Mbunge Joseph Kasheku 'Musukuma' amtuhumu Mkuu wa Mkoa wa Geita kutafuna Tsh. Milioni 600

Mbunge Joseph Kasheku 'Musukuma' amtuhumu Mkuu wa Mkoa wa Geita kutafuna Tsh. Milioni 600

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Amemtuhumu RC wa Geita kwa kutafuta milioni 600.

Amelaani mamlaka aliyopewa RC kuamua matumizi ya fedha za Halmashauri.

Msikilizeni Musukuma kuanzia dakika ya 3:36 ktk video hapo chini.



 
..amemtuhumu RC wa Geita kwa kutafuta milioni 600.

..amelaani mamlaka aliyopewa RC kuamua matumizi ya fedha za halmashauri.

..msikilizeni Mh.Musukuma kuanzia dakika ya 3:36 ktk video hapo chini.




Ila King Msukuma ana akili mda mwingine
 
Ninavyoona maisha ya Gabriel geita yanakwenda mwishoni ,kuna mawili,kuliwa au kuhamishwa.

Na kifupi ni kwamba hawa haziwaki,kipindi flani mkuu wa mkoa alienda kufungua miradi Nzera jimboni kwa Msukuma bila ya Msukuma kuwepo, Gabriel akisahau miradi hiyo Msukuma ndio alishawishi wananchi kuichangia,hili ni kosa la kiufundi kwa mkuu wa mkoa (dharau kwa Msukuma)
 
Msukuma amekulia kazini, sio msomi Ila amekulia kazini
Napata raha sana nikiwaona viongozi makini hasa pale wanapokemea ubadhirifu unaofanywa na huo wanaojiita wateule wa Rais.

Eti mbunge wa Tanga anamsifia RC wake kwa kusema eti hagombani na watendaji wake kama maDC na maDED. Amemtolea mfano eti Tanzania nzima wamuige huyo Shigela.

RC ambae wananchi wake kwa asilimia kubwa hawamjui,watumishi wa umma baadhi hawamjui eti aigwe. Duh Ummy siasa zitampiga kumbo. Kwani kama unampenda mpaka uwaambie wasiojua kwamba unampenda? Waache wachache wanaojua wabaki kujua hivyo usitangazie dunia.

Msukuma sidhani kama jimboni kwake anapata sana shida kuongea na wananchi wake. Wapo wasomi waliotajwa na Profesa Assad,Ummy nae YUMO.

Wizi ubabe na dhuluma wanazofanyiwa wananchi wa Tanga haiyumkiniki kwamba mbunge angesimama na kuongea upupu hadharani.

Wananchi wameporwa ardhi,DC ameshindwa kumuonya DED na kundi lake la wanyang'anyi akina Tony.
Ummy wa Tamisemi aibu yakooooooo.
 
Anaondoa dhana ya kwamba lasaba hawafai kua wabunge
Huwezi mlinganisha msukuma na mtu kama Ummy ,Tulia na Ndugai tena wote kwa pamoja,ikifanyika debate Msukuma anawagaragaza.Lusinde yeye simjadili sana maana ndio hivyo tena
Uzi kama huu wa kuwalinganisha darasa la saba na Phd holder nilileta sema mods walipita nao.
Sababu nirihisi wao watakua team Phd holder nasi la saba.
 
Back
Top Bottom