ya wananchi wetu. Usafirishaji wowote ni biashara, sio huduma.

Amandla....
 
Halafu hawa watetezi wanayumba sana, hawana kauri moja: wengine wanasema ATCL inafanya BIASHARA na hasara mwanzo wa biashara ni kawaida baadae tutapata faida.
, wengine wanasema inafanya kutoa HUDUMA tu hivyo tusiihesabie hasara kwani mashirika yote ya ndege duniani yanaendeshwa kwa hasara lakini yanahudumia sector zingine zipate faida.

Je, ni:
BIASHARA?
HUDUMA?

Najua wataendelea kuyumbisha mpira anga hizi huku wakiendelea kuropoka.
[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom