binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Ataropoka na ten percent aliyowapa watoa tenda! 😀Tatizo mropokaji mno na hana brake. Si unamuona alivyo much know 🤷
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataropoka na ten percent aliyowapa watoa tenda! 😀Tatizo mropokaji mno na hana brake. Si unamuona alivyo much know 🤷
Huyo ni wa kumuacha apambane na biashara yake ya mabasi ashazoea kupigizana makelele na makondakta wake.Ataropoka na ten percent aliyowapa watoa tenda! 😀
Msukuma ataudia tena michezo yake ya kununua mikono ya ....Hawa lazima walogane msimu huu
Kumbe ndio mitindo yake? This time atawekewa mtego ameishaMsukuma ataudia tena michezo yake ya kununua mikono ya ....
Huyo RC si aliteuliwa na baba yake mpendwa?Mhe. Musukuma is 100% right. Miradi inatakiwa kutekelezwa na Halmashauri sheria gani inamruhusu RC kuingilia maamuzi ya Halmashauri?.
Huwa siamini kama Msukuma hajajiendeleza kielimu halafu akaficha vyeti vingine akaamua kutumia ulasaba ili tumuone na akili kumbe yaweza kuwa nyuma ya pazia kapiga short course na training mbalimbali.
Dharau mnoMungu ndio mwenye hizo hela?
Wanachukua chao mapema maana mama h a. ....ta. bi. . ri. ki
RC anahusika?Hasira za kunyimwa tenda kwenye miradi, hahahaaa
Muropa ukweli huyo...RC kajibu aachiwe Mungu....sipati Picha angesema Musukuma alete ushahidi.......?????!!!!!####Nina mashaka na hoja ya msukuma coz RC sio mtendaji ktk Baraza la halmashauri ila ni mjumbe tu nahisi ni mgongano wa maslahi na cheap political popularity tu pesa za miradi ya maendeleo zinakua chini ya mkurugenzi huo uongo wa wabunge wa ccm ionekane wanasimamia selikari kumbe ni unafiki tu
Kwanini hawawekwi ndani kama wahujumu?Dharau mno
Ni tapeli sugu anadaiwa kila kona,ukifanya nae biashara ukae kwa tahadhariMsukuma na uongozi wote wa mkoa watakuja kupigana visu siku moja.
Wagombane wagombanavyo sisi wananchi tunapata faida wanaposhikana mashati ya ufisadi, tunapata kujua jinsi wanavyozipiga.
Btw, kwanini hawampi hizo tenda anazozitaka huyu?
Nadhani kuna muongozo wanaruhusiwa kuingilia maana wao kama swkretariat ya mkoa ni wasimamizi wa hizo Halmashauri zoteMhe. Musukuma is 100% right. Miradi inatakiwa kutekelezwa na Halmashauri sheria gani inamruhusu RC kuingilia maamuzi ya Halmashauri?.
Wapigane visu Ila hela zibaki maana ndio zinaendesha nchiNi tapeli sugu anadaiwa kila kona,ukifanya nae biashara ukae kwa tahadhari
Kamkwepa Musukuma..kwamba tuhuma anazijua Mungu,sasa nani afike huko?Kwanini hawawekwi ndani kama wahujumu?
Kwakigezo hicho cha halmashauri kupanga ndio DED Tanga anapigatu hata hela itoke serikali kuu haogopi.Nadhani kuna muongozo wanaruhusiwa kuingilia maana wao kama swkretariat ya mkoa ni wasimamizi wa hizo Halmashauri zote
Sasa sijajua hili la kubatilisha maamuzi na kula pesa limekaaje kwa sababu hakuna pesa ya Halmashauri inaingia kwenye account ya mkoani
Hili sio jibu..kama hana maelezo mama atumbue huyu.RC alipoulizwa kuhusu hizo tuhuma za Msukuma alisema aachiwe Mungu tu