Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Afanye juhudi abadili katiba kwanza kama ni kwa kuvunja katiba no.Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
"Haya mambo ambayo tunaona Rais ameyafanya tunaweza kuona namna tukamuongezea muda, kwani kitu gani mbona wenzetu wamefanya?, ina maana sisi watanzania tunaijua demokrasia zaidi ya wachina ambao ni matrilionea wamefka mahal wakaona tumuongeze Mtu hata miaka 20 mbele"---- MUSUKUMAAkizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
Hapo ndipo alipoboa. JPM kipenzi cha wengi akamilishe miaka yake 10 na 2025 akabidhi kijiti kwa mwingine. Hizi ngonjera za akina Msukuma ni za kupuuzwaAkizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru...
Wabunge wenye mawazo ya utopia namna hii wana takiwa kupimwa mkojoAkizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
Sio za kupuuzwa pafukapo moshi pana motoHapo ndipo alipoboa. JPM kipenzi cha wengi akamilishe miaka yake 10 na 2025 akabidhi kijiti kwa mwingine. Hizi ngonjera za akina Msukuma ni za kupuuzwa
Uzuri kuna miswaada ya hati ya dharura,hivyo afanye makeke ,apeleke mswaada kwa hati ya dharura tufanye mambo.Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
Akivunja mtamfanya nini?Afanye juhudi abadili katiba kwanza kama ni kwa kuvunja katiba no.
Kumbuka wewe sii machina."Haya mambo ambayo tunaona Rais ameyafanya tunaweza kuona namna tukamuongezea muda, kwani kitu gani mbona wenzetu wamefanya?, ina maana sisi watanzania tunaijua demokrasia zaidi ya wachina ambao ni matrilionea wamefka mahal wakaona tumuongeze Mtu hata miaka 20 mbele"---- MUSUKUMA
Tutazidi kumpa sifa anayostahili.Akivunja mtamfanya nini?
Mimi nimeleta tu alichokiongea huyo mbunge wa ccm ili watu wakione. Mimi sipo upande wa ccm mimi ni mpinzaniKumbuka wewe sii machina.
Inabidi tujiandae kisaikolojia huyu jamaa sio mjinga anatest aone upepo unaendaje huko mbele ili aendelee kutawalaTutazidi kumpa sifa anayostahili.
Hapo bado Gwajiboy hajanena.Inabidi tujiandae kisaikolojia huyu jamaa sio mjinga anatest aone upepo unaendaje huko mbele ili aendelee kutawala
Yeye hajui kuwa hata serikali iliyopinduliwa na Mao Tse Tung mwaka 1949 ina mchango ktk uchumi huu wa leo wa China.Kwani Musukuma ana elimu gani. Hebu tuanzie hapo!...